Kosa la kwanza,kosa la kiitifaki....

Kuishi kwa shemeji Yako....

Inaonyesha ameku-degrade sana kukuambia "unaingia tu bila kupiga hodi" ....na umemkuta katika mazingira tata.

Amekushusha hadhi kwa kuwa unakula na kulala kwake...

Pili.... mwanaume anaejitambua hawezi kufanya huo ujinga...mf. nikukukute na demu...nikamwambia mkeo!? Ili iweje labda!?

Unataka kuvunja NDOA YENU!...Yes ...nimemaanisha NDOA YENU!....Maana mmeolewa wewe na dadaako!

Chunga sana maana maana akifukuzwa yeye...mmefukuzwa wote!
 
Kosa la kwanza,kosa la kiitifaki....

Kuishi kwa shemeji Yako....

Inaonyesha ameku-degrade sana kukuambia "unaingia tu bila kupiga hodi" ....na umemkuta katika mazingira tata.

Amekushusha hadhi kwa kuwa unakula na kulala kwake...

Pili.... mwanaume anaejitambua hawezi kufanya huo ujinga...mf. nikukukute na demu...nikamwambia mkeo!? Ili iweje labda!?

Unataka kuvunja NDOA YENU!...Yes ...nimemaanisha NDOA YENU!....Maana mmeolewa wewe na dadaako!

Chunga sana maana maana akifukuzwa yeye...mmefukuzwa wote!
Hayo matusi. Uwe na luga ya kistaaarabu
 
wewe ni Dr au CO?maana madaktari ni watu smart,sio wa kujionyesha wala matangazo,bali kazi zao ndizo zinazowatanga,hata humu wapo wengi lkn huwezi ona wanajitangaza.
Unahisi Kwa nini natakiwa kukujibu? Nikikujibu utaamini?.

Hiyo komenti yenye hizo screenshot, inahusiana vipi na Udaktari au CO ?.


Ukiwa Daktari ni Malaika? Mbona Wana Wakunywa Pombe chakari wanakuja Kazin wamelewa mbaya ?. Kwan Udaktari ndio unawafanya wanywe pombe?.



Kama inshu ni screenshot, mbona kwenye nyuzi za Kunywa Pombe , mnatupia mkiwa na machupa ya pombe ??.

Hivi kumbe Binadamu ni matakoo namna hii!! .


Haya Sasa nakujibu, Mimi Daktari Daraja la Pili, tena Daktari mwenye Kipaji that's why naaminika Mnooo !! Kuhusu kula mbususu nitaendelea kula .

Kama inakuuma Nawewe Kasome PCB, piga One, Kasome Udaktari. Elimu yangu, Maisha yangu, Hela yangu..... Wacha niringe ,msoto wa shule niloula , Mimi ndio naujua

Alaaaah mbuzi wewe !!.
 
Nawaza sana hii inshu. Sipati majibu nimegundua shem ana mpigia misele dada wa kazi hapa home. Siku nimeingia jikoni shem hakujua kama nimerudi toka wapeleka watoto shule.

Mimi nliwahi kurudi ili nimle huyu binti maana nlishamweka sawa kitambo kuwa tuwe tunatiana moyo mle ndani. Siku hiyo shem sikujua hajaenda kazini. So nikawahi wapeleka watoto shule. Haraka nikarudi milango haikufungwa. So getini nlitumia tu funguo ya kwangu. Kuingia ndani nikaona nipite moja kwa moja jikoni kwanza nile nipate nguvu ndo nikamgegede yule bint.

Nimeingia jikoni namkuta shem kamshika kiuno binti mkono mmoja na mwingine anamchezea matiti. Alishtuka na kuropoka "unaingia tu hupigi hodi?"

Nliumia sana kwa kweli huyu binti ana week tu ametolewa Tanga. Nami nimehangaika sana kumshawishi kuwa pale home mimi nina sauti asione tu nakuwepo kuwepo ndo msaada wao mkubwa wale Maboss wake. Akakubali kuwa siku ile angenipa. Sasa nakuta shem naye anataka kula. Ni jambo la aibu sana kwa kweli. Na ananikosea heshima maana mimi umri nimemzidi kiasi.

Nawaza je nimwambie sister au nimtafutie siku nimchane aache ufala. Maana huo ni ufala tu. Anajidai anaumwa haendi kazini kumbe ana inshu za kisengendu. Na ninavyomjua sister atamwashia moto kishenzi mle ndani.
Ukimwambia sister anawakula wote watatu bora uuchune
 
Nawaza sana hii inshu. Sipati majibu nimegundua shem ana mpigia misele dada wa kazi hapa home. Siku nimeingia jikoni shem hakujua kama nimerudi toka wapeleka watoto shule.

