Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

wengi lazima kwanza huwe umepita kwenye moto hasaa. Kama ni mzinzi basi ulikuwa ni mzinzi haswaaa, kama ni mlevi basi ni mlevi haswaa. Kama ni ugonjwa umeumwa Mpk unakaribia kufa.... Hii yote, mwsho wa siku ukisimama kuutukuza utukufu wa Mungu basi una hushuhuda mkali haswaa. Watumishi wengi wakubwa wakubwa ukisikiliza historia zao, unaweza ukasisimka. Mwingine ata alikuwa jambazi.
Kwa hiyo ngoja na sie tuwe wazinzi kweli kweli ndio tutaanza kutubu. Yeye wakati wa kumrudia Mungu umefika, sisi badobado kidogo. Mwenyewe nasoma hapo anasema "wakuu kimasihara ziendelee"...
 
Wewe jamaa , muombe Mungu wako akupe hekima , ufahamu na maarifa. Unachokifanya si njia ya muhubiri yoyote.

kaa chini nikupe lecture kidogo kwanza ..

Why kuna nyaraka mbali mbali katika biblia ?

Nyaraka zile, zilikuwa zikilenga jamii fulani ( eneo husika ), huwezi tatua tatizo la Efeso kwa kutumia case za Korinto. Unavyo hubiri kanisani si sawa na utavyo kuja hubiri hapa. Lazima utumie hekima na maarifa kuvuna watu kutokana na eneo husika.. kuwa flexible.. hata Yesu Alikaa na makahaba alitumia wisdom na maarifa na ufahamu katika kufikisha neno..

Acha kutisha, Ulinzi wa Mungu 100%, uwe umefanya dhambi na uwe ujafanya dhambi.. Yeye huwanyeshea mvua wote wema na wabaya.. Your Guardian angel kila siku yupo na wewe hata uwe mdhambi kiasia gani, mission yake inakuwa aborted pale tu unapokufa.. Rudi ukajifunze namna ya kueneza injili na kuifisha injili kwa makundi mbali mbali ya watu na sio kutishana

Kwanza nafurahi walau una consider wadau wameshauri nipuuzwe hujadhubutu hivo asante. Nakushukuru kwa ushauri wako.

Yesu alisema Yeye ni mwana kondoo. Ndo hizo hekima unazotaka na busara hizo ambazobwatu wamezoea kupewa huko makanisani za kubembelezwa. Yaan ni kubembeleze juu ya safar nayo amini ni ya mbinguni nina kichaa. Mimi nakuombea nakuambia nimemaliza kazi yake Yesu ni kukuvuna wewe sio mimi nikuvune wewe Ndio Maana watakao amini watapokea uzima kumbe wapo wasioamini ya Nini kulazimisha watu mda wao bado ukifika safi usipofika mapenzi ni ya Mungu. Mpendwa nipo hapa kuku kumbusha.

Alipoona shetani anatumia hekima kama unazotaka kuleta alisema YEYE NI SIMBA KABILA LA YUDA. Yeye ni kondoo, Yeye ni Simba nikurejeshe agano La kale Nuhu alipo Ambiwa achukue Wanyama wa kila Aina aweke kwenye safina. Usidhani walikuwa wanyama hao unaofuga bali walikuwa watu wa tabia mbalimbali. Yesu anajiita mwana kondoo na simba sisi je. Ukiweka wewe Mkristo na upo humu kuleta masihara wewe si wa kristo mpaka mda wako utakapofika maana kondoo ni mpole na mnyenyekevu. Hivo Humu kuna mbwa,vitoto vya Nyoka, kondoo,mbuzi, samaki, Nguruwe, mbweha kama herode fisi na Wanyama wote maana Nuhu alichukua ili Mungu ajipatie mbegu zote.

Kama ulinzi wa Mungu ni 100 waganga wa kienyeji wasingekuwa na Wateja mkuu hili nalo halihitaji degree Nipo hapa kukupa Elimu mpya.

Unaambiwa uende kwa amani wakati unavifungo. We huvioni na kiongozi wako haoni kipofu. Na mimi Sio Isack
 
Kwanza nafurahi walau una consider wadau wameshauri nipuuzwe hujadhubutu hivo asante. Nakushukuru kwa ushauri wako.

Yesu alisema Yeye ni mwana kondoo. Ndo hizo hekima unazotaka na busara hizo ambazobwatu wamezoea kupewa huko makanisani za kubembelezwa. Yaan ni kubembeleze juu ya safar nayo amini ni ya mbinguni nina kichaa. Mimi nakuombea nakuambia nimemaliza kazi yake Yesu ni kukuvuna wewe sio mimi nikuvune wewe Ndio Maana watakao amini watapokea uzima kumbe wapo wasioamini ya Nini kulazimisha watu mda wao bado ukifika safi usipofika mapenzi ni ya Mungu. Mpendwa nipo hapa kuku kumbusha.

