Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mkuu, kuna vitu viwili vitatu hivi u need to know
1. U need to know mwanamke akipenda anakuwaje (trust me she can do anything for u, na huwa hawajali kuhusu gharama almradi moyo wake umependa)
2. Date strategically (though kwa mimi huyu ilikuwa by coincidence)she was a supervisor kwa section yake mind u her take home was more than 6 mil, mimi Nilikuwa almost vyeo 2 juu yake (nisingependa kusema my exactly position ili kulinda identity) so u need also to understand that
3. The fact about our orientation, kwa ladies let’s assume anajiuza, trust me ukimkaza vizuri next time atakupa bure (wakongwe wote wa fani wanalijua hili)! This show how much wenzetu huwa wanaguswa na bed stuffs.
Mimi kama mimi, kiukweli huwa sifanyi mzaha napotunukiwa mbususu, huwa nahakikisha nafanya a foreplay nzuri na kufahamu week points za mpinzani wangu, then napoingia kazini huwa nahakikisha mpinzani anafika sometimes up to three times before Mie sijaachia mzigo!
As a matter of fact, sikupenda kuweka wazi yote haya sababu sitafuti appreciation here.

(Kuna mwana JF maarufu sana tulishakulana kimasihara, naamini akisoma hapa she will agree na bandiko hili)
Adieu kamanda kindakindaki wa CDM
Very true!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUNA YULE AMBAE NI SINGLE MAMA. Yaani amepata mtoto kabla ya Ndoa. Wazazi hawakufurahi na hamna mzazi anaefurahia hilo. Nipo hapa namkumbusha kwamba ALIFANYA UASHERATI haijarishi sasa ameolewa ama na Mume huyo au na Mume mwingine.

Mpendwa tubu hujachelewa. Tubu kwa ajir yako na kwa ajiri ya huyo mtoto haijarishi ni mkubwa. Ukiweza shika sadaka hata kama ni 1000.

Ukishatubu Vunja hiyo Roho ni Mafatilizi hata wewe kwenye ukoo wako sio wa kwanza kuzalishwa ukiwa nyumbani. Sasa ivunje Isaya 7:7. Ni hatari sana kwa maana. Hata mwanao ama atapiga mimba kabla ya ndoa ama atazaa nyumbani kabla ya ndoa sbb ya hiyo Roho. Ni wazi hutofurah bali anaefurahia haya ni Nyoka tu na mtoto wake.

Mungu anasamehe hivo usiogope Shuka na Nyenyekea maana ndo mwanzo wa UASHERATI NA UZINZI usipofanya hayo wewe ni chanzo.

Tamani kuvuka katika hili mpendwa wangu. Nakupenda sana na napenda uvushe mwanao maana Yeye ni mzaliwa wa kwanza. Haijarishi yote lakini ndie amefungua tumbo lako. Shetan anamtaka. Mambo haya nakupa dada huwezi yapata hata huko unaenda kujumuika. Kama ni Mwanaume pia omba tu kama nilivosema. Msaidie mwanao na wewe pia. Hii itasaidia kupunguza uasherati yaan ni Maombi tu.

Neema ya Bwana Yesu kristo iwe nanyi. Msikate tamaa
Mama yako umemiambia haya...?
 
We jamaa unajiweza asee!! Ligi yako si mchezo, wenzako walicheua ruti lakin wew unakomaa adi wajuba wanakukatia tamaa, sijui wamekudharau unayoyasema au wamekuelewa au lah wamekosa Cha kukujibu
Hatusomi tunapita tu. Kutafuta mada tunayoitaka kifupi sio Muungwana angeanzisha mada yake Katika uzi mpya ingekuwa vyema.
 
Kuna miaka ya kati nilisafiri hadi Mkoa mmoja hivi, nikafika Jioni nikapata GUEST nikalala, kwa sababu nilikuwa nimechoka sana nikajisahau kufunga mlango.

Ghafla usiku nikahisi mtu ananitoa shuka na kujilaza pembeni huku akiniita jina ambalo sio langu.... kwa sababu nina IQ kubwa nikajua tayari kimeumana leo.

Nikageuka taratibu huku nikisema liwalo na liwe maana nikagundua ni mwanamke binti akiwa utupu - taa imezimwa nikageuka nikapanda nikala mzigo...

Wakati naanza kula nahisi alishtuka..ila mimi sikumpa nafasi hadi nikautua mzigo woteee hoi - tena na ule uchovu wa safari aisee mwili ukachangamka...

