Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Ngoja nilete story nilivyomla mama mtu mzima member wa humu humu jf ...Id ninayotumia kwa sasa ni mpya baada ya kwanza kula bun sio rahic kunigundua

Nakumbuka katika pita pita zangu za humu jf nilikutana na mama mtu mzima kanizidi umri mi nakumbuka nilikuwa na umri wa miaka 29 -2017 yeye alikuwa na miaka 40

Alikuwa ni mwenyeji wa biharamulo ...alikuwa yuko vizuri katika chati zetu tuliweza kubadilishana number ya simu baada daye mi nikapanga yeye aje akasema basi hamna shida ....ila akaniambia kabisa ila mimi mwenzio mkubwa nikamjibu ukubwa wa umri ni number tu

Kijana nimewaka hapo damu inachemka ifika tarehe yenyewe nikaenda kumpokea stand pale mwanza stand ya bwiru katika ya jiji kabisa

Du nilipomuona kama nikaanza kuogopa flani nikasema haa maji ukiyavulia nguo shariti uyaoge

Basi limama la watu likaja mambo poa ,tukasalimiana hivi kumbe ndio ww jamani unajua hata siamini

Tukatoka pale tukaenda Simbo hotel kula chakula ...baada ya kula tukaanza safari ya kurudi kwangu km kilomita 62 kutoka mwanza mjini tukawa ndani ya bus nikawa namtania

Tukifika tu ..lazima unipe akawa nacheka cheka baada km ya dk 50 tukafika hivi kumbe kwako ndio hapa nikamwambia ndio hapa basi tukaingia watu hawakushitukia kbs kama nimepoa jimama wengi walikuwa wakijua ndugu yangu

Basi tukaingia chumbani, baada km ya dk mbili nikatoka chumbani nikaenda citing room kuwasha buffer sauti isitoke nje maana ilikuwa saa tisa mchana

Kurudi sikuamini nikakuta limevua nguo zote...yaani linacheni moja matata sana kiunoni basi likaanza kunipapasa likashika mashine aise kuna watu wanajua kunyonya yaaani lilivyotoa mdomoni cha kwanza nishamwaga mdomoni mwake

Nikaona isiwe tabu kwa kuwa alikuwa na mwili nikaamua kumkunja nikamsogeza karibu na ukuta nikaweka mto mgogoni nikalikuja nikapiga mashine mpk jion km mida ya 6:00 pm jion tukapitiwa na usingizi kuja kuamka

Kumbe hatukutumia kondomu...nikaanza tu kujipa mahope wangapi waloshakufa ...bac ikawa usiku najipigia tu lilikaa wiki nzima uck linanipa hela natata wine , mi napiga vladmir kitu cha mrusi

Yaani nilikuwa nikitoka kazini nalikuwa na vigauni vya kubana bila chupi linanita dadii njoo uchukue linaniinama naliwasha kwenye korido ya ndani ya nyumba

Baada ya wiki likaniambia mi nataka kirudi naomba tu unisindikize mpk mwanza ...Maana huko biashara zangu haziendi hakuna msimamizi tokea hapo ,tumebaki kiwasiliana tu na Glory bigez ..ila shoo zake nakumbuka mpk leo
Hahahshs aisee...... mnanipa mzuka na mimi wa kuleta testimony zAngu..mamaeer
 
Nipo mkoani ndo kesho yake naamia dar kuanza life jipya. Usiku nmetoka kuagana na demu wangu nipo kwenye daladala narudi geto, ile nashuka na mtoto mmoja white hivi kashuka, tukawa tunaenda njia moja. Nkampa hi tukaanza story nkamuambia naenda kula kasema na yeye anataka akale.
Basi tukaenda mgahawani, nkamuuliza kama ni mwenyeji pale kasema hapana. Kaja kwa rafiki yeye yeye ni mwanachuo anakaa hostel za chuo kwao. Baada ya msosi nkamuambia twende akapaone kwangu, kakubali kasema ngoja ampigie huyo mwenyeji wake amwambie atachelewa.
Basi nmeenda nae hadi geto, kufika mtoto kaomba akaoge. Baada ya kuoga ni show tu ikafata, hata jina simjui. Tumemaliza show nkampa bukuu 5 nkamsindikiza kwa rafiki yake nkarud kulala kesho yake nkasafiri.
Baada ya kama miezi mitatu nkarudi tena kufatilia maslahi yangu kule nlikokua nafanya kazi mwanzo.
Nkafikia mitaa ile ile kwa mwanangu, jioni tumekaa baa yule manzi kaja na mwamba mwingine, ikabidi nimwambie mwanangu kuwa yule manzi nlipiga kabla sijasepa. Jamaa kajibu ata usijione mjanja, demu hana ishu yule ana danga tu mtaani hapa. Ikabidi niwe mpole tu.
Hahahahah
 
