Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,960
- 136,790
Achana na mke wa mtu mkuuInaendelea......
Sasa nikamuuliza kwann tusingeongea huku huku barabarani akaniambia tunatembea tutaeleawana kweli? Nikamwambia tunatembea slow tutaelewana tu akanijibu kwamba mume wake hayupo so nisijali, aisee nilishangaa sana
Tumefika home mim nikaingia room kwangu yeye akaenda kwake maana watoto wake walikuwa sijui wanaangalia tamthilia na kengine kalikuwa ni kadogo kanahitaji kula kalale.
Me nipo naandaa mazaga yangu mixer nimeweka na kamovie kakuzugianasikia mlango unagongwa, nikaenda kufungua nakuta ni yule bibie nikamwambia karibu akaingia. Ameingia ananiuliza ndo unataka kupika sasa hivi? Nikamwambia yess.. akasema acha kwanza tuongee tukimaliza nitakupikia.
Ah nikaona nimsikilize. Sasa tukaanza kuongea, haikupita hata nusu saa naona bibie anaongea huku ananishika mapaja(maana nilikuwa nimevaa kibukta) akaanza kunisogelea mara anajifanya kama amemaindi, sasa pale ndo akawa anonekana mbovu si unajua age go wakiwa wanajibebisha
Basi nikamuuliza veeepeakaanza mara ooooh me nakupenda mara sijui hivi mara vile. Nilivyoona hivyo tu nikakamata mkono, nikamsogelea nikapiga kiss shingoni naona ananishika kama anikumbatia, ikabidi nivute kanga hiii kucheki amevaa kipensi, yaan sikugusa kile kipensi, nikaona anafungua kifungo anakifungua.
Kuvua kile kipensi, hahaha ni amevaa bikini ya blue. Wakuu aliliwa kwa staili hiyo.
Mpaka sasa ninavyoandika huu uzi, nimenuniwa kwasababu eti namchunia simjibu text na nikimuona nampotezea.
Sasa mimi kosa langu liko wapi? Mwenye mali yake karudi na sitaki mchizi ajue me na bibie tuna mazoea kwasababu hakuacha hivyo.
Naomba kuwasilisha![]()
🤣🤣😄😄😄 mkuu wale hawaeleweki, unaweza sema uende kitandani akabadirisha mawazo, au ufate ndom ukakuta kabadirika. Touch za pale pale ili kusababisha utelezi, mgeuza kidogo shusha chini, ngoma ikatambaa na wavu
Miaka kadhaa nyuma natoka Kigali Rwanda nipo Airport nasubiri kuconnect flight inayotoka Entebe Uganda kurudi zangu D'salaam.Ndege ilipofika tukahabarishwa abiria tujivute Onboard,Nikazama ndani ya chombo ilikuwa RwandaAir nikaangaza kuangalia siti namba yangu mara paap nakuta mrembo amekaa ilipo siti yangu. Nikamsamilia na kumwambia umekaa wrong position akaangalia ticket yake akakuta kweli akataka anipishe maana ilikuwa nikae kwa dirishani nikamwambia no worry cute relax ntakaa tu hapa...flight ikatakeover baada ya muda ikakaa level muda wote huo hakuna maongezi kati yetu zaidi ya ile conversation ya awali, pisi ilikuwa inasoma magazine tu.Wahudumu kama kawaida wakapitisha bites na some soft and hot drinks ,mzee baba nikaanzisha story mtindo wa maswali ili nipate data zake akawa anaonyesha ushirikiano mzuri tu nikawa nazidi kupata confedence kadri mda unavyoenda, maongezi muda wote ilikuwa kwa lugha ya malkia maana alikuwa hajuhi kiswahili vizuri.Nikagundua she was so charming ukituona ivi unaweza zani tunajuana kitambo kumbe wapi ni ile uchakalamu wangu tu....flight ikazidi kukata mawingu muda si muda tunasikia tulock belts tunakaribia kutua.Nikasema ngoja nijilipue tu hata kama akichomoa poa tu sio ishu nikajipa moyo nikamuuliza Dar unafikia maeneo gani? akajibu Upanga kwa Mdosi wake wa kimarekani kuna dereva atamfata airport, nikamwambia naomba namba yako huku nampa peni aandike kwenye ticket maana simu tulikuwa tumezima kufata maelekezo ndani ya ndege. Pisi haikuvunga akaandika namba akanitajia na jina lake N...nami nikamtajia langu, Tukatua salama tukaagana maana alikuwa yupo speed sana. Mzee baba nikatoka zangu nikakuta jamaa angu ananisubir tukaamsha mpaka magetoni. Nikatulia kama siku mbili sikumtafuta siku ya tatu jioni flani nikasema ngoja niicheki ile pisi, nikaitext Hey N...watsup its me JJ, ikapita kama nusu saa no reply nikapotezea nikaendelea na mishe zingine kuchek simu tena nikakuta text yake Hi JJ, how u doing? Mzee baba nikasema hapa hakuna kupoteza muda na malove story nikamuuliza unatime jioni tuonane, akaniuliza where? nikamwambia samaki samaki mcity. Akasema fresh kwanza am lonely jamaa yuko busy sana, nikamwabia worry not i will take care of that. Akacheka akamalizia lets go have funny...
