Aisee wanaume kazi wanayo 😅😅😅😅
Umepitwa na wakati weweSio michezo yangu mule
Mama angetokea mburahati sawa nauli 3000 kwenda na kurudi mtu ametoka mwanza Go and return vip 220,000 kuspend hapa mjini 200,000 na mambo mengine imentoka laki 5 fanya masihara nini na mzigo sjapataKwani ni lazima m do? Mnaweza enda geto mkachili tu.
Naomba unishirikisheHuu mwaka hakuna gharama yeyote atatumia k yeyote toka kwangu maana nimegundua jambo
Ye alikuja kufanya niniUmelipa hela ya usafiri sio hela ya uchi
Ugoro kwa masai ni jero tu bro......nauli yako itatumika vizuri au unataka maelezo zaidi,,,we mpeleke viwanja ale vyombo akiamka asubuhi nauli yako na gharama za vyombo atakuta ameshazirudisha uzuri huku sio kwa mabeberuUkiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
DuhUgoro kwa masai ni jero tu bro......nauli yako itatumika vizuri au unataka maelezo zaidi,,,we mpeleke viwanja ale vyombo akiamka asubuhi nauli yako na gharama za vyombo atakuta ameshazirudisha uzuri huku sio kwa mabeberu
Tupe kisaHuu mwaka hakuna gharama yeyote atatumia k yeyote toka kwangu maana nimegundua jambo
BWANA anakupenda mtumishOya mtumishi fake vipi tena
kumbe unafurahigi hivi?😉😉😉😉
piskali mamboo😉Nimecheka kwa hiyo heading tu 😅😅😅😅😅