Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,165
- 5,641
Sijui Masihara au la but ndio hivyo.
Mrembo mmoja nimefahamiana naye 2021 kama mteja wangu. Nilimuhudumia vizuri kipindi hicho na alifurahi sana. Mwaka jana tuliwasiliana kwa salaam kidogo nae akaniambia kuhusu biashara yake maisha yakaendelea japo ni muajiriwa serikalini taasisi ambayo ni nzuri sana.
Ni mzuri sana na nilipotezea kwakuwa huwezi kuwamaliza wazuri wote na nafahamu lazima anamtu.
Jana kanitafuta kwa shida ile ya mwaka juzi inayofanana. Akitokea kazini kwake akaja tena ofisini na nikamuhudumia. This time nami muda ulikuwa umeisha nikamwambia tutoke wote so anisubiri. Akaomba atoke then nimkute sehemu kuna issue alikuwa anaenda kununua na nikasema ok.
Baada ya hapo nikaenda mpaka eneo husika nikapark na nikamwabia alipo akaja na alichonunua kipo kwenye box. Nikamuuliza gari ipo wapi maana last time alikuja kwa gari. Akaniambia ameiacha home ina problem nikasema ok.
Akaingia nikamuomba tukakae sehemu tupige story akakubali hiyo ni mida ya saa 11. Tukaenda piga sana story na kufahamiana zaidi.
Nilimuomba aagize beer akasema labda wine [emoji485] na akaagiza. Msosi kama kawaida hapo tulikaa mpaka saa 3 usiku na tukaamua kuondoka. Hapo tayari amechangamka tayari na nilikuwa sijui anakaa wapi exactly but haikuwa mbali na pale. Tukaenda katika kumshusha akaniambia karibu nikamwambia unataka nije kupigwa na akanijibu nipo alone usiogope wewe njoo muda wowote kunisalimia. Basi nikamwambia ngoja nikapafahamu hapo akili imeanza kuwaza mtu kuliwa. Nina zana kwenye gari hapo nikaichukua wakati huo yeye kashuka.
Sio mbali na pale kama dk 3 tumefika na nikakaribishwa hakuna mtu wala nini (risk sana) tuliongea kidogo sana huku namsifia pazuri. Basi nikamwambia naondoka but naomba hug 🫂(mtego) akaja akapiga hug nikamshikilia hapohapo na kiss juu. Nikaona anatoa ushirikiano piga touch za kutosha. Palepale sebuleni nilimvua na kumshikisha sofa piga round moja tamu sana. Nikaondoka sasa hapa inakuja rematch soon.
HII CHAI INA CHUMVI YA MAWE HUJAONA???