Mzee baba kiza kilivyoanza ingia nikajisogeza eneo la tukio nikatafuta position nzuri ili nione wanaoingia pale samakisamaki nikamtext am here waiting for u, akajibu on the way see u soon. Nikasema leo babu wa kizungu pisi yake lazima ipelekewe moto kudadeki...Ghafla nikaona mtoto anakuja kwa mbali kapendeza mbaya halafu anatembea kama twiga flani maana alikuwa na height flani ya kimiss chini kapiga zile buti ndefu nyeusi suruali nyeusi zile za kuteleza na top nyeusi ilioacha mabega wazi halafu ana color flani ya chungwa...watu macho kodo halafu demu full confidence hana habari ahaa haaa , alivyokaribia nikamwambia muhudumu huyo demu muelekeze hapa ni mgeni wangu. Alivyofika huggy kama zote mzee baba nikasema leo ndio leo nami nikajitoa ufahamu mbaya ili twende sawa...tukapiga vyombo pale sio kipolepole, demu wine zikampanda anashake body full kuimbaimba kama ule mziki ulivyokuwa unapigwa pale. Nikachek time nikaona muda umesogea nikamwambia nishabook room hotel twende zetu tukamalizie funny , hakupinga nikamshika mkono hao mdogo mdogo hadi nilipopark. Sikuwa nimechukua room kwa kweli nilizuga nione atasemaje. Nikazama maeneo ya sinza kwny hotel flani nikaulizia room fasta nikalipa nikamfata parking tukazama ndani...nilimpelekea moto yule demu sio wa kipolepole piga mizunguko mitatu ya kiutu uzima hadi anadai dah JJ mkeo atakuwa anajifaidi sana sio kwa kunifu*ck huku nikamwambia kawaida tu mrembo akaishia kuguna tu. Nikamsogeza hadi maeneo ya Upanga karibu na apartment yao mzee baba nikarudi magetoni mwepesiiii....
Akawa kila akija Bongo ananichek tuna hung out nakula mbususu kama kawa, hadi yule jamaa ake alivyorudi kwao Marekani nadhani muda wake kuwepo Bongo ulikuwa umeisha na demu nae akakata mguu, last time namchek akaniambia yupo zake Dubai anapiga bizness to and fro Uganda. That is my little story sijuhi kama ni kimasihara au la utajaza wewe , nilichofurahia na kunifanya nisimsahau ni zile vibes zake yaani full kisela ingawa ni mcute hasa...all the best Nelly wherever u'r.
Duh....ilikuangukia yenyeweKuna miaka ya kati nilisafiri hadi Mkoa mmoja hivi, nikafika Jioni nikapata GUEST nikalala, kwa sababu nilikuwa nimechoka sana nikajisahau kufunga mlango.
Ghafla usiku nikahisi mtu ananitoa shuka na kujilaza pembeni huku akiniita jina ambalo sio langu.... kwa sababu nina IQ kubwa nikajua tayari kimeumana leo.
Nikageuka taratibu huku nikisema liwalo na liwe maana nikagundua ni mwanamke binti akiwa utupu - taa imezimwa nikageuka nikapanda nikala mzigo...
Wakati naanza kula nahisi alishtuka..ila mimi sikumpa nafasi hadi nikautua mzigo woteee hoi - tena na ule uchovu wa safari aisee mwili ukachangamka...
Nikasikia sauti ya upoleee...samahaniii .. nikajibu usijali dada haya ni maisha tu..... akataka kuondoka nikamsihi asiondoke muda huo.... baada ya dk 10 nikashusha mzigo mwingine... nikamruhusu kuondoka.
Asubuhi nikawahi breakfast ili niendelee na misele yangu..ghafla naona kundi la watu kama 20 wanaingia breakfast nacheki namuona na yeye tukakutamisha macho akaangalia chini...
baadaye nikauliza wahudumu akasema hao ni wanakwaya !! kwa alivyokuwa mlimbwende ikabidi niahirishe safari kwa siku 3 tuendeleze libeneke..maana bahati kama hizi hazijagi mara mbili yaani once ni life time.
