Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Sema nini ba'mjoli nyanyantole, kuna mwana mmoja wa kuitwa sepema kaweka uzi wake eti anaomba ushauri afanyaje ili baba ake aachane na mchepuko wake?, me nikaona sio kweli mbona huku MMU kuna mjuba anatoa speech kwa watu waliodevela na mapenzi!? Nikasema nije nikuite ka'mkubwa ukampe neno kidogo.

Alafu kuna mwingine tena wa kuitwa winnerian eti nae kaweka uzi anauliza m/ke kupiga kelele wakati wa tendo ni ishara ya kuridhika? Dah! Nikashangaa nikasema mbona vijana wanadevela kiasi hiki! Nikasema sio kweli mbona kuna mzee wa neno yupo huku [emoji3] ngoja nikakuitie aje akupe speech kidogo!.

Pia ba'mjoli nyanyantole ukipata nafasi pita na kule kwenye jukwaa la "love connect" ukawape neno kidogo jinsi gani mke na mme mwema wanavyopatikana. Ila huku waache kidogo wazee wa masihara watambae na ukali wao usije kuwaharibia uzi wao!.

YANGU NI HAYO TU BA' MJOLI

Sepema ukisoma vizuri nilimjibu kwamba Amuombee basi. Hamna njia nyingine. Sasa Kimbembe kinakuja utamuombeaje mtu wakati na wewe Ndio unapenda mambo ya dunia. Uzinzi ni Roho za kulidhi haiji ghafla. Hivo nilishauli aombe hakuna mkato. Mengine ni ya huko huko sio ya humu humu ni masihara na matangazo
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ndio maana nakuambia huna ethics za kitumishi cha kwanza. Pili acha kushobokea watu .. Mie una nihusisha. na punyeto na uhanithi.. Bao lilo kuzaa bora angelinywa mama yako.. sio kwa hasara hii

Mchungaji asielijua neno la Mungu ni (Mbwaa) na Yesu alimwita herode (Mbweha) we ni ethics zipi unaziongelea. Naongea ukweli. Siwezi kuipamba dhambi mie never ever. Unajua kama makanisa ni makaburi na kwamba nje yamepakwa Rangi nyeupe lakini ndani ni uozo.

Yesu akakutana na mtu mmoja mwenye pepo Naye alikuwa akishinda makaburini. Alikuwa mkali hakuna aliye mgusa. Tazama neno hili. Tazama watu walivo wakali wanavo nifoka [emoji16][emoji16]. Ni wafu wa kiroho Yesu lakini wanashinda kwenye makaburi yao. Maana wafu wanaishi wale wa kiroho. Usiwe mmoja wao usikiapo sauti jikague.
 
Kijana nita ku block huto kaa ukaamini, usimchezee kila mtu, na Mungu wako atakuambia kabisa kuwa umeingia cha kike.. naweza kukupa nafasi kama una Roho alie active muulize unae chart nae ni nani

Block tu mkuu wala haina shida lakini wewe unapiga Punyeto na mimi nasema ukweli. Piga block mkuu. Haijarishi wewe ni nani ntasema ukweli nyeto inaleta uhanithi. Mwanaume unapiz chini ya dkk 2 unakunywa gongo kwani. Fanya mazoezi basi. Hata Yesu walimpiga mawe sbb alisema ukweli.
 
@Kelsea mwache ahuburi neno la Mungu,,, kama anavyowiwa kutoka ndani ya moyo wake. Maana neno la Mungu linahubiriwa mahali popote na Kwa watu wowote... Kama huna interest na hicho kitu, mnyamazie tuu. Ataongeaaaa akimaliza ataacha. But yule mwenye kusikia atasikia akitaka... Sema hatakiwi kuforce mtu kufanya anachotaka yeye,,, Bali pale mtu anapobadilika mwenyewe kutoka ndani ya moyo wake. Maana hapa hatujuani matendo yetu ni yepi. Mtu aweza akawa anaandika hapa lakini nyuma ya keyboard ni mtu mwema na matendo yake ni bora... Anatakiwa kuhubiri na mwenye kusikia atasikia, maana hiyo ni moja ya wajibu wake kutangaza sifa za Yesu,,, huwez jua kupitia yeye Kuna mtu 1 alikuwa anasuburiwa kubadilika Kwa sababu ya huyu mtu. Mpotezee tu.

