Wow!!. Afwadhali umerudi. Ulikuwa kimya Sana Mtumishi.
 
Wakuu! Nmekuwa na urafiki na mdada wa kiislamu ni mtoto wa sheikh na amekuwa ni mtu wa swala nyingi sana...

Sasa leo anadai anakuja kunitembelea nyumbani kwangu kwa sababu nilimwambia j3 nitakuwa na safari kaniambia nisiondoke bila kuonana nae na anakuja nyumbani kuniona [emoji848]

Na kwa hali ya Daslamu saivi anakuja tu kunitembelea kweli au ndio kula kwa masihara kunafatia [emoji848].

Ushauri wenu wakuu
 
Ila mwamba unajua kupindua meza za wahuni.. hahahahaba. MUNGU AKUBARIKI. WACHA TUKAMILISHE ULE USEMI MUNGU HAPENDI VUGU VUGU. WANA WAMEAMJA KUFANYA UZINZI..

KAZI YAKO WEWE KUWAKUMBUSHA.. ILA UWE NA KIASI

Kiasi maanake nin
 
Nyanyantore msaada hapa
 
Na ww leo umekuwa mhubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…