SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 11,128
- 3,740
ShukranUmedhihirisha "undezi" waziwazi.
ShukranUmedhihirisha "undezi" waziwazi.
Ipo siku yakoUmedhihirisha "undezi" waziwazi.
😆😆😆😆 atakudharau trust me, huyo ukimkazia anajua alternativeHuyu wala kidole simgusi nilitaka nimrudishe na gari mbovu ila Dem mwenyewe hela ipo ningejizalilisha namlipia VIP ile ile arudi ,nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya nini
Kitambo kwenye game, sipigwi kidwanzi.Ipo siku yako
Ilitakiwa amwambie ukweli kwamba akija kita “happen” ili yule ajue kabisa apangilie siku ambayo haikaribii period.Weeeee. Ile hamu ya kumsubiri demu ambaye hujawahi mkamua ni noma.
Kama ni mali safi alafu na kahela umetoa lazima roho iwe juu juu. Ila kama kweli yuko P na mwamba ni kambale lazima afosi kuzama topeni.
Kulamba Tena?Mkuu wanakuwaga waongo sana hao haoni tabu kuweka tomato sosi, weka kidole ulambe kuhakikisha kama ni kweli
Pole sana Mkuu, endelea kupambana na maisha. Hawa wanawake wachukulie poa sana.Weka namba nikununulie bia mzee wangu
Ni mwendo wa “hatuuzi wala hatutoi bure”😂😂😂😂Nihudumiwe na nani nije nikupe bure 😅😅😅😅inabidi tutoe Press release kuhusu sisi 😅😅😅😅😅😅😅
Alikuwa anajua hadi shanga nimenunua na nikamwambia nitamvaliasha wakati wa tendo na akachagua hadi rangi ya shanga hujiongezi.hapoIlitakiwa amwambie ukweli kwamba akija kita “happen” ili yule ajue kabisa apangilie siku ambayo haikaribii period.
Sasa anamuacha mtu aje tu hajasem chochote. Wenzake kabla ya kutuma nauli huwa wanahakikisha mwanamke karidhia kutoa papuchi na akituma nauli tu hapo hapo sexting zinaanza utasikia “enhe babe niambie utanipa style gani[emoji23][emoji23][emoji23]” yaani mtoto mpaka anafika chupi imelowa.
Unyama unyamani.Ugoro kwa masai ni jero tu bro......nauli yako itatumika vizuri au unataka maelezo zaidi,,,we mpeleke viwanja ale vyombo akiamka asubuhi nauli yako na gharama za vyombo atakuta ameshazirudisha uzuri huku sio kwa mabeberu
Ewaaaaa si ndo hapo, sasa kashindwa kumpanga demu kisaikolojia ili ajue akitia timu analiwa, kakaa tu kutoa mihela.Ilitakiwa amwambie ukweli kwamba akija kita “happen” ili yule ajue kabisa apangilie siku ambayo haikaribii period.
Sasa anamuacha mtu aje tu hajasem chochote. Wenzake kabla ya kutuma nauli huwa wanahakikisha mwanamke karidhia kutoa papuchi na akituma nauli tu hapo hapo sexting zinaanza utasikia “enhe babe niambie utanipa style gani😂😂😂” yaani mtoto mpaka anafika chupi imelowa.
Shukuru Allah kakuepusha juu ya jambo fulaniUkiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
DuhKama kaingia period unataka afanye nini? Mle basi, we ni pumbavu!
Kwanza sitaki kupotezewa muda 😅😅😅😅Ni mwendo wa “hatuuzi wala hatutoi bure”😂😂😂😂