Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Zingatia nlokuambia kaka ni upendo. Ninao watu hao wamemrudia Mungu.
Inakuwaje una nihusisha na punyeto na uhanithi alafu unasema upendo wa Mungu ? Uwe na adabu na heshima sio unaleta shobo za kukoseana heshima. Unataka nimrudie Mungu kwani nilikuwa wapi
 
Inakuwaje una nihusisha na punyeto na uhanithi alafu unasema upendo wa Mungu ? Uwe na adabu na heshima sio unaleta shobo za kukoseana heshima. Unataka nimrudie Mungu kwani nilikuwa wapi

Bill Shaka Roho inakubali mwili unakataa. Yaani unafanya uasherat barabaran afu unasema mimi nakukosea heshima. Mi sijakuomba umrudie Mungu. Nimeomba uache punyeto.
 
Bila Shaka Mmeamka Salama wapendwa. Mshukuru Mungu kwa ajir Yako na familia yako. Omba Rehema na omba ulinzi wa Mungu weka familia yako wakfu. Mabaya hayatakupa ndivyo Mungu anataka.

Jaribu kufikir wangap wanakufa ghafla, wangapi hawarud nyumban leo wanahamia hospital usiwe wewe kwa kufanya hayo mazoezi mafupi ya Dk 3. Ikiwa wengine wanatumia Dkk 5 kupiz na wanajuta kwa nn wamefanya tumia dkk hizo hizo kumuambia Baba asante.

Mungu anapenda Mtu mwenye shukrani. Fikiri Baba yako akikupa pesa ya matumizi si ulisema Asante Baba. Au mwanao ukimpa 100-500 ya mihogo shule je asipo Sema asante si utamshangaa utamfundisha. Basi Mungu Baba ni zaidi. Mshukuru ata wewe ni mzima haijarishi unamkosea sana usiwaze atakuwezesha utashinda. Mshukuru kwa ajiri ya familia yako
 
Si sawa kumuhuzisha Mungu na uchafu. Ni heri kutubu na ufanye mambo yako ila usimuhusishe Mungu. Ghadhabu yake ni kubwa sana. Unaweza kuiacha paso yako wakaendesha wengine. Nipo hapa kukukumbusha juu ya kutubu kwa hilo kuhusu kimasihara uamuzi ni wako
Usituletee mambo yako mkuu, hivi wewe unaijua dini au unababisha. Mm najua sana ukristo kuliko wewe, nimejifunza mambo mengi sana kuliko wewe and baadae nikagundua duniani hakuna dini inaitwa ya mungu ila mwamini mungu toa sadaka kwa wahitaji hiyo ndio dini ila sio kwenda kanisani ama msikitini
 
Bila Shaka Mmeamka Salama wapendwa. Mshukuru Mungu kwa ajir Yako na familia yako. Omba Rehema na omba ulinzi wa Mungu weka familia yako wakfu. Mabaya hayatakupa ndivyo Mungu anataka.

Jaribu kufikir wangap wanakufa ghafla, wangapi hawarud nyumban leo wanahamia hospital usiwe wewe kwa kufanya hayo mazoezi mafupi ya Dk 3. Ikiwa wengine wanatumia Dkk 5 kupiz na wanajuta kwa nn wamefanya tumia dkk hizo hizo kumuambia Baba asante.

Mungu anapenda Mtu mwenye shukrani. Fikiri Baba yako akikupa pesa ya matumizi si ulisema Asante Baba. Au mwanao ukimpa 100-500 ya mihogo shule je asipo Sema asante si utamshangaa utamfundisha. Basi Mungu Baba ni zaidi. Mshukuru ata wewe ni mzima haijarishi unamkosea sana usiwaze atakuwezesha utashinda. Mshukuru kwa ajiri ya familia yako
Huko ni kutishana sasa, usimwamini mungu kwa kuogopa ukifa utachomwa moto mwamini kwa sababu unampenda na mwamini sababu ni sehem ya maisha yako kuishi hivo so relax mdogo wangu acha watu tule dunia
 
Isac ingekuwa busara uangalie mazingira ya kuhubiri. Nafahamu ni muhubiri mzuri japo sijafuatilia kama upo kibaha kwa baba yako au dar, ingefaaa basi kama unapenda kuhubiri humu utengeneze andiko zuri moja badala ya kubishana nao. Humu ndugu kama ni mgeni watu wanajiita wazinzi, wa motoni, wa shetani, wahuni n.k na wamelizika kuwa hivyo. ndio maana wanakwambia kuwa wanauwezo wa kukuhubilia.

Nakushauri Acha kuingilia watu kwenye nchi yao nzuri kwao ya masihara waliyoiunda na kumjengea sanamu rickboy wao. Kama kusema umesema mwenyesikio na Asikie Kitu Roho anawaambia wanamasihara
Si sawa kumuhuzisha Mungu na uchafu. Ni heri kutubu na ufanye mambo yako ila usimuhusishe Mungu. Ghadhabu yake ni kubwa sana. Unaweza kuiacha paso yako wakaendesha wengine. Nipo hapa kukukumbusha juu ya kutubu kwa hilo kuhusu kimasihara uamuzi ni wak
 
Mtizame NYOKA huyu mdudu.
Ukimuona Jirani yako jinsi Mwili unavo Jiskia. Ndivyo unavyopaswa kuyaogopa matendo maovu. Ndivyo Mungu aliumba hivyo. Umuogope Mungu kama unavo muogopa nyoka.

Ukimkuta Nyoka chumbani kwako ni wazi hutolala mpaka umuue hutokuwa na Amani. Sikia mpendwa Wangu hiyo ni kimwili kabisa.

Yohana 4:24 - Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Kumbe hatupaswi kumwabudu Mungu kimwili. Maana katika Roho tumefanyika kuwa Hekalu la Mungu ama la Ibilisi maana Yeye nae Ni Roho tofauti tu Yeye ibilisi si mkweli na hana nafasi mbinguni. Wanadamu tunayo nafasi. Kwann tuitupe?usiitupe Mungu anakupenda.

Kama sisi tu hekalu basi sisi ni Nyumba kama nilivosema pale juu.Je ni sahihi kulala kwenye nyumba ikiwa umemwona Nyoka. Kama huwezi kulala kimwili basi usiweze kiroho maana Nyoka ni ishara ya Shetani. Kwamba umetenda maovu yaani umeyakaribisha Nyumbani kwako hayo maovu Kwann basi usihakikishi umetubu ili Mungu ayaondoe hayo mauvu Ndipo ulale mpendwa wangu. Nifuraha kiasi gani kulala ukiwa umempendeza Mungu yaani msafi wa Roho na Mwili maana mwili unapokea tu kutoka ktk Roho.

Jaribu tu. Umetoka kula kimasihara sawa fanya nlivokuambia kimasihara itaenda inaisha. Kimasihara huwezi kufanya hadharani utajificha Mke/Mume asikuone,kama ni housegirl utahakikisha nyumbani hamna Mtu. Lakini Baba yangu anakuona maana Yeye huona ndani ya Nafsi yako kunawaza nini. Kama ni ya halali fanya na wengine wapo. Ukikamatwa unasema Shetani alinipitia sa si ungemwambia hauendi. Sema wewe ni mpumbafu na Mjinga unapotubu mbele za Mungu hapa anaelewa. Lakin ukiangalia za shetan alinipitia basi na kesho atakupitia Mungu hahangaiki na wewe kukuwekea ulinzi.

Pokea Busu takatifu kutoka kwangu hapo ulipo
 
Isac ingekuwa busara uangalie mazingira ya kuhubiri. Nafahamu ni muhubiri mzuri japo sijafuatilia kama upo kibaha kwa baba yako au dar, ingefaaa basi kama unapenda kuhubiri humu utengeneze andiko zuri moja badala ya kubishana nao. Humu ndugu kama ni mgeni watu wanajiita wazinzi, wa motoni, wa shetani, wahuni n.k na wamelizika kuwa hivyo. ndio maana wanakwambia kuwa wanauwezo wa kukuhubilia.

Nakushauri Acha kuingilia watu kwenye nchi yao nzuri kwao ya masihara waliyoiunda na kumjengea sanamu rickboy wao. Kama kusema umesema mwenyesikio na Asikie Kitu Roho anawaambia wanamasihara
Nakazia hapo kwenye Wisdom.. Kama mtumishi akikosa hekima hakuna huduma atafanya ikafanikiwa. Apostle Paul alijifanya mjinga alipokutana na wajinga ( alibadirika kutokana na watu alio kuwa akiwahudumia ). Huyu kijana wako hana wisdom hana understanding ya kuwakilisha injili kwa makundi tofauti ya watu.
 
Mtizame NYOKA huyu mdudu.
Ukimuona Jirani yako jinsi Mwili unavo Jiskia. Ndivyo unavyopaswa kuyaogopa matendo maovu. Ndivyo Mungu aliumba hivyo. Umuogope Mungu kama unavo muogopa nyoka.

Ukimkuta Nyoka chumbani kwako ni wazi hutolala mpaka umuue hutokuwa na Amani. Sikia mpendwa Wangu hiyo ni kimwili kabisa.

Yohana 4:24 - Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Kumbe hatupaswi kumwabudu Mungu kimwili. Maana katika Roho tumefanyika kuwa Hekalu la Mungu ama la Ibilisi maana Yeye nae Ni Roho tofauti tu Yeye ibilisi si mkweli na hana nafasi mbinguni. Wanadamu tunayo nafasi. Kwann tuitupe?usiitupe Mungu anakupenda.

Kama sisi tu hekalu basi sisi ni Nyumba kama nilivosema pale juu.Je ni sahihi kulala kwenye nyumba ikiwa umemwona Nyoka. Kama huwezi kulala kimwili basi usiweze kiroho maana Nyoka ni ishara ya Shetani. Kwamba umetenda maovu yaani umeyakaribisha Nyumbani kwako hayo maovu Kwann basi usihakikishi umetubu ili Mungu ayaondoe hayo mauvu Ndipo ulale mpendwa wangu. Nifuraha kiasi gani kulala ukiwa umempendeza Mungu yaani msafi wa Roho na Mwili maana mwili unapokea tu kutoka ktk Roho.

Jaribu tu. Umetoka kula kimasihara sawa fanya nlivokuambia kimasihara itaenda inaisha. Kimasihara huwezi kufanya hadharani utajificha Mke/Mume asikuone,kama ni housegirl utahakikisha nyumbani hamna Mtu. Lakini Baba yangu anakuona maana Yeye huona ndani ya Nafsi yako kunawaza nini. Kama ni ya halali fanya na wengine wapo. Ukikamatwa unasema Shetani alinipitia sa si ungemwambia hauendi. Sema wewe ni mpumbafu na Mjinga unapotubu mbele za Mungu hapa anaelewa. Lakin ukiangalia za shetan alinipitia basi na kesho atakupitia Mungu hahangaiki na wewe kukuwekea ulinzi.

Pokea Busu takatifu kutoka kwangu hapo ulipo
Wewe jamaa , muombe Mungu wako akupe hekima , ufahamu na maarifa. Unachokifanya si njia ya muhubiri yoyote.

kaa chini nikupe lecture kidogo kwanza ..

Why kuna nyaraka mbali mbali katika biblia ?

Nyaraka zile, zilikuwa zikilenga jamii fulani ( eneo husika ), huwezi tatua tatizo la Efeso kwa kutumia case za Korinto. Unavyo hubiri kanisani si sawa na utavyo kuja hubiri hapa. Lazima utumie hekima na maarifa kuvuna watu kutokana na eneo husika.. kuwa flexible.. hata Yesu Alikaa na makahaba alitumia wisdom na maarifa na ufahamu katika kufikisha neno..

Acha kutisha, Ulinzi wa Mungu 100%, uwe umefanya dhambi na uwe ujafanya dhambi.. Yeye huwanyeshea mvua wote wema na wabaya.. Your Guardian angel kila siku yupo na wewe hata uwe mdhambi kiasia gani, mission yake inakuwa aborted pale tu unapokufa.. Rudi ukajifunze namna ya kueneza injili na kuifisha injili kwa makundi mbali mbali ya watu na sio kutishana
 
Usituletee mambo yako mkuu, hivi wewe unaijua dini au unababisha. Mm najua sana ukristo kuliko wewe, nimejifunza mambo mengi sana kuliko wewe and baadae nikagundua duniani hakuna dini inaitwa ya mungu ila mwamini mungu toa sadaka kwa wahitaji hiyo ndio dini ila sio kwenda kanisani ama msikitini

Mimi sina Dini na Mungu hana dini hivo ugunduzi wako ni Mzuri tu maana hata Yesu aliingia mpaka misikitini, kwa wasabato, wa Roma na kote alikataliwa ndo maana alichagua wanafunzi wake hao wakaeneza Habari. Hivo tulia kama hupendi yupo atakae Penda
 
Maisha matamu lakini mafupi. Kwamba naombea watu afu nagonga wake za watu basi ufalme wa shetan umefitinika. Shetan amtoa shetan mwenzie kwa Maombi yaan Yesu atusaidie unakuta hapo una degree. Ndio maana haya mambo hayasomewi. Unakuta mtu kaenda kusomea bibilia ati aje afundishe watu na watu wanamtunza. Neno la Mungu halisomewi hakuna Elimu ya Bible Mwl ni Roho mtakatifu yeye humfunulia amtakae

Luka 24:45 - Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko.
Aliwafunulia wakinanan? Ni wanafunzi wake kumbe lazima uwe mwanafunzi wake ndo akufunulie. Ungekuwa bas ungetambua usingesema TUACHE wewe na nan kwamba mmekuwa familia ya kimasihara.

Sihukumu Mtu mimi kwamba mzizi maana hata mimi nilikuwa Mzinzi pengine kuliko wewe. Maana usije ukadanganywa Mbegu haioti isipooza kwanza. Nami nilioza badae nikaota nikazaa matunda lakini Yesu alininyeshea Mvua ili niote(Maji) kwa nini basi NIKUDHARAU WEWE UNAE OZA SASA MKUU WANGU EEH. Nipo hapa kupalilia MAGUGU ILI UOTE VIZURI MWANANGU NIKUWEKEE NA MBOLEA WADOGOWANE NAKUPENDA NDUGU KWA AMANI TU KITAMBO KIDOGO HUTOYAONA HAYA HUMU UTAJIPIMIA MWENYEWE JE ULIDONDOKA KWENYE UDONGO MZURI, AU MIIBA IMEKUSONGA NI WEWE SASA. Pokea Busu takatifu mwaaaaah
wengi lazima kwanza huwe umepita kwenye moto hasaa. Kama ni mzinzi basi ulikuwa ni mzinzi haswaaa, kama ni mlevi basi ni mlevi haswaa. Kama ni ugonjwa umeumwa Mpk unakaribia kufa.... Hii yote, mwsho wa siku ukisimama kuutukuza utukufu wa Mungu basi una hushuhuda mkali haswaa. Watumishi wengi wakubwa wakubwa ukisikiliza historia zao, unaweza ukasisimka. Mwingine ata alikuwa jambazi.
 
Back
Top Bottom