Nilipozoeana siku ya 2 nikamuuliza kwani ilikuwaje jana ? akaangalia chini kwa smile na aibu kwamba alikosea chumba !! nikajua alikuwa na miadi na mwanakwaya mwenzake !!
Kuna miaka ya kati nilisafiri hadi Mkoa mmoja hivi, nikafika Jioni nikapata GUEST nikalala, kwa sababu nilikuwa nimechoka sana nikajisahau kufunga mlango.
Ghafla usiku nikahisi mtu ananitoa shuka na kujilaza pembeni huku akiniita jina ambalo sio langu.... kwa sababu nina IQ kubwa nikajua tayari kimeumana leo.
Nikageuka taratibu huku nikisema liwalo na liwe maana nikagundua ni mwanamke binti akiwa utupu - taa imezimwa nikageuka nikapanda nikala mzigo...
Wakati naanza kula nahisi alishtuka..ila mimi sikumpa nafasi hadi nikautua mzigo woteee hoi - tena na ule uchovu wa safari aisee mwili ukachangamka...
Nikasikia sauti ya upoleee...samahaniii .. nikajibu usijali dada haya ni maisha tu..... akataka kuondoka nikamsihi asiondoke muda huo.... baada ya dk 10 nikashusha mzigo mwingine... nikamruhusu kuondoka.
Asubuhi nikawahi breakfast ili niendelee na misele yangu..ghafla naona kundi la watu kama 20 wanaingia breakfast nacheki namuona na yeye tukakutamisha macho akaangalia chini...
baadaye nikauliza wahudumu akasema hao ni wanakwaya !! kwa alivyokuwa mlimbwende ikabidi niahirishe safari kwa siku 3 tuendeleze libeneke..maana bahati kama hizi hazijagi mara mbili yaani once ni life time.
Nilipozoeana siku ya 2 nikamuuliza kwani ilikuwaje jana ? akaangalia chini kwa smile na aibu kwamba alikosea chumba !! nikajua alikuwa na miadi na mwanakwaya mwenzake !!





hiii kaliKaka wewe hao ni malaya wa hapa mjini!! Ila pole ndio ujanja wao siku hiziUmenikumbusha nilivyompelekea moto mtoto mmoja kutoka Kampala, Uganda. Tulionana nae Samaki Samaki ya Masaki, alikuja kwa ajili ya jamaa yake bongo ambaye walifahamiana kupitia dating site moja halafu bahati mbaya mshikaji akaingia mitini baada ya demu kufika nchini.
Zilikuwa siku tatu za majonjo kwa kufurahia utelezi wa toto toka Uganda.
Nikitulia nitaleta kisa hiki humu ndani.
Jamaa alietoa namna ya jinsi ya ku ignore post za yule mhubiri ana nafasi yake ya pekee mbinguni

kwamb husumbuliwi teena hahahHahaha. Ndio aisee.kwamb husumbuliwi teena hahah
NasubiriUmenikumbusha nilivyompelekea moto mtoto mmoja kutoka Kampala, Uganda. Tulionana nae Samaki Samaki ya Masaki, alikuja kwa ajili ya jamaa yake bongo ambaye walifahamiana kupitia dating site moja halafu bahati mbaya mshikaji akaingia mitini baada ya demu kufika nchini.
Zilikuwa siku tatu za majonjo kwa kufurahia utelezi wa toto toka Uganda.
Nikitulia nitaleta kisa hiki humu ndani.
ULILIWA MZEEBaada ya kimya kirefu Leo nawaletea kimasihara ya moto kabisa wala haijapoa kwa hisani ya mkoa mmoja maarufu kwa barabara za namba .
Last weekend nilitoka na wafanyakazi wenzangu kuosha macho. Kati yao wawili mie wa watu ndio nilikuwa mwanaume pekee. Sasa baada ya chakula tulisogea kwenye bar mkabala na uwanja wa mpira wenye kibali cha TFF kuchezewa mechi za ligi kuu.
Sasa mie na moja ya staff mwenzangu mwenye jishepu lake mjini hapa tukishamwagilia moyo tunakuwaga na vibe fulani la kucheza mziki hasa wa mbele . Na this time Mr. Dj wala hakutuangusha alikuwa na playlist ya manyimbo ya zamani mfano : I know what you want by Busta rhymes ft Mariah Carey n.k
Kumbe wakati tunacheza pale kuna dada alikaa meza ya chini ( tunapaita shimoni) akawa anatucheck kwa juu na alivutiwa sana na uchezaji wangu. Na ofcourse kucheza najua na mziki it's my passion. Wakati tunatoka nje ( palipooza tukaamua kuhama kwenda club kabisa ) alitufuata kwa nyuma(alikuja kuniambia siku nyingine) ila tukapanda gari so hatukuonana . Jumapili akakutana na moja ya staff mwenzangu akamkumbuka so akamsifia pale to cut the story short walipeana namba na jioni akampigia tukutane sehemu kumwagilia moyo then nilliishia kumla.