Nikasikia sauti ya upoleee...samahaniii .. nikajibu usijali dada haya ni maisha tu..... akataka kuondoka nikamsihi asiondoke muda huo.... baada ya dk 10 nikashusha mzigo mwingine... nikamruhusu kuondoka.

Asubuhi nikawahi breakfast ili niendelee na misele yangu..ghafla naona kundi la watu kama 20 wanaingia breakfast nacheki namuona na yeye tukakutamisha macho akaangalia chini...

baadaye nikauliza wahudumu akasema hao ni wanakwaya !! kwa alivyokuwa mlimbwende ikabidi niahirishe safari kwa siku 3 tuendeleze libeneke..maana bahati kama hizi hazijagi mara mbili yaani once ni life time.

Nilipozoeana siku ya 2 nikamuuliza kwani ilikuwaje jana ? akaangalia chini kwa smile na aibu kwamba alikosea chumba !! nikajua alikuwa na miadi na mwanakwaya mwenzake !!
Ili Anza Kama chai hivi kidogo nikalete maandazi
 
Kabla haujamuona Mtu yeyote yule kwamba ni mdhambi ni Vizuri ukamuombea kwanza. Kitendo cha kuacha Mambo yako kumuombea uliyemuona Tuseme Mwasherati na Mzinzi kitakufanya ujione upo katika Nafasi gani mbele za Mungu. Nifatilie kidogo.

Kiongozi wako unaempelekea Sadaka na kujihudhurisha huko. Yeye ni kioo yaani ni Jicho lako. Maanake pale unaenda Kujiangalia inatakiwa ujione. Usipojiona ipo shida. Sikiliza mtoto wa Mungu ukijiangalia kwenye kioo nyumbani kwako ni dhahiri haichukui dkk 1 unakuwa umeshajisahau ulivyo kwa sbb u mavumbi na mavumbini utarudi.

Jicho lako likikukosesha ling’oe bora uende na chongo mbinguni. Maana kila mtu anataka mbingu Hakuna mtu anachagua kwenye Moto. Ila matendo yanakuchagulia sikutishi si kosa lako bali ni JICHO LAKO unalolipelekea pesa na michango lakini halioni kwamba umefungwa Pingu na umetupwa kwenye Gereza baya sana.

Sikia. Unapo Muombea mtu toba basi unajiona kumbe na wewe si kitu(Katika Roho). Nakufundisha kusimama mwenyewe Hakuna mtu atakuonyesha njia isipokuwa wewe kupambana na Mungu wako akusaidie. Lazima ujikane sio kujikinai.

Wafu ni wale waliokufa kiroho lakini kikwili wapo hai. Wazinzi, waasherati na hao wa kufana nao.Wafu wanamakazi yao pia makaburini(makanisa yasiyomjua Mungu). Hutasikia uzinzi unakemewa wala uasherati maana na Yeye anakula kimasihara kondoo zake.

Lakini Wewe una Neema kubwa sbb Yohana : 5 : 28 - Msistaajabie maneno hayo; kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake. Sauti Ndio hii naipitisha maana maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu. Yesu akasema wazi kaeni ndani yangu nami ndani Yenu. Hivo yupo anatenda amekuja kukuweka huru na vifungo vyote vya uzinzi na uasherati. Unafufuliwa ulikuwa umekufa sasa u hai ukikubal kutii utakula mema ya nchi. Isaya 1:19

Unapoamua kuacha kwa Msaada wa Mungu yaani wewe kuomba Mungu akusaidie kuacha Mambo machafu basi umeisikia sauti ya Mungu amekutoa kwenye kaburi wala huwezi kukubali Kubak kaburini utawaacha wafu wazike wafu wao.

Kupiga mzigo ni raha lakini ni laana. Nipo hapa kukukumbusha kwamba wewe haujachelewa wakati ni sasa tulia na mkeo. Mwenye mchumba oa hakuna kona kona. Hii itakusaidia kupata ulinzi wa Mungu popote uendapo mabaya hayatakupata.

