Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

si kitu rahisi mkuu... Humu bado watu tunaendelea kuchukua kozi. Amini nakuambia, siku Neema ya Mungu ikikushukia utabadilika tu, Kwa njia yoyote ile hata kama ni ngumu. Kila mtu ana wakati wake sahihi. Lkn bila Neema lol!!. Yataingilia sikio la kulia na kutokea la kushoto. Na wengine watakuwa km zile mbegu zilizopandwa kwenye miiba, udongo wenye rutuba, mchanga, kwenye mawe . Ila wakati ukifika,,, unabadilika tuu.
Na ww leo umekuwa mhubiri
 
Back
Top Bottom