Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,830
- 4,329
Ugoro kwa masai ni jero tu bro......nauli yako itatumika vizuri au unataka maelezo zaidi,,,we mpeleke viwanja ale vyombo akiamka asubuhi nauli yako na gharama za vyombo atakuta ameshazirudisha uzuri huku sio kwa mabeberuUkiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo