Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Elewa kuna watu wanaijua biblia kukuzidi na wamepita hapa wakasoma na kuenda zao. Fikisha ujumbe kisha endelea na maisha yako. Habari ya kutujazia maandiko hapa sio mahala pake. Kuwa na adabu. Kama sehemu hutakiwi ondoka. Ukiendelea huu upumbavu utanikwaza zaidi ya sana. Unajaza vitu tusivyohitaji huku wakati tunatumia muda wetu na hela yetu kuingia Mtandaoni. Kama huwezi kujielewa basi elewa salio tunalotumia na hatukuingia kwenye ukurasa wa dini tumekuja huku kwa mapenzi yetu. Toka huku KUruMA wa NINA WW.

Watu wanaijua bibilia ni Waongo na wanyang’anyi ni wezi na vibaka. Ndio hao walioenda na kuisomea. Walimu wa dini. Wamejaa makanisani vibaka. 1 Wakorintho 2:11 - Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.

Kuhusu matusi sio Fungu langu
 
Elewa kuna watu wanaijua biblia kukuzidi na wamepita hapa wakasoma na kuenda zao. Fikisha ujumbe kisha endelea na maisha yako. Habari ya kutujazia maandiko hapa sio mahala pake. Kuwa na adabu. Kama sehemu hutakiwi ondoka. Ukiendelea huu upumbavu utanikwaza zaidi ya sana. Unajaza vitu tusivyohitaji huku wakati tunatumia muda wetu na hela yetu kuingia Mtandaoni. Kama huwezi kujielewa basi elewa salio tunalotumia na hatukuingia kwenye ukurasa wa dini tumekuja huku kwa mapenzi yetu. Toka huku KUruMA wa NINA WW.

Nakazia sihusiki na dini Mungu hana dini. Na Yesu alikuja kwa ajiri Yetu. Kuhusu kifurushi Tuma namba niku recharge naona huna pesa. Tuma inbox kwamba unanitukana na vocha nakupa vile vile amani amani mkuu
 
Inaanza.......

Kwanza naomba niweuwazi..... Mimi ni kijana mwenye umri around 25 yrs na huyu jirani yangu ni around 35.

Huyu bibie ni mke wa mtu kabisa na ana watoto 4 tena mmoja yupo form 3 na wa pili form 2. Lakin pamoja na hayo yote huyu bibie ni pisi kali kimtindo tukizungumzia reception lakini sura ya pili ndo amaizing sana, bonge moja la trakoo.

Okay mambo yasiwe mengi...
Week mbili zilizopita ulitokea mzozo hapa ninapokaa kuhusiana na maswala ya umeme. Sasa siku hiyo mim sikuwepo(ilikuwa mishale ya jioni saa11) mimi nikarudi mida yangu ya 1 usiku nikamkuta bibie amekaa kibarazani kwake anachezea simu, ikabidi nimsalimie, na hayo ndo mazoea ambayo tunayo ukijumlisha na ukimya wangu.

Niwe muwazi huyu bibie nilimshitukia kitambo tu kwamba alikuwa ananikubali. Sasa nimemsalimia akaniita na siyo kawaida akaniambia fulani nakuomba nina maongezi na wewe, nikamuuliza sasa hivi? Akasema we ukimaliza shughuli zako nicheki nikamwambia poa.

Nikawa nimezama ndani kufanya mchakato wa kuchange na kuoga. Nikawa nimemaliza nikatoka nikanunue mazaga kabisa ili nikirudi nipike kabisa. Sasa nimetoka nikamkuta bado amekaa pale kibarazani kwake, aliponiona nimetoka akawa ananiangalia, nikamwambia ngoja niende road kwanza nikachukue mazaga, akaniambia nisubiri....... Ah mi nikawa namshangaa tu, naona anakuja ananikimbilia nikamuuliza vip? Akaniambia ngoja nikusindikize nikawa nataka nimuulize kuhusu mme wake akaniwahi akaniambia usijali baba fulani amesafiri jana.. Mim nikawa nimekaa kimya tu.

Mara akanishika mkono huku anachekacheka nikaona anyway acha nitoe ushirikiano, basi tukawa tunapiga stor za hapa na pale, tumefika mbele kidogo kabla ya kufika road akaniambia aligombana na jirani ambaye naye ni mpangaji mwenzetu pale sasa nataka kujua in details kuhusiana na ule ugomvi akaniambia tutaongea baadae, sasa nikawa najiuliza huku alikuja kufanya nini huku.

Basi tukaendelea mpaka road tukachukua mazaga tukarudi. Tumefika sehem fulan katikat kuna kigiza akanishika mkono tena akawa ananitekenya na kidole.

Inaendelea.....
 
KUNA YULE AMBAE NI SINGLE MAMA. Yaani amepata mtoto kabla ya Ndoa. Wazazi hawakufurahi na hamna mzazi anaefurahia hilo. Nipo hapa namkumbusha kwamba ALIFANYA UASHERATI haijarishi sasa ameolewa ama na Mume huyo au na Mume mwingine.

Mpendwa tubu hujachelewa. Tubu kwa ajir yako na kwa ajiri ya huyo mtoto haijarishi ni mkubwa. Ukiweza shika sadaka hata kama ni 1000.

Ukishatubu Vunja hiyo Roho ni Mafatilizi hata wewe kwenye ukoo wako sio wa kwanza kuzalishwa ukiwa nyumbani. Sasa ivunje Isaya 7:7. Ni hatari sana kwa maana. Hata mwanao ama atapiga mimba kabla ya ndoa ama atazaa nyumbani kabla ya ndoa sbb ya hiyo Roho. Ni wazi hutofurah bali anaefurahia haya ni Nyoka tu na mtoto wake.

Mungu anasamehe hivo usiogope Shuka na Nyenyekea maana ndo mwanzo wa UASHERATI NA UZINZI usipofanya hayo wewe ni chanzo.

Tamani kuvuka katika hili mpendwa wangu. Nakupenda sana na napenda uvushe mwanao maana Yeye ni mzaliwa wa kwanza. Haijarishi yote lakini ndie amefungua tumbo lako. Shetan anamtaka. Mambo haya nakupa dada huwezi yapata hata huko unaenda kujumuika. Kama ni Mwanaume pia omba tu kama nilivosema. Msaidie mwanao na wewe pia. Hii itasaidia kupunguza uasherati yaan ni Maombi tu.

Neema ya Bwana Yesu kristo iwe nanyi. Msikate tamaa
 
Mambo ya Walawi 20:10 - Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, naam, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mtu mume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa
 
Inaendelea......

Sasa nikamuuliza kwann tusingeongea huku huku barabarani akaniambia tunatembea tutaeleawana kweli? Nikamwambia tunatembea slow tutaelewana tu akanijibu kwamba mume wake hayupo so nisijali, aisee nilishangaa sana

Tumefika home mim nikaingia room kwangu yeye akaenda kwake maana watoto wake walikuwa sijui wanaangalia tamthilia na kengine kalikuwa ni kadogo kanahitaji kula kalale.

Me nipo naandaa mazaga yangu mixer nimeweka na kamovie kakuzugia nasikia mlango unagongwa, nikaenda kufungua nakuta ni yule bibie nikamwambia karibu akaingia. Ameingia ananiuliza ndo unataka kupika sasa hivi? Nikamwambia yess.. akasema acha kwanza tuongee tukimaliza nitakupikia.

Ah nikaona nimsikilize. Sasa tukaanza kuongea, haikupita hata nusu saa naona bibie anaongea huku ananishika mapaja(maana nilikuwa nimevaa kibukta) akaanza kunisogelea mara anajifanya kama amemaindi, sasa pale ndo akawa anonekana mbovu si unajua age go wakiwa wanajibebisha

Basi nikamuuliza veeepe akaanza mara ooooh me nakupenda mara sijui hivi mara vile. Nilivyoona hivyo tu nikakamata mkono, nikamsogelea nikapiga kiss shingoni naona ananishika kama anikumbatia, ikabidi nivute kanga hiii kucheki amevaa kipensi, yaan sikugusa kile kipensi, nikaona anafungua kifungo anakifungua.

Kuvua kile kipensi, hahaha ni amevaa bikini ya blue. Wakuu aliliwa kwa staili hiyo.

Mpaka sasa ninavyoandika huu uzi, nimenuniwa kwasababu eti namchunia simjibu text na nikimuona nampotezea.

Sasa mimi kosa langu liko wapi? Mwenye mali yake karudi na sitaki mchizi ajue me na bibie tuna mazoea kwasababu hakuacha hivyo.

Naomba kuwasilisha
 
Kwa mwanaume ambaye UNAMUINGILIA MWANAMKE AU MWANAUME MWENZIO KINYUME NA MAUMBILE AU BASI USHAWAHI KUFANYA HIVO LAKINI UMEACHA. Basi tubu, tubu,tubu. Kwa nifatilie kwa ufupi tu,

Hiyo ni Roho ambayo umeiridhi kuna mtu kwenye ukoo wako alifanya hayo haijarishi ww ni kizaz cha 50 Shetani ni Yule yule Jana na leo. Miaka 1000 ni siku 1 kiroho.

Tubu maana ni Roho hiyo ambayo itakwenda pengine kuridhi kwa Mwanao. Sikia huta Penda kusikia mwanao yupo shule kalawitiwa au kalawiti mtoto wa Mtu. Usitafute mchawi maana mchawi ni tabia za ukoo wako. Apandacho mtu atavuna.

Lakini kupitia Toba ya kweli na Maombi kaka haya yanaondoka. Nasema hivi sbb tunaenda kwenye kesi hizi za ulawiti kwa wale walio chini ya miaka 18 hawafungwi ukiwaombea yanatoka mapepo makali sana na yana nguvu mtoto mdogo mtu mmoja hamshiki. Wanadamu wanaonewa sana na huyu kenge shetani. Roho ya ushoga imeshamir watoto wana liwa kimasihara kwenye njia za haja kubwa. Taifa limeharibika. Omba tu hata kama huoni hilo maana hujui kesho.