UTALIWA JICHO KIMASIHARA SOON unawashwa wewe si bureWanaenda kuomba hata maospitalin. Huwezi kwenda tu isipokuwa kwa maelekezo ya Mungu. Kila kitu ni maelekezo.
Mfano Yesu hakuwahi kufata wagonjwa ila aliletewa wagonjwa akawaponya. Lazima ijulikane ni Mungu ametendabili mtu yule ampe utukufu Mungu. Lakini wanaenda. Na huko kwenye nnyumba za ibada wanapelekewa wagonjwa maana haiwezekani watu wale wale waombewe mara zote means kuna watu wapya hiyo kimwili kabisa.
Mpendwa ukija kiroho sasa maana Mungu ni Roho kuna wengi ambao Sio wagonjwa kimwili bali wagonjwa kiroho.
Ndio kwa Maana ya vifungo. Upofu ni ugonjwa ingawa kimwil unaona, ukoma ni ugonjwa ingawa unakula ugali vizur na una vidole, unaweza kuwa kiziwi wa kiroho husikii sauti ya Mungu. Shetani kaweka gunzi. Kuna vifungo na mafundo shetani kafungia watu kupitia mawakala wake. Waganga na wachawi+washirikina. Kuna pingu za kiroho, kwamba na magereza mfano Mtu mnywaji wa pombe huyu Yumo gerezani utaongea mpaka. Ataishia kukuambia Yesu aligeuza maji kuwa divai sa divai ni pombe sijui ya wap.
Sasa Yesu alikuja ili wasioana waone. Ukiona una zini na kufanya uasherati na unaufurahia uchafu jua bado u kipofu wala usijar maaana HAUTENDI DHAMBI BALI UNATENDA MATENDO YA DUNIA HII NA MTAWALA WA DUNIA HII ATATUPWA NJE NA WATU WAKE huyu amekwisha kuhukumiwa. Lakini toba na wokovu upo kwa ajir yake. Habari njema ipo maana Mungu anampenda anamletea bila kuchoka
Yohana 12:31 - Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.
Anae tenda Dhambi ambae ataketi kwenye hukumu ni Yule aliye pokea Wokovu yaani aliyetolewa huo upofu ametambua hii ni dhambi. Maana amefanyika Mwana wa Mungu.
Yohana 9:41 - Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.
Kumbe vizuri kuombeana. Ndugu usikubali kuwa MUUMINI AU MSHIRIKA SEHEMU FULANI TAMANI KUWA MTUMISHI WA MUNGU MAANA KILA MMOJA KUNA KITU CHA KI MUNGU AMEMWEKEA ILA DINI INAZUIA WALA HAKIWEZI KUKUA.
Unamuona sasa mchungaji akaombee watu hospitalini lakini huo ni Wajibu wako vile umepigwa upofu. Sikia ufalme wa Mungu utatekwa na Wenye Nguvu. Moja ya nguvu ni hii ya kujua kuomba. Tamani
Bwana wangu na Mungu wangu Yesu Kristo akutie Nguvu akupe Neema na kibali ewe mpendwa wake sana uweze kusoma Neno la Mungu maana husomi basi likukuze likupe nguvu amina.
Hicho chakula nani kanunua maana Lugumya sizani kama anaweza haribu pesa hivyoHapa Sabasaba kumenoga aiseee. Watoto ni wakali balaa. Mmoja kanasa tumepata nae chakula Cha mchana, saa 11 tukafanye yetu. Cha kushangaza, nimepata hofu ya ndoa. Duuh nafsi inapambana, dk zinakaribia! Tuombeane tu jmn!
Hujalipa taifa heshima, hujaipambania bendera, tafuta mwingine wa nchi jirani upige show nzuri,




Mkuu, kuna vitu viwili vitatu hivi u need to knowIngia kwenye huu uzi wa kimasihara ujione wewe ni mtu wa mikosi na nuksi ila baada ya kuufunga basi ya humu yaache humu humu maana ukitoka nayo basi upo mbioni kuamini kuwa wapo watanzania wanaoweza kufufua wafu.
Surely, I'm supporting the motion that state..H
Wadada wembamba kama huyo,ukimpiga paipu yote,kwa hiyo staili,hulalamika kua wanaumia,sijui wana vina vifupi,sijui.