Alipoona shetani anatumia hekima kama unazotaka kuleta alisema YEYE NI SIMBA KABILA LA YUDA. Yeye ni kondoo, Yeye ni Simba nikurejeshe agano La kale Nuhu alipo Ambiwa achukue Wanyama wa kila Aina aweke kwenye safina. Usidhani walikuwa wanyama hao unaofuga bali walikuwa watu wa tabia mbalimbali. Yesu anajiita mwana kondoo na simba sisi je. Ukiweka wewe Mkristo na upo humu kuleta masihara wewe si wa kristo mpaka mda wako utakapofika maana kondoo ni mpole na mnyenyekevu. Hivo Humu kuna mbwa,vitoto vya Nyoka, kondoo,mbuzi, samaki, Nguruwe, mbweha kama herode fisi na Wanyama wote maana Nuhu alichukua ili Mungu ajipatie mbegu zote.

Kama ulinzi wa Mungu ni 100 waganga wa kienyeji wasingekuwa na Wateja mkuu hili nalo halihitaji degree Nipo hapa kukupa Elimu mpya.

Unaambiwa uende kwa amani wakati unavifungo. We huvioni na kiongozi wako haoni kipofu. Na mimi Sio Isack
Kwenda kwa mganga wa kienyeji ni kuchagua kama mtu anavyoweza kuchagua kufanya dhambi na kuto kufanya na sio kwamba ulinzi wa Mungu haupo.

Mkuu injili utayo enda kuhubiri kwa doctor sio sawa na utayo enda hubiri kwa jambazi.. na utayo enda hubiri ikulu sio utayo enda hubiro casino ?

Na haya ndio yalimkuta Yohana Mbatizaji akaliwa kichwa, haijalishi una upako kiasia gani, but lazima uheshimu wenye mamlaka na mfumo wao.. fungua mlango kwao wape option ya ndio na yes sio unakalipia watu, sio njia ya injili
 
Baba yangu alikuwa na Mijibu ya mkato na ya maudhi kwa sbb alijua mioyo ya alokuwa akiwajibu. Nyoka

Alikaa na makahaba na wenye dhambi aliwaambia wasitende dhambi tena walisikia. Ninyi nimekaa na nyie humu mmenitukana nimewaambia si ninyi bali vifungo. Nashuhurika na hivo vifungo kwa maombi. Mungu akikupenda utaacha ni Yeye sio mimi. Mimi sina uwezo bali Yesu ndani yangu.

Mmenifukuza, mmeita adi Moderator mnasema sijui nitolewe utadhan ninyi mpo kihalali kwenye jukwaa. Jukwaa ni MAPENZI,URAFIKI SIO STAIL ZA KUFANYA.

Bora tuvumiliane nasema ukweli wa Mungu walio wa Mungu wataelewa. Wote tumeumbwa na Mungu hata shetan lakini si wote ni wa Mungu. Wengine washakataliwa Ndio ukweli mchungu sitishi mtu mimi bali nimeyasoma kwenye Bibilia. Na wakati mwingine unaenda kuombea mtu unaambiwa achana nae nimemkataa.

Basi Mungu asingechagua. Maana wote tumechaguliwa. Nlipo soma kimasihara mwanzo hadi mwisho. Nligundua kuna taifa la Mungu humu limekamatwa. Nipo kwa ajir ya hilo wapendwa.

Tupendane nawapenda lakin siwabembelezi msadiki nayo yasema.

MUNGU SI WA KORINTO, EFESO WALA WA MATHAYO,SIJUI LUKA AU TIMOTHEO. BALI MUNGU NI WA WALIO HAI KTK ROHO.
Hata mbingu si YA WAFU BALI NI YA WALIO HAI
NIPO HAPA KUWAFANYA WALIO WAFU WAWE HAI TWENDE MBINGUNI KWA BABA KABLA SAFINA HALIJAFINGWA.

NAWAPENDA SANA POKEENI BUSU LANGU WAPENDWA MWAAAAAAH
 
Kwenda kwa mganga wa kienyeji ni kuchagua kama mtu anavyoweza kuchagua kufanya dhambi na kuto kufanya na sio kwamba ulinzi wa Mungu haupo.

Mkuu injili utayo enda kuhubiri kwa doctor sio sawa na utayo enda hubiri kwa jambazi.. na utayo enda hubiri ikulu sio utayo enda hubiro casino ?