Mtoto akiwa kashaliwa mpeleke ikavunjwe hiyo roho ya ushoga ambayo inasababishwa na wewe unaingilia watu kinyume.

Neema ya Mungu ikusaidie eeh mpendwa katika bwana.
 
Inaendelea......

Sasa nikamuuliza kwann tusingeongea huku huku barabarani akaniambia tunatembea tutaeleawana kweli? Nikamwambia tunatembea slow tutaelewana tu akanijibu kwamba mume wake hayupo so nisijali, aisee nilishangaa sana

Tumefika home mim nikaingia room kwangu yeye akaenda kwake maana watoto wake walikuwa sijui wanaangalia tamthilia na kengine kalikuwa ni kadogo kanahitaji kula kalale.

Me nipo naandaa mazaga yangu mixer nimeweka na kamovie kakuzugia nasikia mlango unagongwa, nikaenda kufungua nakuta ni yule bibie nikamwambia karibu akaingia. Ameingia ananiuliza ndo unataka kupika sasa hivi? Nikamwambia yess.. akasema acha kwanza tuongee tukimaliza nitakupikia.

Ah nikaona nimsikilize. Sasa tukaanza kuongea, haikupita hata nusu saa naona bibie anaongea huku ananishika mapaja(maana nilikuwa nimevaa kibukta) akaanza kunisogelea mara anajifanya kama amemaindi, sasa pale ndo akawa anonekana mbovu si unajua age go wakiwa wanajibebisha

Basi nikamuuliza veeepe akaanza mara ooooh me nakupenda mara sijui hivi mara vile. Nilivyoona hivyo tu nikakamata mkono, nikamsogelea nikapiga kiss shingoni naona ananishika kama anikumbatia, ikabidi nivute kanga hiii kucheki amevaa kipensi, yaan sikugusa kile kipensi, nikaona anafungua kifungo anakifungua.

Kuvua kile kipensi, hahaha ni amevaa bikini ya blue. Wakuu aliliwa kwa staili hiyo.

Mpaka sasa ninavyoandika huu uzi, nimenuniwa kwasababu eti namchunia simjibu text na nikimuona nampotezea.

Sasa mimi kosa langu liko wapi? Mwenye mali yake karudi na sitaki mchizi ajue me na bibie tuna mazoea kwasababu hakuacha hivyo.

Naomba kuwasilisha
Anza kufanya mchakato wa kuhama hapo. Mchizi wake atajua tu labda kama unammudu vinginevyo jiandae kwa lo lote...

Kula mke wa mtu tena mpangaji mwenzio ni extremely risky! Hujatumia busara na hii itaku-cost kwa namna moja au nyingine!
 
Inaendelea......

Sasa nikamuuliza kwann tusingeongea huku huku barabarani akaniambia tunatembea tutaeleawana kweli? Nikamwambia tunatembea slow tutaelewana tu akanijibu kwamba mume wake hayupo so nisijali, aisee nilishangaa sana

Tumefika home mim nikaingia room kwangu yeye akaenda kwake maana watoto wake walikuwa sijui wanaangalia tamthilia na kengine kalikuwa ni kadogo kanahitaji kula kalale.

Me nipo naandaa mazaga yangu mixer nimeweka na kamovie kakuzugia nasikia mlango unagongwa, nikaenda kufungua nakuta ni yule bibie nikamwambia karibu akaingia. Ameingia ananiuliza ndo unataka kupika sasa hivi? Nikamwambia yess.. akasema acha kwanza tuongee tukimaliza nitakupikia.

Ah nikaona nimsikilize. Sasa tukaanza kuongea, haikupita hata nusu saa naona bibie anaongea huku ananishika mapaja(maana nilikuwa nimevaa kibukta) akaanza kunisogelea mara anajifanya kama amemaindi, sasa pale ndo akawa anonekana mbovu si unajua age go wakiwa wanajibebisha

Basi nikamuuliza veeepe akaanza mara ooooh me nakupenda mara sijui hivi mara vile. Nilivyoona hivyo tu nikakamata mkono, nikamsogelea nikapiga kiss shingoni naona ananishika kama anikumbatia, ikabidi nivute kanga hiii kucheki amevaa kipensi, yaan sikugusa kile kipensi, nikaona anafungua kifungo anakifungua.

Kuvua kile kipensi, hahaha ni amevaa bikini ya blue. Wakuu aliliwa kwa staili hiyo.

Mpaka sasa ninavyoandika huu uzi, nimenuniwa kwasababu eti namchunia simjibu text na nikimuona nampotezea.

Sasa mimi kosa langu liko wapi? Mwenye mali yake karudi na sitaki mchizi ajue me na bibie tuna mazoea kwasababu hakuacha hivyo.

Naomba kuwasilisha
Oya mkuu hama hapo mapema sana ..
Bila hvyo ndugu yangu anuan yako ya makazi ipo hatarin sana.
 
Back
Top Bottom