Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Marufuku kuniquote.

IMG_6449.jpg
 
Mkuu mods wa Nini sasa hii ni Mada 1 kati ya maelfu ya mada kwenye jukwaa hili mbona una hofu wala haji.

Nipo shinyanga mda huu nachinja kitimoto Nile na kondoo wangu. Njoo uniue basi. Mada lazima ziendelee ili ndan ya mada tunaweka matangazo. Ni kawaida hata makonda alisema twende hadi kwenye ama disco. Wa pil Wewe una muita mods hofu hofu
wala sikupingi mtumishi we endelea kushusha mahubiri..
 
Poa kamanda.. ila uwe na staha.. sio kila mtu unamchukulia poa.. kauli zako za kuniambia napiga punyeto na ku connect na uhanithi zikurudie mwenyewe

Na uhakika na nacho kisema. Roho ananishuhudia ukielemewa utakuja hata inbox kama upo tayar kuacha ntakusaidia uwe normal. Dkk 2 si sawa kwa Mwanaume kamili. Mficha uchi hazai
 
Sema nini ba'mjoli nyanyantole, kuna mwana mmoja wa kuitwa sepema kaweka uzi wake eti anaomba ushauri afanyaje ili baba ake aachane na mchepuko wake?, me nikaona sio kweli mbona huku MMU kuna mjuba anatoa speech kwa watu waliodevela na mapenzi!? Nikasema nije nikuite ka'mkubwa ukampe neno kidogo.

Alafu kuna mwingine tena wa kuitwa winnerian eti nae kaweka uzi anauliza m/ke kupiga kelele wakati wa tendo ni ishara ya kuridhika? Dah! Nikashangaa nikasema mbona vijana wanadevela kiasi hiki! Nikasema sio kweli mbona kuna mzee wa neno yupo huku ngoja nikakuitie aje akupe speech kidogo!.

Pia ba'mjoli nyanyantole ukipata nafasi pita na kule kwenye jukwaa la "love connect" ukawape neno kidogo jinsi gani mke na mme mwema wanavyopatikana. Ila huku waache kidogo wazee wa masihara watambae na ukali wao usije kuwaharibia uzi wao!.

YANGU NI HAYO TU BA' MJOLI
 
Tukiwa tour mwaka 2003 kuelekea mto maragarasi, usiku tukiwa camp ile ya chap chap, kukiwa na mtoto mkali alikuwa anaitwa Amina, alikuwa anakaa sikonge road tabora hii ilikuwa pisi mwisho wa maneno.. ile ile night tumewasha moto Amina akapita kujisaidia, nikamtishe kiutani kuna wanayama wakali ,😃😃😃 akaanza jamani jamani nyingi nikasema twende nikusogeze hapo.. nikasima hapa nae hapo time anakojoa nikamtania inaonekana una kadogo maana ka mrio ka mkojo kama katundu kadogo akachekaa.. acha utani nikamuambia au nije nikipime , akacheka njoo.. nikaenda nyikani hiyo nilipiga pale pale na tulitumia kama dk 2 nimemaliza 🤣🤣🤣
jasiri haachi asili
 
Mi sihubiri bali nasema kweli ya Mungu kwamba ipo Toba basi Habari ya dhambi ni wewe na Mungu wako. Ni Mungu ndiye mwenye uwezo wa kukufanya usitende dhambi sio mimi au Muhubir yeyote.

Asa uamuzi una baki wako. Mungu amekupa Akili
Uko sahihi "Mungu amekupa akili"
 
Sema nini ba'mjoli nyanyantole, kuna mwana mmoja wa kuitwa sepema kaweka uzi wake eti anaomba ushauri afanyaje ili baba ake aachane na mchepuko wake?, me nikaona sio kweli mbona huku MMU kuna mjuba anatoa speech kwa watu waliodevela na mapenzi!? Nikasema nije nikuite ka'mkubwa ukampe neno kidogo.

Alafu kuna mwingine tena wa kuitwa winnerian eti nae kaweka uzi anauliza m/ke kupiga kelele wakati wa tendo ni ishara ya kuridhika? Dah! Nikashangaa nikasema mbona vijana wanadevela kiasi hiki! Nikasema sio kweli mbona kuna mzee wa neno yupo huku ngoja nikakuitie aje akupe speech kidogo!.

Pia ba'mjoli nyanyantole ukipata nafasi pita na kule kwenye jukwaa la "love connect" ukawape neno kidogo jinsi gani mke na mme mwema wanavyopatikana. Ila huku waache kidogo wazee wa masihara watambae na ukali wao usije kuwaharibia uzi wao!.

