upcoming tycoon
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 353
- 471
Ukiwa muongo jitahidi kuukumbuka uongo wako, umesema kuwa"nikaingiza mkono kwenye pajama binti hakuwa hata na chupi" baadae ukamalizia
nikaishusha na mwisho nikala tunda...
Ndugu mtoa post umesema hakuwa hata na chupi arafu ukaishusha, ulio ishusha ilikuwa ni nini zaidi, ama ndio tukuache umevurugwa na sherehe za uhuru![]()
Kashusha pajama au
"nikaingiza mkono kwenye pajama binti hakuwa hata na chupi" baadae ukamalizia 


