Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,018
Kimasihara ziendelee
Huyu jamaa wa kuitwa nyanyantole anaharibu uzi wa watu kwa kutafuta sifa. Unakuta uzi umekimbia lakini kontenti haziendani na uzi. Uliona wapi mahubiri ya nyuma ya kiibodi?
Mods tafadhali anzisheni utaratibu wa kuwapiga ban watu wanaoharibu mijadala ya wenzao makusudi kwa kutafuta kiki.
Kimasihara ziendelee
Isaack ushaondoka kwa baba ako hapo kibaha au bado upo nyumbani ukishiba unatupigia makeleleTawire
Hahaha mkuu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Huyu jamaa wa kuitwa nyanyantole anaharibu uzi wa watu kwa kutafuta sifa. Unakuta uzi umekimbia lakini kontenti haziendani na uzi. Uliona wapi mahubiri ya nyuma ya kiibodi?
Mods tafadhali anzisheni utaratibu wa kuwapiga ban watu wanaoharibu mijadala ya wenzao makusudi kwa kutafuta kiki.
Huyu mse.....e anatuharibia uzi
[emoji23]Isaack ushaondoka kwa baba ako hapo kibaha au bado upo nyumbani ukishiba unatupigia makelele
Elewa kuna watu wanaijua biblia kukuzidi na wamepita hapa wakasoma na kuenda zao. Fikisha ujumbe kisha endelea na maisha yako. Habari ya kutujazia maandiko hapa sio mahala pake. Kuwa na adabu. Kama sehemu hutakiwi ondoka. Ukiendelea huu upumbavu utanikwaza zaidi ya sana. Unajaza vitu tusivyohitaji huku wakati tunatumia muda wetu na hela yetu kuingia Mtandaoni. Kama huwezi kujielewa basi elewa salio tunalotumia na hatukuingia kwenye ukurasa wa dini tumekuja huku kwa mapenzi yetu. Toka huku KUruMA wa NINA WW.Tawire
Elewa kuna watu wanaijua biblia kukuzidi na wamepita hapa wakasoma na kuenda zao. Fikisha ujumbe kisha endelea na maisha yako. Habari ya kutujazia maandiko hapa sio mahala pake. Kuwa na adabu. Kama sehemu hutakiwi ondoka. Ukiendelea huu upumbavu utanikwaza zaidi ya sana. Unajaza vitu tusivyohitaji huku wakati tunatumia muda wetu na hela yetu kuingia Mtandaoni. Kama huwezi kujielewa basi elewa salio tunalotumia na hatukuingia kwenye ukurasa wa dini tumekuja huku kwa mapenzi yetu. Toka huku KUruMA wa NINA WW.
Njia rahisi ni kumuignore tu, hata apost vipi hutaweza kuona comment zake
NILIVYOMLA JIRANI KIMASIHARA
Elewa kuna watu wanaijua biblia kukuzidi na wamepita hapa wakasoma na kuenda zao. Fikisha ujumbe kisha endelea na maisha yako. Habari ya kutujazia maandiko hapa sio mahala pake. Kuwa na adabu. Kama sehemu hutakiwi ondoka. Ukiendelea huu upumbavu utanikwaza zaidi ya sana. Unajaza vitu tusivyohitaji huku wakati tunatumia muda wetu na hela yetu kuingia Mtandaoni. Kama huwezi kujielewa basi elewa salio tunalotumia na hatukuingia kwenye ukurasa wa dini tumekuja huku kwa mapenzi yetu. Toka huku KUruMA wa NINA WW.
Hawa wanaojiita watumishi ni noma saana[emoji23]