DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
kwani Demiss ana nini boss ?Nilikuwa naiheshimu hii id kumbe ni type ya demiss. I take back all my respect!
kwani Demiss ana nini boss ?Nilikuwa naiheshimu hii id kumbe ni type ya demiss. I take back all my respect!
Unakomaa na Mimi hatariHalafu huyo cutelove ni dume. Unawezekana wahuni sio watu walimla marinda.
Kuliwa kimasihara inatokea...one night stand.watu wanavumiliwa watafanyaje ndo dunia hahahahah
ILA KUJA KUSEMA KWA MWANAMKE NI ZAIDI YA UJASIRI ULIOTUKUKA.
si unajua wanaume kujisifia kugonga kawaida yao...ila wanawake utaonekana malaya tu jamani..kujisifia nimeliwa eeeh hilo zito shouger....
Mkuu, hapa pamenifanya nicheke mwenyewe[emoji16][emoji16]
''Tukakuta mwamba yupo na suruali shati kavua analipiga romance lile limama, limeshavua gauni, ni minyama tu, na mititi kama yote''[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu dunia imefika mwisho na hata maandiko yalisema Mambo Kama haya yatatokea ikikaribia ule mwisho................Hivi kutunza siri moyoni Siku hizi imekuwa shida? Do really people use brain? I really dislike this nonsense, full of childish, yaan full of any kind of stupidity!
Nini lengo la hivi vitu Siku hizi? Na miss Jf ya zamani.
Sorry kwa atakaekwazika.
Mambo ya kawaida! Zamani mijitu inaanza shule INA miaka 16 we unafikiri mpaka LA sits ana miaka mingapiYani dunia ina mengi kuna mvulana class letu tukiwa std la 6 alikuwa anamla mwalimu wa kike kisawasawa yani huwezi amini yule mwalimu alikuwa anamsifia yule mtoto hatari alivofika 4m 3 teacher ujauzito huu daah, daah teacher akahama Ila mtoto ailchukuliwa anaixh nyumban kwa wazaz wa kijana na kijana now yupo chuo mtoto ana miaka 4 xaiv nadhan.
Piga code za kirussiaMimi mwenyewe nina yangu ya Mama mdogo wa mbali kidogo sema kiafrica ni Mamdogo tu huyo tatizo linakujaga umri mkikaribiana ndo shida.....ila hii story siwezi kuishare sababu hata nikiweka code za kijerumani kuna ndugu wataelewa tu somo....kwahiyo bora nipige kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu ni waelewa sana kwenye mahusiano.Mwaka 2007 nilikuwa nafundisha shule fulani ya din, wakaja wazungu kutoka Belgium ambao walikuwa wanasuport hiyo shule. Miongoni mwao mmoka wapo akajenga mazoe ya kuja geto kwangu, na akiwa kwangu akawa anajiachia sana mara avae chupi na braa, nikahisi huyu mzungu atakuwa amenizimia. Nikaanza kuweka mkakati wa kula tunda kimasihala. Basi siku moja tupo job akaniomba funguo atangulie geto kwangu nikampatia. Baada ya saa moja nami nikaenda geto naingia ndani nakuta mzungu amelala akiwa kavaa chup na braa, kidume faster nikavua nguo nikapanda kitandani nikamvua chupi, ile nataka kuweka kitu akashtuka akaanza kufoka kwamba nataka kumbaka, dem kapiga kelele, nikashindwa kula mzigo kesi ikawa inataka kupelekwa police ila wakamusihii tukayamalizie shule. Mwisho wa siku tunda sikula ila kazi nilifukuzwa. Kula tunda kimasihala kukaniponza
Sent using Jamii Forums mobile app
ww ni mzoefu hata mm nakuja PM tuyajenge nikutafune kimasihara tuuKuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
ni ww uliliwa kimasiharaMAGALLAH R, Hahahahah! Hiyo no 7 imenikumbusha memba wangu walikulana kimasihara kisa hatakuwa anakuja na points kwenye group discussion
Tunaruhusiwa kuweka na picha za tuliowala?
Kwangu njoo tu hakuna shidaNaogopa kwenda pm ya mwanaume maana hamchelewi kusema tumewafata pm
😁😁😁👏👏 good good kunywa maji ulipoKuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Hii haihusu kula tunda kimasihara lakini naomba niiweke humu. Hata hainihusu, mimi nilikua mpenzi mtazamaji tu.
Kipindi tupo advance tulikua tunakaa bwenini lakini washkaji kama watano hivi tukajichanga na kupanga geto mtaani kwa ajili ya kugongea tu. Anaevusha anatoa taarifa anaenda kufanya yake. Sharti lilikua lazima uruhusu wana waje kupiga chabo, tulikuaa tunaita deo kipindi hicho. Mwamba mmoja yeye alikua anakaa kwao na pale alikua hajashiriki kulipia na kununua vitu, siku hiyo kaomba room kuna demu kaopoa hana hela ya gesti, tukamkubalia lakini tukampa sharti la kuruhusu deo, kakubali. Basi wana tumekaa nje tunamsubiri aje na huyo dem.
Kweli kaja nae, sio dem, ni mmama, af mnene hatari, tako tako. Jaribu kuimagine wale wamama wa uswahilini wanene wanye matako matako kweli. Yani lile tako lilikua balaa.
Basi wakatusalimia wakazama geto. Tukazuga zuga kama dakika 10 hivi tukawaza kuwa mambo yashakua moto tukaenda dirishani kula deo.
Tukakuta mwamba yupo na suruali shati kavua analipiga romance lile limama, limeshavua gauni, ni minyama tu, na mititi kama yote.
Jamaa kaanza kulivua chupi, jamaa mmoja kanong'oneza 'weka chupi mezani' basi wote tukakazia aweke chupi mezani. Kulikua na meza ya plastiki, zile wanafunzi wanatumiaga magetoni kujisomea. Jamaa akawa anaona soo, lile limaza lisje kuskia, ikabidi aiweke kweli. Tukamwambia ailaze. Kweli kailaza.
Chupi kubwa hatari kidogo ijaze meza upande mmoja hadi mwingine. Tukaanza kucheka. Tumecheka mpaka ikawa soo. Lile maza likasikia likamaindi kinoma. Likavaa likasepa. Jamaa kashindwa hata kulisindikiza. Katoka nje kuzunguka dirishani anakuta wana tunacheka mpaka tumekaa chini. Ikabidi nae acheke tu.
Miaka mingi imepita now kila mtu ana maisha yake lakini kila nkikutana na yule mwamba hii ishu huwa naikumbuka nacheka sana.
Hilo geto lilikua na matukio mengi sana. Kuna siku ule ugumu wa kishule shule nkaopoa demu mmoja mbovu hatari, nkaenda nae mchana siku ya wiki, wana wapo shuleni muda huo, nkapiga viwili fasta nkamtoa, kumbe jamaa anaekaa chumba cha jirani kamuona wakati namtoa. Ile narudi jamaa kaniambia dogo huyo dem ni mbaya sijawahi ona. Bora ungepiga nyeto tu yaishe. Ikabidi nimuombe asiwaambie wanangu manake majungu yake yasingekua madogo
Hivi huyu my wangu n nanNdio my wangu, nilikutumia kadi ya mwaliko kwa Sanduku lako la posta naona bado haijakufikia hadi leo hii