We ni mtu na nusu.
 
Ndio maana nakuambia wewe huna utumishi wowote, huenda nampigia nyeto matakoni mama yako hapo sawa. ila kama simpigii nyeto mama yako basi ujue sipigi nyeto.. nikitoka bao kwa dk 2 . ndio sababu ya nyeto au roho wako kakuambia [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] utashikishwa ukuta fala wewe

Kaka hamna sehemu nimesema mimi ni Mtumishi wa Mungu ni wewe na mapenzi yako kwangu. Nadhani vizuri kufata wenzio wamekwambia uachana nami ntaongea ntachoka ntaenda. Lakini umejaa vitu vya ajabu tu. Unajua hata majini yaani mapepo yanapokuwa yanakemewa kwa jina la Mwokozi Yesu huwa yule mtu anagalagazwa chini maana yana Nguvu lazima uanguke. Unaonaje Ndio wewe. Sasa kosa langu nn. Mimi ukweli au. Mala mama yangu mala sijui nini. Hayo yote ni maneno ya Mtu ambae ukweli unamuuma.

Baba akurehemu, akupe nguvu usimame tena mkuu Yeye ni Pendo na atupenda hivo hivo ulivyo kinywa kichafu basi Yeye atakusafisha si wewe tu. Bali na familia yako. Usiufanye Moyo wako kuwa Mgumu. Mwite nae atakuitikia Yeremia 33:3
 
Kaka hamna sehemu nimesema mimi ni Mtumishi wa Mungu ni wewe na mapenzi yako kwangu. Nadhani vizuri kufata wenzio wamekwambia uachana nami ntaongea ntachoka ntaenda. Lakini umejaa vitu vya ajabu tu. Unajua hata majini yaani mapepo yanapokuwa yanakemewa kwa jina la Mwokozi Yesu huwa yule mtu anagalagazwa chini maana yana Nguvu lazima uanguke. Unaonaje Ndio wewe. Sasa kosa langu nn. Mimi ukweli au. Mala mama yangu mala sijui nini. Hayo yote ni maneno ya Mtu ambae ukweli unamuuma.

Baba akurehemu, akupe nguvu usimame tena mkuu Yeye ni Pendo na atupenda hivo hivo ulivyo kinywa kichafu basi Yeye atakusafisha si wewe tu. Bali na familia yako. Usiufanye Moyo wako kuwa Mgumu. Mwite nae atakuitikia Yeremia 33:3
Ebu tupe kimasihara yako kwanza
 
Wakuu nawasalimu kwa jina la kula tunda kimasihara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wafuska wenzangu mm sina kimasihara ila nataka njia ya Kui kula hii pisi ki masihara ... iko iv hii pis bana tuna ushkaj sana tu ila mm nampango wankumkula Asa kuna siku nilimwambia Unavaa chup Size gan Nipo sehem nikununulie akasema yeye anavaa Size kubwa (Kwasababu ana mwili kidogo) basi nikamchukulia chup pale nikanunua na nyingine ndogo iv (Hii n kwasababu ya dem wangu Ana mwili mdogo) asa kila siku alikuwa ananiambia anakuja kuchukua ila ratiba zikawa zinatofautiana mpaka kuna siku ikaja dem nyingine geto katika kupekua akaiona iyo chup akataka kuleta mzozo kuwa chup mpya ni za nani ikabid nimwambie nimemnunulia yeye (sababu pia na yeye ana mwili kidogo Kwaiyo nilijua zitamtosha)basi yule dem akanielewa kishngo upande ..Asa shida hii manzi leo imenipgia sin asubuh et anafwata mzigo wake nikamjibu Poa nikamwambia njoo unipkie pilau maana nina ham ya kula msos mzir wa hom akasema Poa ninunue kila kitu anakuja .....Asa wafuska wenzangu nataka mnipe njia nzur ya kumla kimasihara uyu rafk angu maana (ASA APA SHIDA CHUP ZISHACHUKULIWA NA MWINGINE NA KUTOKA APA NILIPO MPAKA TOWN KUNA UMBAL KIDOGO ASA NAWAZA NAMLAJE UYU RAFK ANGU JAMN [emoji1][emoji1])
mrejesho vip ndugu
 
Kuna tofauti kubwa kati ya UCHI NA SEHEMU ZA SIRI. Adamu alipomkosea Mungu alibaki UCHI.