Hata vitabu vya dini zote vinakataa Uzinzi na uasherati ukiona unafurahia basi Mungu hayupo nawe ila upo kama watu wengine tu ambapo mvua inanyesha wote tunalima tunavuna. Tubu anza upya Mungu akusaidie mpendwa
20220701_105103.jpg
Mtumishi kojoa chapu ukalale akili itulie uandae somo la jumapili kanisani kwako upate na sadaka huku hawakufuatilii na sadaka hutopata
 
Watu wali ignore lakini bado wananizungumzia. Namshukuru Mungu amenipatia vijana humu wa 4 nlikuwa bize na hao. Wengi maana nlitaka 1 tu. Imagine @ Rikboy kani ignore lakini nae amenipiga spana je alionaje post zangu. Hivo hata mimi nafatilia masihara muhimu kusoma

Kwamba mtu Anauza Duka la vitu vya nyumbani kama unga, mafuta vibaba, jambo zuri lakini anasema anagari hata hawara yake hajawahi kupanda. unabaki unasikitika tu.mda tu wa kutoka dukani hana. Mliita hadi Mods Kuweni na amani. Tuishi
 
Watu wali ignore lakini bado wananizungumzia. Namshukuru Mungu amenipatia vijana humu wa 4 nlikuwa bize na hao. Wengi maana nlitaka 1 tu. Imagine @ Rikboy kani ignore lakini nae amenipiga spana je alionaje post zangu. Hivo hata mimi nafatilia masihara muhimu kusoma

Kwamba mtu Anauza Duka la vitu vya nyumbani kama unga, mafuta vibaba, jambo zuri lakini anasema anagari hata hawara yake hajawahi kupanda. unabaki unasikitika tu.mda tu wa kutoka dukani hana. Mliita hadi Mods Kuweni na amani. Tuishi
Nyanyatole kaunga mkono hoja tuishi humu
 
Mkuu, kuna vitu viwili vitatu hivi u need to know
1. U need to know mwanamke akipenda anakuwaje (trust me she can do anything for u, na huwa hawajali kuhusu gharama almradi moyo wake umependa)
2. Date strategically (though kwa mimi huyu ilikuwa by coincidence)she was a supervisor kwa section yake mind u her take home was more than 6 mil, mimi Nilikuwa almost vyeo 2 juu yake (nisingependa kusema my exactly position ili kulinda identity) so u need also to understand that
3. The fact about our orientation, kwa ladies let’s assume anajiuza, trust me ukimkaza vizuri next time atakupa bure (wakongwe wote wa fani wanalijua hili)! This show how much wenzetu huwa wanaguswa na bed stuffs.
Mimi kama mimi, kiukweli huwa sifanyi mzaha napotunukiwa mbususu, huwa nahakikisha nafanya a foreplay nzuri na kufahamu week points za mpinzani wangu, then napoingia kazini huwa nahakikisha mpinzani anafika sometimes up to three times before Mie sijaachia mzigo!
As a matter of fact, sikupenda kuweka wazi yote haya sababu sitafuti appreciation here.

(Kuna mwana JF maarufu sana tulishakulana kimasihara, naamini akisoma hapa she will agree na bandiko hili)
Adieu kamanda kindakindaki wa CDM
Kumbe warembo wa jf wanaliwa kimasihara na madume ya jf na hamtuambii. Ebu tuambie bwana demu gani huyo umemkula kimasikhara...sio mawardat kweli?
 
Nyie watu wa humu hampendeki,mkiletewa mahubiri mnakasirika,msipoletewa mnayatamani

Mmemzodoa mbaba wa watu kawaachieni uzi wenu,mnammisi tena

All the all UKIMWI upo na UNAUA.
Wee nae tutakufukuza kwenye uzi wetu pendwa
 
Mkuu, kuna vitu viwili vitatu hivi u need to know
1. U need to know mwanamke akipenda anakuwaje (trust me she can do anything for u, na huwa hawajali kuhusu gharama almradi moyo wake umependa)
2. Date strategically (though kwa mimi huyu ilikuwa by coincidence)she was a supervisor kwa section yake mind u her take home was more than 6 mil, mimi Nilikuwa almost vyeo 2 juu yake (nisingependa kusema my exactly position ili kulinda identity) so u need also to understand that
3. The fact about our orientation, kwa ladies let’s assume anajiuza, trust me ukimkaza vizuri next time atakupa bure (wakongwe wote wa fani wanalijua hili)! This show how much wenzetu huwa wanaguswa na bed stuffs.
Mimi kama mimi, kiukweli huwa sifanyi mzaha napotunukiwa mbususu, huwa nahakikisha nafanya a foreplay nzuri na kufahamu week points za mpinzani wangu, then napoingia kazini huwa nahakikisha mpinzani anafika sometimes up to three times before Mie sijaachia mzigo!
As a matter of fact, sikupenda kuweka wazi yote haya sababu sitafuti appreciation here.

(Kuna mwana JF maarufu sana tulishakulana kimasihara, naamini akisoma hapa she will agree na bandiko hili)
Adieu kamanda kindakindaki wa CDM
Yan very true...kuna wanawake kama wanne nishafanya kila aina ya vituko ila bado wapo tu...
 
Back
Top Bottom