Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Sasa unalalamika nini kijana,kula hivyo hivyo kama unaona inafaa vinginevyo jiongeze tafuta wa kujifariji naye,ndo ushaingia mjini hivyo msukuma
 
Ugoro kwa masai ni jero tu bro......nauli yako itatumika vizuri au unataka maelezo zaidi,,,we mpeleke viwanja ale vyombo akiamka asubuhi nauli yako na gharama za vyombo atakuta ameshazirudisha uzuri huku sio kwa mabeberu
Baba acha tuweke wazi tu mtie ugoro kwenye nyagi, njiti ya kiberiti kwenye nyagi, tissue kwenye nyagi😁akilala ni masaa 12 unalomba hadi mdomo
 
Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Haya Sasa

Hatuna msaada na wewee
 
Mama angetokea mburahati sawa nauli 3000 kwenda na kurudi mtu ametoka mwanza Go and return vip 220,000 kuspend hapa mjini 200,000 na mambo mengine imentoka laki 5 fanya masihara nini na mzigo sjapata
Ukome kuagiza bidhaa mikoani na wakati hapa Buza zipo. Shoga yangu Mwajuma yupo single wewe unge oda tu usafiri bure hadi magetoni.
 
Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo

Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Wasukuma mnashida gani lakini?
 
Huyu wala kidole simgusi nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya nini
Bado anakuchezesha akili na ataendelea kukunyosha.
 
Back
Top Bottom