Correction kidogo: Kwa elimu yangu ndogo ya mambo ya silaha nachojua LMG kirefu chake ni LIGHT MACHINE GUN
Basi bwana 2004 nafanya Bsc (Military Science) ndani ya University of Stellenbosch huko bondeni. Kwenye module ya Technical Intelligence nilikuwa nimepangwa kundi na mrembo wa kisomali ni Exchange Programme kutoka Mogadishu Military Academy (MMA) kabla haijawa TURKSOM..assignment ilikuwa kutengeneza draft ya Commander's Estimates (makadirio ya resources zitakazotumika vitani eg lita za mafuta ya vifaru, ndege, idadi ya frontiers, risasi, mabomu, aina ya silaha, wingi wa chakula etc) tuchague moja ya nchi tunazotoka na mifano iwe inakaribia uhalisia. Basi bwana, mimi nikamshawishi tutumie Somalia (sikutaka kutumia TZ sababu tumekula kiapo kutotoa details nyingi). Kwake haikuwa shida kutumia nchiyake nadhani hakuna restrictions...akaniomba niandae 'sketch' (war skeleton) alafu atakuja kutia nyama mwishoni...ingawa alikuwa mdogo kuliko wote kwenye hiyo course, pia alikuwa smart kuliko wote ingawa hakuwa vizuri sana kwenye power point presentation)... huo usiku sikulala, kidume nikaingia google nikatafuta location za kambi zao kubwa zilizo chiniyao na zinazosimamiwa na Wamarekani, intelligence reports za wamerekani zinazoelezea idadi na aina ya ndege za kivita, aina ya vifaru, ukubwa wa jeshi lao na baadhi ya sehemu zao nyeti (makao makuu ya jeshi, vyanzo vya ufuaji wa umeme, vyanzo vya maji, bunge, airport, madaraja makubwa yanayounganisha miji etc....anyway nisiwachoshe sana.....keshoyake nikamwambia aje jioni nimuonyeshe draft plan..akaja na pedopusha na top ya bakabaka imembana kiuno nyigu, mtoto kabinuka vizuri kama anataka kutaga huku chuchu konzi...
Nikaanza kushuka data jinsigani tutaanza ku "advance" vikosi kutoka Somalia kuelekea KE na jinsigani tutalinda strategic spots zetu kama vyanzo vya maji, Parliament etc...mamamamama, mtoto akaanza kutetemeka, ananiambia how on earth did you come up with all this just overnight?? nikawa natabasamu tu huku kimoyomoyo nasema akirogwa akachukua computer kuangalia history ya web browser imekula kwangu! Akawa ananiambia "you are very smart" na jinsigani angepata sifa kama angetengeneza plan kama hiyo huko kwao kwenye kambi iliyo chini ya uangalizi wa wamerekani..basi bwana, alikuwa amekaa wakati nafanya demonstration, akanyanyuka akanishika kiuno na mikono yote miwili taratibu akaniambia "i want you to 'advance' between my legs"...(kijeshi 'advancing' inatumika kumaanisha kusonga mbele wakati mnashambulia)..sikuchelewa, nikang'ata shingo mtoto akatoa sauti moja sijawai isikia toka nimezaliwa..nikaongeza sauti kidogo (code of conduct za chuo haziruhusu hizi mambo za mahusiano baina ya Military Officers wanaotoka nchi tofauti)...anyways, nikala mzigo mtoto yuko tight mbaya na anajua gymnastics sijawai kuona..sababu ya mnato, usiku huo nikambatiza jina la Sub Machine Gun (SMG) naye akanibatiza jina la Large Machine Gun (LMG). Kuanzia sikuhiyo hadi leo tunaitana SMG na LMG...

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Tabia yangu hii ya Ufisi sijui nitaacha lini

Ilikuwa ni mwezi wa 9 ...nilikuwa morogoro...baada Ya kukaa siku kadhaa nikapokea simu Toka kwa rafiki Yake mama (ambaye huwa tuna muita mamdogo ) na watoto wake huwa wana Muita mama yangu mamkubwa..design Tuna kaundugu fulani hivi wa bidhaa kukutana sokoni..........

