Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Siku moja katikapitaa pita yangu si nilikutana na binti mmoja mkali hata Nashindwa kumfafanua ili muweze kumjua ukali wake. Nahisi msela wake ni wa humu humu jf .huyu jamaa toka achukue kigari chake cha mkopo anajiona sana. Nikamwomba ni mpige mbili tatu Nikiwa najua ni mgumu na kumwonyeshea jamaa hapo hapo kwa msela kuna kivuli na kiubishi nimalizie mchongo nje kwake. Niliinua mkono nikashika kitu Nika peleka mdomoni sikuwa nimekosea ni tunda limeiva tena ni embe.nikaondoka zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeandika nini?
 
Na pia makato yalikuwa kwa dakika, hata ukiongea sec 3 charge yake ni dk 1



Nakumbuka kuna sehemu nilikuwaga naenda kupiga simu...Sasa ukitumia labda dakika n sekunde tano wanakucharge dk 2...basi mnalumbana kinoma mwishiwe inabidi nilipe tu.

Kwa hyo ikawa nikitaka kupiga simu naenda Na saa yangu...naongea haraka haraka..ikifika sekunde ya 58 nakata simu...acha Kabisa....eti Leo hii muda wa maongezi unahesabiwa kwa sekunde?????...tumetoka Mbali ujue...
 
Mi nishawahi gombana nao sana mpaka
Nakumbuka kuna sehemu nilikuwaga naenda kupiga simu...Sasa ukitumia labda dakika n sekunde tano wanakucharge dk 2...basi mnalumbana kinoma mwishiwe inabidi nilipe tu.

Kwa hyo ikawa nikitaka kupiga simu naenda Na saa yangu...naongea haraka haraka..ikifika sekunde ya 58 nakata simu...acha Kabisa....eti Leo hii muda wa maongezi unahesabiwa kwa sekunde?????...tumetoka Mbali ujue...
 
Nakumbuka kuna sehemu nilikuwaga naenda kupiga simu...Sasa ukitumia labda dakika n sekunde tano wanakucharge dk 2...basi mnalumbana kinoma mwishiwe inabidi nilipe tu.

Kwa hyo ikawa nikitaka kupiga simu naenda Na saa yangu...naongea haraka haraka..ikifika sekunde ya 58 nakata simu...acha Kabisa....eti Leo hii muda wa maongezi unahesabiwa kwa sekunde?????...tumetoka Mbali ujue...
Dakika moja nakumbuka ni shilingi 150
 
Back
Top Bottom