Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Nikiwa reception najaza details zangu, akaja mdada mzuri mrembo kabisa, nikamuacha nae anajaza details nikapanda lift huyo room kwangu.

Mida flani ya usiku, nikasema acha niende cask kupata chochote kitu, natoka room najisogeza kwenye lift ile naingia nakutana na yule mtoto nae anashuka chini, kama kawaida yangu huwa ni bati kama husalimii sikusalimii, binti akawa mstaarabu akaniaalimia nikaitika nikala bati tena.

Nikatoka nikaingia kwenye chuma yangu huyo, nikiwa nimemuacha pale, huyo Cask, nimekaa nimeagiza zangu mbuzi mbavu napenda mafuta ya mbuzi, na ndizi taamu, kipindi nasubiri nikawa napata kafee, kunyanyua kichwa namuona yule mdada nae pale anaingia, sijui alikuwa na harakati zipi. Badae nikajipitisha tuonane, nikamsemesha aah .." upo hapa " akaita ndio nilikuja onana na wenzangun ila wao wamefikia hotelin jirani, nikasema poa fresh. Nikazunguka nikarudi tena nikamuambia karibu , nipo hapo napata chochote kitu badae nirudi kupumzika. Akasema asante

Nimekaa hadi saa nne usiku nikasema, acha nijipitishe tena nikamkuta wanapata vitu vyao vikali , akanikaribisha nikasema asante mie hizo hapana shukrani, ila nakuja kidogo tupige mawili matatu, nikajizungusha badae nikarudi nika join nao, ngoma hadi sita kasoro nikawa nimechoka nikawaaga, akasema subiri kama nusu saa tuondoke wote.

Nikavuta subira, imepita kweli wakawa wazungu, wao walikuwa wanne, nikawaambia na gari yangu, wakasema ooh! haina haja ya Tax nitawapitisha wanapo lala na sie tutaenda wakasema okay.

Wakaingia kwenye chuma , gari imetulia ndani dada mmoja akasema jamani toka nimezaliwa leo ndio napanda hii gari , nikachukua credit kama baharia

Nimewapitisha wale wenzake, tunarudi nikiwa bati, naulizwa najibu nakausha. Tumefika pale reception kachukua card ananisubiri na mie na mie nikachukua. Pale nikasema hizi second kadhaa za kuwa ndani ya lift nizijaribu. Ile kuingia nikamtania sasa unadaje kulala mwenyewe , akacheka nikasema basi nikusindikize akacheka mie nilikuwa flow ya tatu yeye flow ya nne, nikapitiliza

Mwanamke anasema upo serious kabisa, nimefika pale nikashuka nikasema haya niemekufikisha salama au hadi kwako, akasema haya bwana nipeleke kwakua umeanua..

Fika pale kafungua mlango nikasema haya sister asante uwe na usiku mwema, akasema asante afungi mlango na mie siondoki tunaangalia huku tunacheka, nika test validity kumshika mkono kiutani, ikawa positive nikajivuta ndani kama nyoka, pale pale mlango nikausukuma nikapigia pale pale mlangoni nilimkumbatia nikamgeuza kwa nguma, niliuza mechi maana no ndom haikuwapo.. sijawai tena kukutana na huyo dada na sikuchukuaga namba dar.. kama ni member jf kwa hii story fupi anaweza nitambua so aje PM tukumbushie
Uko vizuri mkuu,ukajipigia mlangoni,dah..Ngoja na Mimi punde niilete kimasikhara yangu Kwa mara ya Kwanza hapa jf
 
Uko vizuri mkuu,ukajipigia mlangoni,dah..Ngoja na Mimi punde niilete kimasikhara yangu Kwa mara ya Kwanza hapa jf
😄😄😄 mkuu wale hawaeleweki, unaweza sema uende kitandani akabadirisha mawazo, au ufate ndom ukakuta kabadirika. Touch za pale pale ili kusababisha utelezi, mgeuza kidogo shusha chini, ngoma ikatambaa na wavu
 
