Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wakiacha kufuta comments niambieni nilete ya kwangu..
 
2004 hata mi nilikua na siemens C 35 kile kimlio chake nakikumbuka mpaka leo. hata nokia tochi zilliisha anza kutoka na kuja jamaa yangu alikuja toka misri akaja na nokia ya kamera nzuri balaa ilikua kama ina ma hips hivi
Mkuu msamehe bado kijana mdogo huyu
 
Siku moja katikapitaa pita yangu si nilikutana na binti mmoja mkali hata Nashindwa kumfafanua ili muweze kumjua ukali wake. Nahisi msela wake ni wa humu humu jf .huyu jamaa toka achukue kigari chake cha mkopo anajiona sana. Nikamwomba ni mpige mbili tatu Nikiwa najua ni mgumu na kumwonyeshea jamaa hapo hapo kwa msela kuna kivuli na kiubishi nimalizie mchongo nje kwake. Niliinua mkono nikashika kitu Nika peleka mdomoni sikuwa nimekosea ni tunda limeiva tena ni embe.nikaondoka zangu
 
Siku moja katikapitaa pita yangu si nilikutana na binti mmoja mkali hata Nashindwa kumfafanua ili muweze kumjua ukali wake. Nahisi msela wake ni wa humu humu jf .huyu jamaa toka achukue kigari chake cha mkopo anajiona sana. Nikamwomba ni mpige mbili tatu Nikiwa najua ni mgumu na kumwonyeshea jamaa hapo hapo kwa msela kuna kivuli na kiubishi nimalizie mchongo nje kwake. Niliinua mkono nikashika kitu Nika peleka mdomoni sikuwa nimekosea ni tunda limeiva tena ni embe.nikaondoka zangu
Pumbavu thana..
 
HII THREAD NIMEANZA NAYO SINCE DAY ONE. NIWE HONEST NIMESHAKULA ZAIDI YA MADEMU WA NNE KUPITIA TU HII THREAD. HUWA INANIPA MOTIVATION BALAA. SAIVI NINAKULA NDUGU WAWILI WA KICHAGA MTU NA MDOGO WAKE. NASUBIRI IFIKE PAGE YA 300 NA MIMI NITASHUSHA STORY YANGU JINSI NNAVYOPITA NAO KIMASIHARA.
ANGALIZO MABINTI WENGI WANA MAGONJWA YA ZINAA CONDOM NI MUHIMU SANA NA BAHATI NZURI SERIKALI INAGAWA BURE KABISA. KAMA KWELI UNAPENDA MIRAKA (wanawake wahuni kwa kichaga) jitahidi sana kutumia condom usimwamini mwanamke yoyote yule. narudia tena kwa wale mashabiki wa hii thread usimtie demu yoyote yule bila condom tafadhali.
 
Back
Top Bottom