Mfano mimi sijajua lengo lako lakini najitahidi kukujibu kwamba utanielewa hata kesho.
Kwanza Mungu sio jina bali ni Sifa ya uungu. Ni kama kusema Rais manake ni cheo cha mwisho na hakuna kingine zaidi ya hicho. Rakini Rais ana jina lake Mh Samia Suluhu Hassan. Hivo nae Mungu analo jina lake hivo Mjue kwanza Mungu wako ili Umwabudu. Shida watu wengi hawajui wanachokiabudu mimi najua.
Kama kuna DNA YA MUNGU HILI JIPYA. mbona nisha sema kaka kwamba Shetani alimla hawa akapatikana mwana mwenye Kuasi. Mwanadamu wa kwanza kufanya Agano na Mungu ni Adamu. Je kabla ya Adam hakukuwa na watu? Kaini alienda kumuoa nan bas? Sihitaji hata unijibu haya
Kama ndivyo DNA YA MUNGU basi jiulize maneno haya Mathayo : 26 : 73 - Punde kidogo, wale waliohudhuria wakamwendea, wakamwambia Petro, Hakika wewe nawe u mmoja wao; kwa sababu hata usemi wako wakutambulisha.
Kwann basi hao wanaomuuliza Petro wasingekuwa tu upande wa Yesu. Ama hujui alifanyika mwili akaa kwetu na watu wakamkataa. Kama dna inasoma utamkataaje Baba yako aliyekuumba.
Hapa mchawi shetani. Adui wa mwanadamu ni shetani wapendwa si mwanadamu. Mimi kazi yangu kukuombea ili roho chafu ya shetani ikuache wewe hapo uwe huru twende mbinguni. Kosa langu nini Hakuna mtu nimemjeruhi ila nimejeruhi roho chafu.
Jana wakati nimelala nikapigwa risasi ya kifua

kwa jinsi ya Roho nikaamka nikatakasa nikajua tu shetan hapendi. Risasi ni maneno mabaya, yenye kuvunja Moyo, machafu. Hata nyie mnaona wengine wananiambia Nakatwa


, Mshamba

na mengine ya kufanana na hayo. Baba anaona nami nasema awasamehe maana hamjui mlitendalo.