Bao la kwanza dakika 20 na umetoka shule mbaya zaidi upo na madam? Hapa sijakibali maana hata sisi tumepita humo humo na bao la kwanza liliishia kutoka kwa spidi ya Jet ile nachomeka tu. Yani hata la pili na la tatu huchukui muda wote huo kama kweli upo na madam wako hivyo emb acha kutulisha matango.
Mzee hii really kabisa, me mwenyewe bao la kwanza hata 30 dakika nachukia mpaka mwanamke anasema mwenyewe kojoaaaa kojoaaa kojoaaa
 
Kuna miaka ya kati nilisafiri hadi Mkoa mmoja hivi, nikafika Jioni nikapata GUEST nikalala, kwa sababu nilikuwa nimechoka sana nikajisahau kufunga mlango.

Ghafla usiku nikahisi mtu ananitoa shuka na kujilaza pembeni huku akiniita jina ambalo sio langu.... kwa sababu nina IQ kubwa nikajua tayari kimeumana leo.

Nikageuka taratibu huku nikisema liwalo na liwe maana nikagundua ni mwanamke binti akiwa utupu - taa imezimwa nikageuka nikapanda nikala mzigo...

Wakati naanza kula nahisi alishtuka..ila mimi sikumpa nafasi hadi nikautua mzigo woteee hoi - tena na ule uchovu wa safari aisee mwili ukachangamka...

Nikasikia sauti ya upoleee...samahaniii .. nikajibu usijali dada haya ni maisha tu..... akataka kuondoka nikamsihi asiondoke muda huo.... baada ya dk 10 nikashusha mzigo mwingine... nikamruhusu kuondoka.

Asubuhi nikawahi breakfast ili niendelee na misele yangu..ghafla naona kundi la watu kama 20 wanaingia breakfast nacheki namuona na yeye tukakutamisha macho akaangalia chini...

baadaye nikauliza wahudumu akasema hao ni wanakwaya !! kwa alivyokuwa mlimbwende ikabidi niahirishe safari kwa siku 3 tuendeleze libeneke..maana bahati kama hizi hazijagi mara mbili yaani once ni life time.

Nilipozoeana siku ya 2 nikamuuliza kwani ilikuwaje jana ? akaangalia chini kwa smile na aibu kwamba alikosea chumba !! nikajua alikuwa na miadi na mwanakwaya mwenzake !!
Hii imezidi sukari.
54271237-e50e-4a28-8b10-1269c8407ef7.jpg


Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
 
Nikiwa reception najaza details zangu, akaja mdada mzuri mrembo kabisa, nikamuacha nae anajaza details nikapanda lift huyo room kwangu.

Mida flani ya usiku, nikasema acha niende cask kupata chochote kitu, natoka room najisogeza kwenye lift ile naingia nakutana na yule mtoto nae anashuka chini, kama kawaida yangu huwa ni bati kama husalimii sikusalimii, binti akawa mstaarabu akaniaalimia nikaitika nikala bati tena.

Nikatoka nikaingia kwenye chuma yangu huyo, nikiwa nimemuacha pale, huyo Cask, nimekaa nimeagiza zangu mbuzi mbavu napenda mafuta ya mbuzi, na ndizi taamu, kipindi nasubiri nikawa napata kafee, kunyanyua kichwa namuona yule mdada nae pale anaingia, sijui alikuwa na harakati zipi. Badae nikajipitisha tuonane, nikamsemesha aah .." upo hapa " akaita ndio nilikuja onana na wenzangun ila wao wamefikia hotelin jirani, nikasema poa fresh. Nikazunguka nikarudi tena nikamuambia karibu , nipo hapo napata chochote kitu badae nirudi kupumzika. Akasema asante

Nimekaa hadi saa nne usiku nikasema, acha nijipitishe tena nikamkuta wanapata vitu vyao vikali , akanikaribisha nikasema asante mie hizo hapana shukrani, ila nakuja kidogo tupige mawili matatu, nikajizungusha badae nikarudi nika join nao, ngoma hadi sita kasoro nikawa nimechoka nikawaaga, akasema subiri kama nusu saa tuondoke wote.

Nikavuta subira, imepita kweli wakawa wazungu, wao walikuwa wanne, nikawaambia na gari yangu, wakasema ooh! haina haja ya Tax nitawapitisha wanapo lala na sie tutaenda wakasema okay.