Alitenda dhambi na alipogundua alijikuta hana VAZI AKAJIFICHA. Wakati anatenda hakugundua baada ya kusikia anaitwa ndo kujicheki alafu Dua hana Vazi.

Uke na uume wako ni sehemu za siri tu wala hazihusiani na UCHI. Lugha ya dunia ndo uchi na kwa Mungu ni mambo tofauti kabisa. TEGA SIKIO

Huwezi kuiona mbingu kama huna vazi na vazi hili ni jeupe anakupa Mungu mwenyewe. Weupe maana yake utakatifu.

Ufunuo wa Yohana 3:18 - Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.

Sasa mbinguni hauendi Mwili, Bali Roho. Hivo ni Roho ndiyo ina vikwa VAZI. Ni vazi ama safi kutoka kwa Mungu ama chafu kutoka kwa shetani hii nibkwa Mujibu wa Matendo yako. Kila mtu Jua za na Vazi chafu wengine huishia hilo na hawa ni wale mtu amekufa bado wanaenda kumwombea Kwamba Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi[emoji15] wameshajua kwamba hajaiona mbingu hivo wanamsii Mungu. Mungu sio mshamba baada ya kifo ni hukumu matendo yatafatana na Mtu sawasawa na vazi lake.

Kumbe UCHI NI ROHO YAKO. unapotenda dhambi unakuwa unachafua Roho yako. Lugha yako, vile vikutokavyo kinywani mwako na matendo yako yanaonyesha una Vazi la Namna gani unamiliki.

Ukitukana manake umejiweka wazi(uchi) wewe ni mtu wa aina gani, kulamba mikundu, kufira, uasherati na uzinzi, kutamani na kulana denda na madeki ya kila namna kwa Mtu Ambae hujafunga nae ndoa maana yake umejivua vazi ama unavazi chafu hivo Roho yako inabaki UCHI. Ndo mana akikosea kuoa anasema alificha makucha ili aolewe sasa kayafungua mbona hakuyaona makucha kwenye UKE wa mkewe.

Ndo maana nakumbusha kuishi maisha ya toba. Maana toba huleta amani, Adam alijificha akadhan Mungu hamuoni kumbe anamcheki atasema nini nae alivo akamsingizia Hawa na hawa akamsingizia shetani.Ni sawa na leo tunamsingizia
Shetani alinipitia. No sisi ni Wajinga na wapumbafu ndiyo ukweriii tusitafute mchawi.

Mungu anasamehe Maelfu Elfu awapendao. Tamani kupendwa na Mungu. Leo kila mtu ukimuuliza anasema anaenda mbinguni akifa. Hamna anaesema anaenda motoni. Jikague moto upo. Kabla ya kwenda ulipopachagua nakukumbusha kwamba hamna Gharama kutubu na kupata vazi lako la kwendea huko.

Baba aliyenikomboa mimi Mwanao. Ukaniita kwa jina lako. Naomba Neema ulonipa mimi uwape na Rafiki zangu wa humu. Haijarishi wananitukana lakini uwatetee na kuwaweka huru katika jina la Yesu,Mungu aliye hai. Aaamina.
 
Huyu jamaa wa kuitwa nyanyantole anaharibu uzi wa watu kwa kutafuta sifa. Unakuta uzi umekimbia lakini kontenti haziendani na uzi. Uliona wapi mahubiri ya nyuma ya kiibodi?

Mods tafadhali anzisheni utaratibu wa kuwapiga ban watu wanaoharibu mijadala ya wenzao makusudi kwa kutafuta kiki.
 
Huyu jamaa wa kuitwa nyanyantole anaharibu uzi wa watu kwa kutafuta sifa. Unakuta uzi umekimbia lakini kontenti haziendani na uzi. Uliona wapi mahubiri ya nyuma ya kiibodi?

Mods tafadhali anzisheni utaratibu wa kuwapiga ban watu wanaoharibu mijadala ya wenzao makusudi kwa kutafuta kiki.
Na kweli, maana anachofanya ni sawa na kuwaambia MODS kuwe na jukwaa la dini tu..!!! Na shida nyingine ni kule kumjibu.. Kila akimwacha atachoka
 
Back
Top Bottom