Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wakuu nawasalimu kwa jina la kula tunda kimasihara Wafuska wenzangu mm sina kimasihara ila nataka njia ya Kui kula hii pisi ki masihara ... iko iv hii pis bana tuna ushkaj sana tu ila mm nampango wankumkula Asa kuna siku nilimwambia Unavaa chup Size gan Nipo sehem nikununulie akasema yeye anavaa Size kubwa (Kwasababu ana mwili kidogo) basi nikamchukulia chup pale nikanunua na nyingine ndogo iv (Hii n kwasababu ya dem wangu Ana mwili mdogo) asa kila siku alikuwa ananiambia anakuja kuchukua ila ratiba zikawa zinatofautiana mpaka kuna siku ikaja dem nyingine geto katika kupekua akaiona iyo chup akataka kuleta mzozo kuwa chup mpya ni za nani ikabid nimwambie nimemnunulia yeye (sababu pia na yeye ana mwili kidogo Kwaiyo nilijua zitamtosha)basi yule dem akanielewa kishngo upande ..Asa shida hii manzi leo imenipgia sin asubuh et anafwata mzigo wake nikamjibu Poa nikamwambia njoo unipkie pilau maana nina ham ya kula msos mzir wa hom akasema Poa ninunue kila kitu anakuja .....Asa wafuska wenzangu nataka mnipe njia nzur ya kumla kimasihara uyu rafk angu maana (ASA APA SHIDA CHUP ZISHACHUKULIWA NA MWINGINE NA KUTOKA APA NILIPO MPAKA TOWN KUNA UMBAL KIDOGO ASA NAWAZA NAMLAJE UYU RAFK ANGU JAMN )
mrejesho vip ndugu
 
Kuna tofauti kubwa kati ya UCHI NA SEHEMU ZA SIRI. Adamu alipomkosea Mungu alibaki UCHI.

Alitenda dhambi na alipogundua alijikuta hana VAZI AKAJIFICHA. Wakati anatenda hakugundua baada ya kusikia anaitwa ndo kujicheki alafu Dua hana Vazi.

Uke na uume wako ni sehemu za siri tu wala hazihusiani na UCHI. Lugha ya dunia ndo uchi na kwa Mungu ni mambo tofauti kabisa. TEGA SIKIO

Huwezi kuiona mbingu kama huna vazi na vazi hili ni jeupe anakupa Mungu mwenyewe. Weupe maana yake utakatifu.

Ufunuo wa Yohana 3:18 - Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.

Sasa mbinguni hauendi Mwili, Bali Roho. Hivo ni Roho ndiyo ina vikwa VAZI. Ni vazi ama safi kutoka kwa Mungu ama chafu kutoka kwa shetani hii nibkwa Mujibu wa Matendo yako. Kila mtu Jua za na Vazi chafu wengine huishia hilo na hawa ni wale mtu amekufa bado wanaenda kumwombea Kwamba Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi wameshajua kwamba hajaiona mbingu hivo wanamsii Mungu. Mungu sio mshamba baada ya kifo ni hukumu matendo yatafatana na Mtu sawasawa na vazi lake.

Kumbe UCHI NI ROHO YAKO. unapotenda dhambi unakuwa unachafua Roho yako. Lugha yako, vile vikutokavyo kinywani mwako na matendo yako yanaonyesha una Vazi la Namna gani unamiliki.

Ukitukana manake umejiweka wazi(uchi) wewe ni mtu wa aina gani, kulamba mikundu, kufira, uasherati na uzinzi, kutamani na kulana denda na madeki ya kila namna kwa Mtu Ambae hujafunga nae ndoa maana yake umejivua vazi ama unavazi chafu hivo Roho yako inabaki UCHI. Ndo mana akikosea kuoa anasema alificha makucha ili aolewe sasa kayafungua mbona hakuyaona makucha kwenye UKE wa mkewe.

Ndo maana nakumbusha kuishi maisha ya toba. Maana toba huleta amani, Adam alijificha akadhan Mungu hamuoni kumbe anamcheki atasema nini nae alivo akamsingizia Hawa na hawa akamsingizia shetani.Ni sawa na leo tunamsingizia
Shetani alinipitia. No sisi ni Wajinga na wapumbafu ndiyo ukweriii tusitafute mchawi.

Mungu anasamehe Maelfu Elfu awapendao. Tamani kupendwa na Mungu. Leo kila mtu ukimuuliza anasema anaenda mbinguni akifa. Hamna anaesema anaenda motoni. Jikague moto upo. Kabla ya kwenda ulipopachagua nakukumbusha kwamba hamna Gharama kutubu na kupata vazi lako la kwendea huko.

Baba aliyenikomboa mimi Mwanao. Ukaniita kwa jina lako. Naomba Neema ulonipa mimi uwape na Rafiki zangu wa humu. Haijarishi wananitukana lakini uwatetee na kuwaweka huru katika jina la Yesu,Mungu aliye hai. Aaamina.
 
Huyu jamaa wa kuitwa nyanyantole anaharibu uzi wa watu kwa kutafuta sifa. Unakuta uzi umekimbia lakini kontenti haziendani na uzi. Uliona wapi mahubiri ya nyuma ya kiibodi?

Mods tafadhali anzisheni utaratibu wa kuwapiga ban watu wanaoharibu mijadala ya wenzao makusudi kwa kutafuta kiki.
 
Huyu jamaa wa kuitwa nyanyantole anaharibu uzi wa watu kwa kutafuta sifa. Unakuta uzi umekimbia lakini kontenti haziendani na uzi. Uliona wapi mahubiri ya nyuma ya kiibodi?

