Nikiwa reception najaza details zangu, akaja mdada mzuri mrembo kabisa, nikamuacha nae anajaza details nikapanda lift huyo room kwangu.
Mida flani ya usiku, nikasema acha niende cask kupata chochote kitu, natoka room najisogeza kwenye lift ile naingia nakutana na yule mtoto nae anashuka chini, kama kawaida yangu huwa ni bati kama husalimii sikusalimii, binti akawa mstaarabu akaniaalimia nikaitika nikala bati tena.
Nikatoka nikaingia kwenye chuma yangu huyo, nikiwa nimemuacha pale, huyo Cask, nimekaa nimeagiza zangu mbuzi mbavu napenda mafuta ya mbuzi, na ndizi taamu, kipindi nasubiri nikawa napata kafee, kunyanyua kichwa namuona yule mdada nae pale anaingia, sijui alikuwa na harakati zipi. Badae nikajipitisha tuonane, nikamsemesha aah .." upo hapa " akaita ndio nilikuja onana na wenzangun ila wao wamefikia hotelin jirani, nikasema poa fresh. Nikazunguka nikarudi tena nikamuambia karibu , nipo hapo napata chochote kitu badae nirudi kupumzika. Akasema asante
Nimekaa hadi saa nne usiku nikasema, acha nijipitishe tena nikamkuta wanapata vitu vyao vikali , akanikaribisha nikasema asante mie hizo hapana shukrani, ila nakuja kidogo tupige mawili matatu, nikajizungusha badae nikarudi nika join nao, ngoma hadi sita kasoro nikawa nimechoka nikawaaga, akasema subiri kama nusu saa tuondoke wote.
Nikavuta subira, imepita kweli wakawa wazungu, wao walikuwa wanne, nikawaambia na gari yangu, wakasema ooh! haina haja ya Tax nitawapitisha wanapo lala na sie tutaenda wakasema okay.
Wakaingia kwenye chuma , gari imetulia ndani dada mmoja akasema jamani toka nimezaliwa leo ndio napanda hii gari , nikachukua credit kama baharia


Nimewapitisha wale wenzake, tunarudi nikiwa bati, naulizwa najibu nakausha. Tumefika pale reception kachukua card ananisubiri na mie na mie nikachukua. Pale nikasema hizi second kadhaa za kuwa ndani ya lift nizijaribu. Ile kuingia nikamtania sasa unadaje kulala mwenyewe , akacheka nikasema basi nikusindikize akacheka mie nilikuwa flow ya tatu yeye flow ya nne, nikapitiliza



Mwanamke anasema upo serious kabisa, nimefika pale nikashuka nikasema haya niemekufikisha salama au hadi kwako, akasema haya bwana nipeleke kwakua umeanua..



Fika pale kafungua mlango nikasema haya sister asante uwe na usiku mwema, akasema asante afungi mlango na mie siondoki tunaangalia huku tunacheka, nika test validity kumshika mkono kiutani, ikawa positive



nikajivuta ndani kama nyoka, pale pale mlango nikausukuma nikapigia pale pale mlangoni nilimkumbatia nikamgeuza kwa nguma, niliuza mechi maana no ndom haikuwapo.. sijawai tena kukutana na huyo dada na sikuchukuaga namba dar.. kama ni member jf kwa hii story fupi anaweza nitambua so aje PM tukumbushie