Huyu mama yangu mdogo aliniita nyumbani kwake tuongee baadhi ya mambo fulani hivi alikuwa anahitaji ushauri" Alipata taarifa toka kwa mama kuwa nilikuwa Morogoro" so akaona atumie nafasi hiyo kwaajili ya maongezi zaidi.....

Nilipofika kwake "wakati nimekaa nae tunaongea..Ghafla akatokea binti yake Toka chumbani kwake...Aisee nikapigwa na butwaa maana yule mtoto alikuwa na uzuri ulio zikonga nyoyo zangu (Mtu mzima nikabaki macho kodo kama Shabiki anayetazama Finaly ya mechi ya Uefa kati ya real madrid na Barcelona...

Mimi na yule binti hatukuwa tunajuana hapo kabla...mama yake (mamdogo) akamuita na kufanya utambulisho baina yetu"...tuka shake hands pale huku binti akitabasamu""

Basi bwana " mamdogo akaji changanya na kwenda kitchen kuna mboga alikuwa ameibandika so alikwenda kuiangalia ili isiungue....huku nyuma akaniacha na binti
Aisee sikulaza damu "nikamuomba namba akanipa"...
Akili ikaniambia huyu inatakiwa umuombe mambo leo leo maana amekuja likizo Atakuwa na genye za kutosha"

Baada ya kama dakika 5 binti akaniaga kwamba anaelekea mjini kufanya shopping kesho yake anahitajika kurejea shule "(Hiyo siku ilikuwa ni J.mosi)

Baada ya muda mamdogo aliporudi tukamaliza maongezi "Then nikamuaga nakuondoka zangu....

Nilipofika nje ya gate tu nikaanza kumtext Yule binti..Mtoto bila hiyana aka reply..nika muuuliza uko wapi..akajibu bado yupo mjini"
Nika muomba meeting akakubali" nikamuuliza tena je naweza kufanya booking Ya room lodge ili tuweze kuongea tukiwa wawili tu katika sehemu tulivyo" akawa analeta zile sitaki nataka..

nikajaribu kum-bembeleza kwa vijimaneno vitamu" Akawa bado anajifanya anasita sita oohh naogopa and blaaah blaahh kibao.....wakati huo nilikuwa ndani ya bajaji narejea home " Nikaamua nimpigie kimya ---maana huwaga sina desturi ya kumlazimisha mwanamke kama hataki kunipa Tamu zake....Baada ya kama dakika 10 mara nashangaa akanitumia text(any way haina shida nakuja..---naomba unielekeze tukutane wapi)

Aisee ilinibidi kwanza nimpe pongezi brother shetani kwa kuweza kuni rahisishia mpango wangu"____ Nikamueleza dereva wa bajaji anipeleke lodge yoyote ile nzuri ..dereva hakuwa na hiyana...Baada ya Muda nikamueleza binti nilipo haukupita muda mrefu sana akaungana na mimi"nilipo"

Tukaanza kupiga story 2""3...kisha mwanaume nikaenda washing room kuoga..... nilipotoka washing room nikajisogeza mpaka alipo mtoto wa kike..nika m-kiss binti usoni na yeye aka ni kumbatia....nilipo mpa nyama ya ulimi na yeye akaupokea...Aisee yule mtoto ni fundi wa romance,na Bj ile mbaya.......

That day nilikamega kinoma noma mpaka nika hakikisha namtoa genye zake zote......ilikuwa ni mechi ya kali balaa" papuchi yake ina harufu nzuri nzuri mpaka hivi sasa sijaisahau---- Kuanzia saa7 mchana nilikuwa nae mpaka saa 2 usiku lakini siku hiyo kwake home kwao ilikuwa ni msala...maana ilipofika saa 12 tu...baba yake akaanza kumpigia simu " Binti akapokea na kumjibu kuwa yupi njiani anarudi.....baada ya dkk 20 ...bimkubwa wake nae akaanza kumpigia binti ikawa hapokei...Aisee nilikuwa najisikia noma sana...Haswaa jinsi nilivyokuwa nawaza wazazi wake walivyokuwa wana wasi wasi na binti yao".....wakati huo Mimi ndiye nipo nae....Damn it
 
Back
Top Bottom