Wakaingia kwenye chuma , gari imetulia ndani dada mmoja akasema jamani toka nimezaliwa leo ndio napanda hii gari , nikachukua credit kama baharia

Nimewapitisha wale wenzake, tunarudi nikiwa bati, naulizwa najibu nakausha. Tumefika pale reception kachukua card ananisubiri na mie na mie nikachukua. Pale nikasema hizi second kadhaa za kuwa ndani ya lift nizijaribu. Ile kuingia nikamtania sasa unadaje kulala mwenyewe , akacheka nikasema basi nikusindikize akacheka mie nilikuwa flow ya tatu yeye flow ya nne, nikapitiliza

Mwanamke anasema upo serious kabisa, nimefika pale nikashuka nikasema haya niemekufikisha salama au hadi kwako, akasema haya bwana nipeleke kwakua umeanua..

Fika pale kafungua mlango nikasema haya sister asante uwe na usiku mwema, akasema asante afungi mlango na mie siondoki tunaangalia huku tunacheka, nika test validity kumshika mkono kiutani, ikawa positive nikajivuta ndani kama nyoka, pale pale mlango nikausukuma nikapigia pale pale mlangoni nilimkumbatia nikamgeuza kwa nguma, niliuza mechi maana no ndom haikuwapo.. sijawai tena kukutana na huyo dada na sikuchukuaga namba dar.. kama ni member jf kwa hii story fupi anaweza nitambua so aje PM tukumbushie
flow= Floor.

Afu hii ni chai kabisaaaa

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
 
Kuna miaka ya kati nilisafiri hadi Mkoa mmoja hivi, nikafika Jioni nikapata GUEST nikalala, kwa sababu nilikuwa nimechoka sana nikajisahau kufunga mlango.

Ghafla usiku nikahisi mtu ananitoa shuka na kujilaza pembeni huku akiniita jina ambalo sio langu.... kwa sababu nina IQ kubwa nikajua tayari kimeumana leo.

Nikageuka taratibu huku nikisema liwalo na liwe maana nikagundua ni mwanamke binti akiwa utupu - taa imezimwa nikageuka nikapanda nikala mzigo...

Wakati naanza kula nahisi alishtuka..ila mimi sikumpa nafasi hadi nikautua mzigo woteee hoi - tena na ule uchovu wa safari aisee mwili ukachangamka...

Nikasikia sauti ya upoleee...samahaniii .. nikajibu usijali dada haya ni maisha tu..... akataka kuondoka nikamsihi asiondoke muda huo.... baada ya dk 10 nikashusha mzigo mwingine... nikamruhusu kuondoka.

Asubuhi nikawahi breakfast ili niendelee na misele yangu..ghafla naona kundi la watu kama 20 wanaingia breakfast nacheki namuona na yeye tukakutamisha macho akaangalia chini...

baadaye nikauliza wahudumu akasema hao ni wanakwaya !! kwa alivyokuwa mlimbwende ikabidi niahirishe safari kwa siku 3 tuendeleze libeneke..maana bahati kama hizi hazijagi mara mbili yaani once ni life time.

Nilipozoeana siku ya 2 nikamuuliza kwani ilikuwaje jana ? akaangalia chini kwa smile na aibu kwamba alikosea chumba !! nikajua alikuwa na miadi na mwanakwaya mwenzake !!
Hahaha very funny
 
Mimi sina Dini na Mungu hana dini hivo ugunduzi wako ni Mzuri tu maana hata Yesu aliingia mpaka misikitini, kwa wasabato, wa Roma na kote alikataliwa ndo maana alichagua wanafunzi wake hao wakaeneza Habari. Hivo tulia kama hupendi yupo atakae Penda
Tumia reference za quraan ,halafu uje na refer za kibudha,kihindi,Krishna,kiafrika Mana hauna dini.
Umeambiwa kutombane ndio ubaya
 
Kimasihara nilikula beki tatu mbele ya mtoto ww bosi wake daah! Najuta sana nikikumbuka.
 
Back
Top Bottom