YANGU NI HAYO TU BA' MJOLI

Sepema ukisoma vizuri nilimjibu kwamba Amuombee basi. Hamna njia nyingine. Sasa Kimbembe kinakuja utamuombeaje mtu wakati na wewe Ndio unapenda mambo ya dunia. Uzinzi ni Roho za kulidhi haiji ghafla. Hivo nilishauli aombe hakuna mkato. Mengine ni ya huko huko sio ya humu humu ni masihara na matangazo
 
ndio maana nakuambia huna ethics za kitumishi cha kwanza. Pili acha kushobokea watu .. Mie una nihusisha. na punyeto na uhanithi.. Bao lilo kuzaa bora angelinywa mama yako.. sio kwa hasara hii

Mchungaji asielijua neno la Mungu ni (Mbwaa) na Yesu alimwita herode (Mbweha) we ni ethics zipi unaziongelea. Naongea ukweli. Siwezi kuipamba dhambi mie never ever. Unajua kama makanisa ni makaburi na kwamba nje yamepakwa Rangi nyeupe lakini ndani ni uozo.

Yesu akakutana na mtu mmoja mwenye pepo Naye alikuwa akishinda makaburini. Alikuwa mkali hakuna aliye mgusa. Tazama neno hili. Tazama watu walivo wakali wanavo nifoka . Ni wafu wa kiroho Yesu lakini wanashinda kwenye makaburi yao. Maana wafu wanaishi wale wa kiroho. Usiwe mmoja wao usikiapo sauti jikague.
 
Kijana nita ku block huto kaa ukaamini, usimchezee kila mtu, na Mungu wako atakuambia kabisa kuwa umeingia cha kike.. naweza kukupa nafasi kama una Roho alie active muulize unae chart nae ni nani

Block tu mkuu wala haina shida lakini wewe unapiga Punyeto na mimi nasema ukweli. Piga block mkuu. Haijarishi wewe ni nani ntasema ukweli nyeto inaleta uhanithi. Mwanaume unapiz chini ya dkk 2 unakunywa gongo kwani. Fanya mazoezi basi. Hata Yesu walimpiga mawe sbb alisema ukweli.
 
@Kelsea mwache ahuburi neno la Mungu,,, kama anavyowiwa kutoka ndani ya moyo wake. Maana neno la Mungu linahubiriwa mahali popote na Kwa watu wowote... Kama huna interest na hicho kitu, mnyamazie tuu. Ataongeaaaa akimaliza ataacha. But yule mwenye kusikia atasikia akitaka... Sema hatakiwi kuforce mtu kufanya anachotaka yeye,,, Bali pale mtu anapobadilika mwenyewe kutoka ndani ya moyo wake. Maana hapa hatujuani matendo yetu ni yepi. Mtu aweza akawa anaandika hapa lakini nyuma ya keyboard ni mtu mwema na matendo yake ni bora... Anatakiwa kuhubiri na mwenye kusikia atasikia, maana hiyo ni moja ya wajibu wake kutangaza sifa za Yesu,,, huwez jua kupitia yeye Kuna mtu 1 alikuwa anasuburiwa kubadilika Kwa sababu ya huyu mtu. Mpotezee tu.

We ni mtu na nusu.
 
Ndio maana nakuambia wewe huna utumishi wowote, huenda nampigia nyeto matakoni mama yako hapo sawa. ila kama simpigii nyeto mama yako basi ujue sipigi nyeto.. nikitoka bao kwa dk 2 . ndio sababu ya nyeto au roho wako kakuambia utashikishwa ukuta fala wewe

Kaka hamna sehemu nimesema mimi ni Mtumishi wa Mungu ni wewe na mapenzi yako kwangu. Nadhani vizuri kufata wenzio wamekwambia uachana nami ntaongea ntachoka ntaenda. Lakini umejaa vitu vya ajabu tu. Unajua hata majini yaani mapepo yanapokuwa yanakemewa kwa jina la Mwokozi Yesu huwa yule mtu anagalagazwa chini maana yana Nguvu lazima uanguke. Unaonaje Ndio wewe. Sasa kosa langu nn. Mimi ukweli au. Mala mama yangu mala sijui nini. Hayo yote ni maneno ya Mtu ambae ukweli unamuuma.

Baba akurehemu, akupe nguvu usimame tena mkuu Yeye ni Pendo na atupenda hivo hivo ulivyo kinywa kichafu basi Yeye atakusafisha si wewe tu. Bali na familia yako. Usiufanye Moyo wako kuwa Mgumu. Mwite nae atakuitikia Yeremia 33:3
 
Kaka hamna sehemu nimesema mimi ni Mtumishi wa Mungu ni wewe na mapenzi yako kwangu. Nadhani vizuri kufata wenzio wamekwambia uachana nami ntaongea ntachoka ntaenda. Lakini umejaa vitu vya ajabu tu. Unajua hata majini yaani mapepo yanapokuwa yanakemewa kwa jina la Mwokozi Yesu huwa yule mtu anagalagazwa chini maana yana Nguvu lazima uanguke. Unaonaje Ndio wewe. Sasa kosa langu nn. Mimi ukweli au. Mala mama yangu mala sijui nini. Hayo yote ni maneno ya Mtu ambae ukweli unamuuma.

Baba akurehemu, akupe nguvu usimame tena mkuu Yeye ni Pendo na atupenda hivo hivo ulivyo kinywa kichafu basi Yeye atakusafisha si wewe tu. Bali na familia yako. Usiufanye Moyo wako kuwa Mgumu. Mwite nae atakuitikia Yeremia 33:3
Ebu tupe kimasihara yako kwanza
 
Back
Top Bottom