Mpita njia atafunwa kimasihara.
Inaweza kuwa utani ila ndo ukweli,
Mwaka huu nilikuwa narud hom kutoka job, kuna njia nilikuwa nimeizoea ina kama kilima flani hv cha kishkaji .
Binafsi hivyo nilikuwa nikifika pale napiga mchakamchaka hivyo kila siku nilikuwa napishana na kadada flan hivi.
Ila sikuwai Kuwa na shobo nacho ilikuwa kwa week tunakutana 3 times. Ilifika kipind nikazoea mm nikifika pale napasha kila siku I mean naenda mchakamchaka. Nahii nilikuwa nafanya kama mazoezi.
Tukawa tumezoeana. Ila Muuni sikutaka mazoea kivile.
Ila siku moja I mean mvua za mwez wa tisa maeneo ya dar nafikir mnakumbuka, mara gafla narud tunakutana dah kamejifunika kanga. Dah mwanaume nikaamua kusogea kutokana mda ulikuwa umeenda nikamsindikiza hadi gheto kwake. na hiyo ilikuwa Saa 3 kasoro ,
Akaniambia sasa kaka unaenda na mvua hii.
Nikajisemea yalaaaa! " Mbuzi kafia kwa muuza supu" coz nilikuwa na ukame wa miez 3 , demu wangu alinizingua
Aisee nilitembeza mashine siyo poa ! Baada ya hapo sikutaka iwe tabia yetu nimebadilisha njia kutoka siitaji mtu wa karibu na gheto