Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Duh mkuu nahisi huyo hakua dada wa kazi na ye mwenyewe alikuwa baharia so mabahari waki kutana...halafu mkuu una moyo wa chuma yaani una ishi na mtu mmekutana nae kwenye gari tu maana akifia geto ni balaa.
Hiyo ajali tu kazini kaka ..., Si unajua kibongo bongo tunapenda kitonga sana

Na alikaa kwangu zaidi ya miezi mitatu napakua kila aina ya stayle
 
ongeza mdalasini kidogo..kwamba 2004 nyie mlikuwa mkichat kwa sms[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sasa ulitaka muda huo wa chat kwa nini….sio sms tu hata MMS ..we unaonekana hata hujui simu zilisambaa lini…..watu 1994 simu zipo nyingi tu watu wanazo ..acha chenga we kula story ..
 
We unajua cm imeanza lini??? Kale wewe mtoto wa mama huu uzi haukuhusu kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ww si umemiliki juzi wakat watu tulikuwa na simens c 306
huyu hazijui siemens C45 na hajui zilivotamba na ile milio ..nikiwa form 2 nadhani ndi mshua alinunu asimu kwangu na mdodo wangu ///...leteni story tu hapa wadau za kula kimasihara
 
2004 hata mi nilikua na siemens C 35 kile kimlio chake nakikumbuka mpaka leo. hata nokia tochi zilliisha anza kutoka na kuja jamaa yangu alikuja toka misri akaja na nokia ya kamera nzuri balaa ilikua kama ina ma hips hivi
Mule mule C35 C45 C75 ...zote..za C75 zile za kupiga picha vi quality vya hivyo hivyo picha size KB
 
Mkuu hawa Watoto walikuzwa kwa chips zege shida kweli...MTU anashangaa simu 2004????wakati miaka hyo watu wanamiliki vicm Vya kijanja kabisa achana na ile minara ya sabuni...Sijui Motorola Sijui...
Ile minarA MOBITEL IILIKUW 1996 sijui hata hivi kwa wengine nADHani kabla..ila akumbnuka naomba mzee nipige simu kwa Rafiki yangu hapo primary kitambo
 
huyu hazijui siemens C45 na hajui zilivotamba na ile milio ..nikiwa form 2 nadhani ndi mshua alinunu asimu kwangu na mdodo wangu ///...leteni story tu hapa wadau za kula kimasihara


Miaka hyo bei ya simcard (aka line) kwa Sasa unapata simu ya mchina swaaafi Kabisa..
 
Ngoja nilete story nilivyo mla kimasihara house girl wangu

Nakumbuka nilikuwa katika pita zangu mwaka 2017 , natoka zangu nyashimo.... Nikiwa ndani ya gari nilikutana na dada ...kwenye gari alijitambulisha jina anaitwa Neema

Basi tukaongea mawili matatu bac mi nikafika nilipokuwa naenda nikamwambia mi nashukia hapa na ueye akadai kiwa anashukia hapo !!

Basi tukashuka tukatembea kidogo mpk maeneo flani akaniambia kaka samahani mimi nimetoka nyumbani natafuta kazi za ndani ...hapa sina mwenyeji

Nikamwambia kama ndiyo hivyo !! Mi kwangu kuna kazi ila sijaowa sina mke .....bac akakubali ..tukaongozana

Tulipofika nikamuonyesha chumba chake basi ...ilipofika usiku ...sasa mara oooh kaka naogopa kulala peke yangu nikamwambia bac njoo huku mtoto alikuwa na chuchu ngumu halafu zimesimama mzee baba

Nikajilia vitu piga sana ...yaani mpk akaniambia tupumzike ...bac nikamwamnia poa nikawa najilia vitu kiulani na asubuhi heshima kubwa nikiwa nimelala naye

Asubuhi alikuwa akitaka kuamka ananiuliza kaka nataka kuamka vipi utanihitaji au niamke ...hapo unajua anataka kimoja cha asubuhi!!

Tulienda hivyo ....Nilipoanza kuleta mademu wengine kutoka nje akaanza zadharau na kuonyesha kama kinyongo nikaona isiwe tabu nikaamua !!

Kumtimua nikampa mishahara yake na nikamsindikiza mpk stand ....mpk leo hiii sijawahi kumuona tena ,
Wala hajawahi kurudi
Wewe ndio ulimkosea heshima kwanza
 
Siku moja katikapitaa pita yangu si nilikutana na binti mmoja mkali hata Nashindwa kumfafanua ili muweze kumjua ukali wake. Nahisi msela wake ni wa humu humu jf .huyu jamaa toka achukue kigari chake cha mkopo anajiona sana. Nikamwomba ni mpige mbili tatu Nikiwa najua ni mgumu na kumwonyeshea jamaa hapo hapo kwa msela kuna kivuli na kiubishi nimalizie mchongo nje kwake. Niliinua mkono nikashika kitu Nika peleka mdomoni sikuwa nimekosea ni tunda limeiva tena ni embe.nikaondoka zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jinga la mwaka![emoji57]
 
Back
Top Bottom