nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 674
- 1,064
Elewa kuna watu wanaijua biblia kukuzidi na wamepita hapa wakasoma na kuenda zao. Fikisha ujumbe kisha endelea na maisha yako. Habari ya kutujazia maandiko hapa sio mahala pake. Kuwa na adabu. Kama sehemu hutakiwi ondoka. Ukiendelea huu upumbavu utanikwaza zaidi ya sana. Unajaza vitu tusivyohitaji huku wakati tunatumia muda wetu na hela yetu kuingia Mtandaoni. Kama huwezi kujielewa basi elewa salio tunalotumia na hatukuingia kwenye ukurasa wa dini tumekuja huku kwa mapenzi yetu. Toka huku KUruMA wa NINA WW.
Watu wanaijua bibilia ni Waongo na wanyang’anyi ni wezi na vibaka. Ndio hao walioenda na kuisomea. Walimu wa dini. Wamejaa makanisani vibaka. 1 Wakorintho 2:11 - Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.
Kuhusu matusi sio Fungu langu