Mimi nliwahi kurudi ili nimle huyu binti maana nlishamweka sawa kitambo kuwa tuwe tunatiana moyo mle ndani. Siku hiyo shem sikujua hajaenda kazini. So nikawahi wapeleka watoto shule. Haraka nikarudi milango haikufungwa. So getini nlitumia tu funguo ya kwangu. Kuingia ndani nikaona nipite moja kwa moja jikoni kwanza nile nipate nguvu ndo nikamgegede yule bint.

Nimeingia jikoni namkuta shem kamshika kiuno binti mkono mmoja na mwingine anamchezea matiti. Alishtuka na kuropoka "unaingia tu hupigi hodi?"

Nliumia sana kwa kweli huyu binti ana week tu ametolewa Tanga. Nami nimehangaika sana kumshawishi kuwa pale home mimi nina sauti asione tu nakuwepo kuwepo ndo msaada wao mkubwa wale Maboss wake. Akakubali kuwa siku ile angenipa. Sasa nakuta shem naye anataka kula. Ni jambo la aibu sana kwa kweli. Na ananikosea heshima maana mimi umri nimemzidi kiasi.

Nawaza je nimwambie sister au nimtafutie siku nimchane aache ufala. Maana huo ni ufala tu. Anajidai anaumwa haendi kazini kumbe ana inshu za kisengendu. Na ninavyomjua sister atamwashia moto kishenzi mle ndani.
Ameanza na dada ako, anakuja kwa mdada wa kazi, akimaliza mwa mdada wa kazi jiandae kutolewa marinda na shemeji ako.
 
Kwa uhalisia ulivyo nyie wote mnamilikiwa na huyo shemeji kuanzia dada yake, beki tatu mpaka wewe mwenyewe.

Shukuru Mungu hajakuomba wewe tako bAdo.
 
Nawaza sana hii inshu. Sipati majibu nimegundua shem ana mpigia misele dada wa kazi hapa home. Siku nimeingia jikoni shem hakujua kama nimerudi toka wapeleka watoto shule.

Mimi nliwahi kurudi ili nimle huyu binti maana nlishamweka sawa kitambo kuwa tuwe tunatiana moyo mle ndani. Siku hiyo shem sikujua hajaenda kazini. So nikawahi wapeleka watoto shule. Haraka nikarudi milango haikufungwa. So getini nlitumia tu funguo ya kwangu. Kuingia ndani nikaona nipite moja kwa moja jikoni kwanza nile nipate nguvu ndo nikamgegede yule bint.

Nimeingia jikoni namkuta shem kamshika kiuno binti mkono mmoja na mwingine anamchezea matiti. Alishtuka na kuropoka "unaingia tu hupigi hodi?"

Nliumia sana kwa kweli huyu binti ana week tu ametolewa Tanga. Nami nimehangaika sana kumshawishi kuwa pale home mimi nina sauti asione tu nakuwepo kuwepo ndo msaada wao mkubwa wale Maboss wake. Akakubali kuwa siku ile angenipa. Sasa nakuta shem naye anataka kula. Ni jambo la aibu sana kwa kweli. Na ananikosea heshima maana mimi umri nimemzidi kiasi.

Nawaza je nimwambie sister au nimtafutie siku nimchane aache ufala. Maana huo ni ufala tu. Anajidai anaumwa haendi kazini kumbe ana inshu za kisengendu. Na ninavyomjua sister atamwashia moto kishenzi mle ndani.
Utafukuzwa wewe na dada yako,kwanza unakaaje kwa shemeji wewe boya.
 
Mwanzo nilikuaga naonaga ma MD ni malaika sana kumbe hovyo tu so ata uyo Carlos The Jackal akiwa MD au ata MMED sishangai mimi
Madaktari wengi wako smart,japo wachache wa hovyo pia wapo...medical school hua inamtengeneza mtu kua sio tu daktari bali pia kua kiongozi...maana ya neno doctor kwenye utabibu sio tu ile Medicine aliyosoma,bali ana vitu vingi vya ziada,ndio maana kwenye course nyingine lazima mtu apite masters na PhD ndio anaitwa Dr...sasa ukimuona Dr alafu anaropoka hovyo basi kuna tatizo kubwa lipo...maisha ya medical school yanamfanya mtu kua smart na maamuzi sahihi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom