Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kwa hiyo ngoja na sie tuwe wazinzi kweli kweli ndio tutaanza kutubu. Yeye wakati wa kumrudia Mungu umefika, sisi badobado kidogo. Mwenyewe nasoma hapo anasema "wakuu kimasihara ziendelee"...
[emoji1][emoji1] si kitu rahisi mkuu... Humu bado watu tunaendelea kuchukua kozi. Amini nakuambia, siku Neema ya Mungu ikikushukia utabadilika tu, Kwa njia yoyote ile hata kama ni ngumu. Kila mtu ana wakati wake sahihi. Lkn bila Neema lol!!. Yataingilia sikio la kulia na kutokea la kushoto. Na wengine watakuwa km zile mbegu zilizopandwa kwenye miiba, udongo wenye rutuba, mchanga, kwenye mawe [emoji13]. Ila wakati ukifika,,, unabadilika tuu.
 
Yohana mbatizaji ni Elisha ambae alienda mbinguni kwa farasi wa Moto na mwili hauna nafasi mbingun bali roho ilibid azaliwe upya ili afe Roho iende mbinguni. Jisomee afu usinipangie nisemeje imenichukua mda kuomba kwa ajir ya hili usidhan nimejileta subir nimalize niende. Kama unaweza kuungana na uchafu unawezaje kuniambia juu ya kuuondoa uchafu nitumie njia gani.

Shetani alimdanganya Daudi awahesabu wana wa israel akapigwa na Mungu. Kwa hiyo NIPISHE NIPITE
Wewe kijana acha fear of the shetani. Sio Elisha na Eliya ndio maana nakuambia haupo makini wewe. Na sio kila kinacho kuja kukufunda the right path usifiri ni shetani.. Hapo ndio unakwama hata mie nakuombea hapa Mungu akufungue macho uone unapo elekea, ulipo na ulipotoka ili kazi ifanyike vyema katika kumtukuza Mungu
 
[emoji1][emoji1] si kitu rahisi mkuu... Humu bado watu tunaendelea kuchukua kozi. Amini nakuambia, siku Neema ya Mungu ikikushukia utabadilika tu, Kwa njia yoyote ile hata kama ni ngumu. Kila mtu ana wakati wake sahihi. Lkn bila Neema lol!!. Yataingilia sikio la kulia na kutokea la kushoto. Na wengine watakuwa km zile mbegu zilizopandwa kwenye miiba, udongo wenye rutuba, mchanga, kwenye mawe [emoji13]. Ila wakati ukifika,,, unabadilika tuu.
Deby mimi nilishabadilika zamani sana..[emoji3]hapa na uzee huu nafurahisha ubongo wangu tu! Kila mtu atabadilika kwa namna yake, asitumie nguvu nyingi huyu mchungaji mla kimasihara..
 
Wewe kijana acha fear of the shetani. Sio Elisha na Eliya ndio maana nakuambia haupo makini wewe. Na sio kila kinacho kuja kukufunda the right path usifiri ni shetani.. Hapo ndio unakwama hata mie nakuombea hapa Mungu akufungue macho uone unapo elekea, ulipo na ulipotoka ili kazi ifanyike vyema katika kumtukuza Mungu

Ukiniambia una niombea nashukuru. Lakini maombi ya mwenye dhambi ni Kupayuka na makelele mbele za Mungu labda kama umetubu kwanza ktk Roho na kweli sasa mda mchache tu umekuja na masihara Mungu sio mshamba
 
Baada ya kumaliza mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa, Opereshi Nidhamu, kabla ya kuendelea na masomo ya juu, nilibahatika kufanya kazi katika Benki ya Taifa ya Biashara kabla ya kubinafsishwa. Ilinibidi nitafute kazi ya kujishikiza wakati nikiendelea na mchakato wa kwenda ng'ambo kusoma maana nilipata ufadhili wa nchi moja. Enzi hizo ufadhili wa kusoma nje ulikuwa sio haba na hata kupata kazi kwa mtu aliyemaliza kidato cha sita haikuwa ngumu.

Hapo kazini nilipata marafiki ambao tuliajiriwa pamoja! Nakumbuka mshahara wangu ulikuwa Tsh. 5,250.00 ukiongeza coupon ya chakula pamoja na muda wa ziada nilikuwa napata si chini ya Tsh. 10,000.00. Kwa kipindi hicho ilikuwa ni pesa nyingi sana. Pamoja na wenzangu, tulijenga mazoea ya kila baada ya kazi kupita katika Bar moja hivi "Kumwagilia moyo"! Pesa ilituruhusu ukiongezea ujana na uhuru mkubwa tulioupata. Katika Bar hiyo tulijikuta tukipata umaarufu sana tukapewa jina la VIJANA WA BENKI au VIJANA WA TAI! Akina dada hawakuisha kujipitisha kwetu na kujirahisisha, kujipeleka wenyewe kibra! Mbususu zililiwa japo kwangu nilikuwa muoga sana kwani kipindi hicho ndio UKIMWI ulikuwa umepamba moto!

Mama mmiliki wa Bar alitokea kunipenda sana akidai kuwa mimi ni mpole, mkarimu na ninajiheshimu sana. Alikuwa ananipa offer nyingi za kinywaji na chakula. Wenzangu walianza kuhisi kuwa ninakula mbususu lakini haikuwa hivyo.

Siku moja, kama kawaida yetu, baada ya kufanya balancing ya akaunti za wateja ya mwezi (enzi hizo balancing ilifanyika manually), tulienda kumwagilia moyo. Mara Paap, tukakuta binti mrembo mno mgeni hapo Bar. Kila mmoja akaanza harakati za kumpata maana sio kwa offer hizo..... Kumbe ni mdogo wa Mmiliki wa Bar. Mwenzetu mmoja alimuita aje ashiriki nasi ktk meza yetu, pasipo ajizi yule mrembo alikubali akaja kukaa pembeni ya aliyemuita. Jamani, jamani, binti alikuwa mzuri kwa vigezo vyote vya uzuri. Mate yalinitoka lakini sikuwa na jinsi niliendelea kushangilia uumbaji wa Mungu huku nikimuonea wivu mwenzangu. Baada ya muda, Mama Mmiliki wa Bar aliniita pembeni, akaniuliza, "umemuona mdogo wangu"? Nikamsifia hapo. Akaniambia wewe unajiheshimu sio kama wale wenzako sitaki waje wammpe Ukimwi. Akaendelea...Nimeisha mueleza kila kitu juu yako na hapa leo utaondoka naye, kazi kwako. Hakika sikuamini.

Mida ya saa tano usiku yalitengenezwa mazingira yule binti akaaga kuwa kachoka anaenda kupumzika na mimi baadae kidogo nikawaaga wenzangu. Nilipanga na Dada mtu ampeleke kwenye Bar nyingine jirani ambapo nilimpitia na tukaenda ghetto! Kufupisha, yule binti aliendelea kuwa demu wangu hadi pale nilipoondoka nchini kwenda masomoni. Huyu binti kumbe alikuwa kaolewa lakini alipata matatizo kwa mume wake akawa kaondoka kwa mumewe. Alishika ujauzito wangu lakini alimbambikia muwewe mimba baada ya kurudi kwake. Alijifungua mtoto wa kiume ni CERTIFIED PHOTOCOPY yangu! Nilikuja gundua baadae kuwa mumewe pia alikuwa muajiriwa ktk benki hiyo hiyo japo alikuwa mkoa mwingine. Nilishindwa kumfatilia mtoto wangu kwani niliogopa kuvunja ndoa ya watu na kushikwa ugoni pia! Mtoto tulikuwa tuonaonana kwa Mama yake Mkubwa japo hakutambulishwa! Hakika sijutii kukutana na huyo mrembo.

Wenzangu walikuja kugundua baadae walicheka sana wakasema hakika "SIMBA MWENDA POLE...."
Mzee mwenzangu umenikumbusha mbali "Operesheni Nidhamu", hiyo ilikuwa 1990, na ndiyo niliyoitumikia 833 KJ Oljoro
 
Ukiniambia una niombea nashukuru. Lakini maombi ya mwenye dhambi ni Kupayuka na makelele mbele za Mungu labda kama umetubu kwanza ktk Roho na kweli sasa mda mchache tu umekuja na masihara Mungu sio mshamba
Ona ulivyo na ushamba wa Mungu. Naimbie mie na wewe nani mwenye dhambi ?
 
Ona ulivyo na ushamba wa Mungu. Naimbie mie na wewe nani mwenye dhambi ?

Kaka Tamani kuishi maisha ya Toba nyakati zote. Toba inakufanya uwe mtakatifu kuhusu wewe au mimi nani mwenye dhambi Muulize roho wa Mungu. 1 Wakorintho : 2 : 11 - Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.
 
Kaka Tamani kuishi maisha ya Toba nyakati zote. Toba inakufanya uwe mtakatifu kuhusu wewe au mimi nani mwenye dhambi Muulize roho wa Mungu. 1 Wakorintho : 2 : 11 - Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.
Sasa kwanini ulisema uliniambia maombi ya mwenye dhambi ni makelele huku hujui state ya roho yangu ilivyo ? Toba haikufanyi kuwa mtakatifu. Niambie ni wapi Mungu anafanya toba na ilhali yeye ndie Mtakatifu wa wa takatifu ? Utakatifu ni nature yako ambayo umeithiri kutoka katika DNA za Mungu, pale tu aliposema na tumfanye mtu kwa mfano wetu na sura yetu kuanzia pale ulikuwa mtakatifu kama yeye alivyo kuwa mtakatifu, but unatakiwa ku work out ili u display huo utakatifu
 
Isac ingekuwa busara uangalie mazingira ya kuhubiri. Nafahamu ni muhubiri mzuri japo sijafuatilia kama upo kibaha kwa baba yako au dar, ingefaaa basi kama unapenda kuhubiri humu utengeneze andiko zuri moja badala ya kubishana nao. Humu ndugu kama ni mgeni watu wanajiita wazinzi, wa motoni, wa shetani, wahuni n.k na wamelizika kuwa hivyo. ndio maana wanakwambia kuwa wanauwezo wa kukuhubilia.

Nakushauri Acha kuingilia watu kwenye nchi yao nzuri kwao ya masihara waliyoiunda na kumjengea sanamu rickboy wao. Kama kusema umesema mwenyesikio na Asikie Kitu Roho anawaambia wanamasihara
Mwambie huyo mtoto hajielewi
 
Wewe jamaa , muombe Mungu wako akupe hekima , ufahamu na maarifa. Unachokifanya si njia ya muhubiri yoyote.

kaa chini nikupe lecture kidogo kwanza ..

Why kuna nyaraka mbali mbali katika biblia ?

Nyaraka zile, zilikuwa zikilenga jamii fulani ( eneo husika ), huwezi tatua tatizo la Efeso kwa kutumia case za Korinto. Unavyo hubiri kanisani si sawa na utavyo kuja hubiri hapa. Lazima utumie hekima na maarifa kuvuna watu kutokana na eneo husika.. kuwa flexible.. hata Yesu Alikaa na makahaba alitumia wisdom na maarifa na ufahamu katika kufikisha neno..

Acha kutisha, Ulinzi wa Mungu 100%, uwe umefanya dhambi na uwe ujafanya dhambi.. Yeye huwanyeshea mvua wote wema na wabaya.. Your Guardian angel kila siku yupo na wewe hata uwe mdhambi kiasia gani, mission yake inakuwa aborted pale tu unapokufa.. Rudi ukajifunze namna ya kueneza injili na kuifisha injili kwa makundi mbali mbali ya watu na sio kutishana
Sio kila abwetaye Bwana bwana atauona uzima wa milele
 
Mkumbushe Mungu kitu ambacho hukipendi lakini unakifanya na unatamani kuacha lakini unashindwa. Nazungumzia UZINZI NA UASHERATI basi kama kuna kingine ninwewe sasa na Mungu lakini nasema ukweli wa Mungu kwamba ni wewe unaechelewa kumwambia Yeye ana subir umwambie atende. Ndo maana ni lazima kuomba.

Isaya 43:26 - Unikumbushe, na tuhojiane; eleza mambo yako, upate kupewa haki yako. Hapa naongea na wale wanatamani kuacha Mambo haya ya UZINZI NA UASHERATI wanaopenda kuendelea waendelee tu.

Mwambie Mungu akusaidie. Kiu iwe ndani ya Nafsi yako omba msaada hata wewe unaejichua umejiunganisha na kuzimu pasipo ww kujua omba Nguvu ya Mungu ishuhurike na hayo maeneo. Mungu atakuvusha na maeneo mengine ambayo hujaomba. Suleman aliomba Hekima akapewa na utajir kwa nn sio wewe. Inawezekana kama unataman ujue si wewe bali Roho wa bwana ameanza kaz yake. Nipo hapa kukuambia Muda ni sasa usirudi Nyuma.

Neno la kusimama nalo katika toba ni Isaya 1:16,Isaya 1:18,Yoel 2:13, Ebrania 8:12 na mengine Mengi utajuzwa kadir utakavo simama. Kwa nn nimekupa Neno. Kwa sababu shetani haogopi maombi yako bali anaogopa Neno. Ukitubu unapata kibali. Simama mwanangu kwa miguu yako usigope unaweza.

Baba Naomba kibali juu yao wakupendao. Amina
 
Huyu choko anayeleta mahubiri humu kwenye uzi wetu ebu mpeni ajira. Naona hana kazi zaidi ya kutujazia uzi wetu huu
 
Hapa nilipopanga kuna single mother mmoja muhaya nshomile hawa mtoto wake huwa anakujaga siku za wikiendi

Nasalimiana naye vzr tu .tunaitana jirani
Kila nikirudi jirani vipi nilimkuta labda kakaa kihasara nje ya mlango wake anaosha vyombo jirani tunatesana bwana

Kila mtu ana mawasiliano ya mwenzake siku mvua ikanyesha akanipigia simu sio kama vyumba vipo mbali vipo karibu akaniambia jirani toa jaba nje ukinge maji acha kulala nikamwambia nalalaje na baridi lote hili nateseka

Akaniambia Muite Shemu nikamwambia sijabahatika kwakweli wote hawafai wewe ndio unafaa njoo basi akajichekesha tu . akasema acha zako bana akakata simu

Nikajifunika shuka nikajua nishaharibu mara mlango unagongwa kaingia na dera yake nakumbuka mtoto ndani alinivalia thong nyeusi sidiria hakuvaa na matiti yake makubwa mviringo

Kwakweli niliishukuru mvua kwa kunipa neema baharia mwenzake
Shemu 😳
20220604_104910.jpg
 
Sasa kwanini ulisema uliniambia maombi ya mwenye dhambi ni makelele huku hujui state ya roho yangu ilivyo ? Toba haikufanyi kuwa mtakatifu. Niambie ni wapi Mungu anafanya toba na ilhali yeye ndie Mtakatifu wa wa takatifu ? Utakatifu ni nature yako ambayo umeithiri kutoka katika DNA za Mungu, pale tu aliposema na tumfanye mtu kwa mfano wetu na sura yetu kuanzia pale ulikuwa mtakatifu kama yeye alivyo kuwa mtakatifu, but unatakiwa ku work out ili u display huo utakatifu

Mfano mimi sijajua lengo lako lakini najitahidi kukujibu kwamba utanielewa hata kesho.

Kwanza Mungu sio jina bali ni Sifa ya uungu. Ni kama kusema Rais manake ni cheo cha mwisho na hakuna kingine zaidi ya hicho. Rakini Rais ana jina lake Mh Samia Suluhu Hassan. Hivo nae Mungu analo jina lake hivo Mjue kwanza Mungu wako ili Umwabudu. Shida watu wengi hawajui wanachokiabudu mimi najua.

Kama kuna DNA YA MUNGU HILI JIPYA. mbona nisha sema kaka kwamba Shetani alimla hawa akapatikana mwana mwenye Kuasi. Mwanadamu wa kwanza kufanya Agano na Mungu ni Adamu. Je kabla ya Adam hakukuwa na watu? Kaini alienda kumuoa nan bas? Sihitaji hata unijibu haya

Kama ndivyo DNA YA MUNGU basi jiulize maneno haya Mathayo : 26 : 73 - Punde kidogo, wale waliohudhuria wakamwendea, wakamwambia Petro, Hakika wewe nawe u mmoja wao; kwa sababu hata usemi wako wakutambulisha.

Kwann basi hao wanaomuuliza Petro wasingekuwa tu upande wa Yesu. Ama hujui alifanyika mwili akaa kwetu na watu wakamkataa. Kama dna inasoma utamkataaje Baba yako aliyekuumba.

Hapa mchawi shetani. Adui wa mwanadamu ni shetani wapendwa si mwanadamu. Mimi kazi yangu kukuombea ili roho chafu ya shetani ikuache wewe hapo uwe huru twende mbinguni. Kosa langu nini Hakuna mtu nimemjeruhi ila nimejeruhi roho chafu.

Jana wakati nimelala nikapigwa risasi ya kifua [emoji16] kwa jinsi ya Roho nikaamka nikatakasa nikajua tu shetan hapendi. Risasi ni maneno mabaya, yenye kuvunja Moyo, machafu. Hata nyie mnaona wengine wananiambia Nakatwa[emoji16][emoji16], Mshamba[emoji123] na mengine ya kufanana na hayo. Baba anaona nami nasema awasamehe maana hamjui mlitendalo.
 
Mfano mimi sijajua lengo lako lakini najitahidi kukujibu kwamba utanielewa hata kesho.

Kwanza Mungu sio jina bali ni Sifa ya uungu. Ni kama kusema Rais manake ni cheo cha mwisho na hakuna kingine zaidi ya hicho. Rakini Rais ana jina lake Mh Samia Suluhu Hassan. Hivo nae Mungu analo jina lake hivo Mjue kwanza Mungu wako ili Umwabudu. Shida watu wengi hawajui wanachokiabudu mimi najua.

Kama kuna DNA YA MUNGU HILI JIPYA. mbona nisha sema kaka kwamba Shetani alimla hawa akapatikana mwana mwenye Kuasi. Mwanadamu wa kwanza kufanya Agano na Mungu ni Adamu. Je kabla ya Adam hakukuwa na watu? Kaini alienda kumuoa nan bas? Sihitaji hata unijibu haya

Kama ndivyo DNA YA MUNGU basi jiulize maneno haya Mathayo : 26 : 73 - Punde kidogo, wale waliohudhuria wakamwendea, wakamwambia Petro, Hakika wewe nawe u mmoja wao; kwa sababu hata usemi wako wakutambulisha.

Kwann basi hao wanaomuuliza Petro wasingekuwa tu upande wa Yesu. Ama hujui alifanyika mwili akaa kwetu na watu wakamkataa. Kama dna inasoma utamkataaje Baba yako aliyekuumba.

Hapa mchawi shetani. Adui wa mwanadamu ni shetani wapendwa si mwanadamu. Mimi kazi yangu kukuombea ili roho chafu ya shetani ikuache wewe hapo uwe huru twende mbinguni. Kosa langu nini Hakuna mtu nimemjeruhi ila nimejeruhi roho chafu.

Jana wakati nimelala nikapigwa risasi ya kifua [emoji16] kwa jinsi ya Roho nikaamka nikatakasa nikajua tu shetan hapendi. Risasi ni maneno mabaya, yenye kuvunja Moyo, machafu. Hata nyie mnaona wengine wananiambia Nakatwa[emoji16][emoji16], Mshamba[emoji123] na mengine ya kufanana na hayo. Baba anaona nami nasema awasamehe maana hamjui mlitendalo.
Sie wenyewe Mungu ni baba yetu. Ushauri wangu ulikuwa simple. Hubiri injili wisdome ni fungu maarifa na ufahamu vitakuongoza. Sipo kupingana na wewe.. Injili kikubwa ifike iwe inahubiriwa kwa hila au kwa upendo.. kikubwa Kristo ahubiriwe
 
Hivi mtumish unauhakika wa kweli km mungu na Yesu unaowahubiri wapo kweli?!!

Na hakika mkuu. Kama shetani anaonekana kupitia matendo ya mtu ama mtu mwenye mapepo. Basi Yesu yupo maana kwa Jina lake anakemea na inakuwa.

Waebrania 11:1 - Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

Imalisha tu imani yako. Mwambie Yesu anapowatembelea wengine na wewe akutembelee si unataka kumuona imalisha maana ndivyo hata Tomaso alimuona. Amini ni kweli na hakika.

Ukimpata Yesu lazima upitie misukosuko ya familia yako. Maana miungu migeni inachachamaa dhidi ya Mungu uliyempata naye ni Yesu. Utaambiwa hio imani sio yetu, sbb umelidhi dini ya baba na babu yako hiyo wala haikupeleki popote. Tamani kukutana na Yesu ni Moto ulao nae ndiye Njia
 
Back
Top Bottom