Mods tafadhali anzisheni utaratibu wa kuwapiga ban watu wanaoharibu mijadala ya wenzao makusudi kwa kutafuta kiki.
Na kweli, maana anachofanya ni sawa na kuwaambia MODS kuwe na jukwaa la dini tu..!!! Na shida nyingine ni kule kumjibu.. Kila akimwacha atachoka
 
Huyu jamaa wa kuitwa nyanyantole anaharibu uzi wa watu kwa kutafuta sifa. Unakuta uzi umekimbia lakini kontenti haziendani na uzi. Uliona wapi mahubiri ya nyuma ya kiibodi?

Mods tafadhali anzisheni utaratibu wa kuwapiga ban watu wanaoharibu mijadala ya wenzao makusudi kwa kutafuta kiki.

Sifa tena inakuwaje Sifa na hakuna jina langu kamili hapo. Kama ni Sifa basi kwa Bwana Mungu maana inaonekana inapenya kwa nn usinipuuze. Jukwaa hata ninyi hamlitendei haki. Tuvumiliane sijatukana mtu
 
Huyu jamaa wa kuitwa nyanyantole anaharibu uzi wa watu kwa kutafuta sifa. Unakuta uzi umekimbia lakini kontenti haziendani na uzi. Uliona wapi mahubiri ya nyuma ya kiibodi?

Mods tafadhali anzisheni utaratibu wa kuwapiga ban watu wanaoharibu mijadala ya wenzao makusudi kwa kutafuta kiki.
Hahaha mkuu
 
KUNA UTU WA NDANI NA UTU WA NJE. Yaani KUNA MWANADAMU WA KWANZA NA MWANADAMU WA PILI. Nifatilie kwa ufupi

Mwanadamu wa kwanza ni yule Aliye umbwa kwa Udongo yaani mavumbi huyu amezaliwa kwa damu na Nyama.

Mwanzo : 2 : 7 - Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

Na wa pili ni yule aliye aliyezaliwa kwa Roho yaani kazaliwa na Mungu mwenyewe huyu shetani anamtaka na ni adui yake.

1 Yohana 3:9 - Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani yake; wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.

Kwa maana hiyo kuna Adam wa kwanza na Adamu wa pili. Adamu wa kwanza ni Yule ambae hajafanya agano na Mungu hamjui Mungu. Na wa pili ndie aliefanya agano na Mungu. Sikiliza kuna Abram na kuna Sarai kabla hawajafanya agano na Mungu. Kuna Ibrahimu na kuna Sara baada ya agano na Mungu.

Natena kuna Simon Bar yona na kabla na Petro baada, kuna Sauli kabla na kuna Paulo baada. Ukimwomba Mungu Jina kama wewe ni Muaminifu lipo jina lako ambalo Mungu alikupa wakati upo mbinguni. Maana aliumba vya Rohoni kwanza ndipo akaumba vya dunian. Kwa hilo ulikuwepo kabla hujazaliwa. Yeremia 1:5. Mila na miungu ya kigeni yaani Mizimu na matambiko ikafanya tuitane majina ya Babu na Bibi, shangazi na wajomba SHIDA IMEANZIA HAPO NDO MANA KUNA VIFO UTOTONI TU NA KURIDHI MATABIA MACHAFU HASA NAONGELEA UZINZI NA UASHERATI. Watu wanafata Roho za Babu zao,na Bibi zao yaani jina ni chanzo. Naongelea mzizi wa haya mambo ya masihara na mtu haogopi.

Roho ya kuridhi inatenda. Ndo maana Yesu akamwambia Nikodemo
Yohana : 3 : 3 - Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.

MAANAKE KUOSHWA, KUTAKASWA NA KUHESABIWA HAKI.

Kwa hiyo naona watu wapo stage ya Kwanza kwenye UTU wa kwanza ni kwenye uharibifu zinaa na uasherati lakini ni lazima yatukie hayo ili aonekane MWANA WA UASI YAANI IBILISI.

2 Wathesalonike 2:3 - Mtu awaye yote asiwadanganye kwa njia yo yote; maana haiji, usipokuja kwanza ule ukengeufu; akafunuliwa yule mtu wa kuasi, mwana wa uharibifu;

Mbegu ili iote lazima ioze Ila isipo paliliwa inabaki chini.

NIPO HAPA KWA AJIRI YA KUKUKUMBUSHA KWAMBA UFALME WA MUNGU UMEKUJILIA SASA USIUFANYE MOYO WAKO MGUMU. TUBU MAANA MUNGU YUPO NAWE MFANYE BABA YAKO MAANA YEYE NI WA WANYENYEKEVU, washupazao shingo huvunjika. Usiwe mmoja wao maana umependwa ni wewe si mwingine. OA NA OLEWA UISHI KWA KUMPENDEZA MUNGU.

Hakuna faida ya uzinzi wala hamna tajiri sbb ya uasherati bali unavuna roho za koo za hata waliokataliwa zitakutesa maisha yako yote. Pasipo Rehema




Wagalatia 4:29 - Lakini kama vile siku zile yule aliyezaliwa kwa mwili alivyomwudhi yule aliyezaliwa kwa Roho, ndivyo ilivyo na sasa.
 
Elewa kuna watu wanaijua biblia kukuzidi na wamepita hapa wakasoma na kuenda zao. Fikisha ujumbe kisha endelea na maisha yako. Habari ya kutujazia maandiko hapa sio mahala pake. Kuwa na adabu. Kama sehemu hutakiwi ondoka. Ukiendelea huu upumbavu utanikwaza zaidi ya sana. Unajaza vitu tusivyohitaji huku wakati tunatumia muda wetu na hela yetu kuingia Mtandaoni. Kama huwezi kujielewa basi elewa salio tunalotumia na hatukuingia kwenye ukurasa wa dini tumekuja huku kwa mapenzi yetu. Toka huku KUruMA wa NINA WW.
 
Back
Top Bottom