Na haya ndio yalimkuta Yohana Mbatizaji akaliwa kichwa, haijalishi una upako kiasia gani, but lazima uheshimu wenye mamlaka na mfumo wao.. fungua mlango kwao wape option ya ndio na yes sio unakalipia watu, sio njia ya injili

Yohana mbatizaji ni Elisha ambae alienda mbinguni kwa farasi wa Moto na mwili hauna nafasi mbingun bali roho ilibid azaliwe upya ili afe Roho iende mbinguni. Jisomee afu usinipangie nisemeje imenichukua mda kuomba kwa ajir ya hili usidhan nimejileta subir nimalize niende. Kama unaweza kuungana na uchafu unawezaje kuniambia juu ya kuuondoa uchafu nitumie njia gani.

Shetani alimdanganya Daudi awahesabu wana wa israel akapigwa na Mungu. Kwa hiyo NIPISHE NIPITE
 
Kwa hiyo ngoja na sie tuwe wazinzi kweli kweli ndio tutaanza kutubu. Yeye wakati wa kumrudia Mungu umefika, sisi badobado kidogo. Mwenyewe nasoma hapo anasema "wakuu kimasihara ziendelee"...
si kitu rahisi mkuu... Humu bado watu tunaendelea kuchukua kozi. Amini nakuambia, siku Neema ya Mungu ikikushukia utabadilika tu, Kwa njia yoyote ile hata kama ni ngumu. Kila mtu ana wakati wake sahihi. Lkn bila Neema lol!!. Yataingilia sikio la kulia na kutokea la kushoto. Na wengine watakuwa km zile mbegu zilizopandwa kwenye miiba, udongo wenye rutuba, mchanga, kwenye mawe . Ila wakati ukifika,,, unabadilika tuu.
 
Yohana mbatizaji ni Elisha ambae alienda mbinguni kwa farasi wa Moto na mwili hauna nafasi mbingun bali roho ilibid azaliwe upya ili afe Roho iende mbinguni. Jisomee afu usinipangie nisemeje imenichukua mda kuomba kwa ajir ya hili usidhan nimejileta subir nimalize niende. Kama unaweza kuungana na uchafu unawezaje kuniambia juu ya kuuondoa uchafu nitumie njia gani.

Shetani alimdanganya Daudi awahesabu wana wa israel akapigwa na Mungu. Kwa hiyo NIPISHE NIPITE
Wewe kijana acha fear of the shetani. Sio Elisha na Eliya ndio maana nakuambia haupo makini wewe. Na sio kila kinacho kuja kukufunda the right path usifiri ni shetani.. Hapo ndio unakwama hata mie nakuombea hapa Mungu akufungue macho uone unapo elekea, ulipo na ulipotoka ili kazi ifanyike vyema katika kumtukuza Mungu
 
si kitu rahisi mkuu... Humu bado watu tunaendelea kuchukua kozi. Amini nakuambia, siku Neema ya Mungu ikikushukia utabadilika tu, Kwa njia yoyote ile hata kama ni ngumu. Kila mtu ana wakati wake sahihi. Lkn bila Neema lol!!. Yataingilia sikio la kulia na kutokea la kushoto. Na wengine watakuwa km zile mbegu zilizopandwa kwenye miiba, udongo wenye rutuba, mchanga, kwenye mawe . Ila wakati ukifika,,, unabadilika tuu.
Deby mimi nilishabadilika zamani sana..hapa na uzee huu nafurahisha ubongo wangu tu! Kila mtu atabadilika kwa namna yake, asitumie nguvu nyingi huyu mchungaji mla kimasihara..
 
Wewe kijana acha fear of the shetani. Sio Elisha na Eliya ndio maana nakuambia haupo makini wewe. Na sio kila kinacho kuja kukufunda the right path usifiri ni shetani.. Hapo ndio unakwama hata mie nakuombea hapa Mungu akufungue macho uone unapo elekea, ulipo na ulipotoka ili kazi ifanyike vyema katika kumtukuza Mungu

Ukiniambia una niombea nashukuru. Lakini maombi ya mwenye dhambi ni Kupayuka na makelele mbele za Mungu labda kama umetubu kwanza ktk Roho na kweli sasa mda mchache tu umekuja na masihara Mungu sio mshamba
 
Baada ya kumaliza mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa, Opereshi Nidhamu, kabla ya kuendelea na masomo ya juu, nilibahatika kufanya kazi katika Benki ya Taifa ya Biashara kabla ya kubinafsishwa. Ilinibidi nitafute kazi ya kujishikiza wakati nikiendelea na mchakato wa kwenda ng'ambo kusoma maana nilipata ufadhili wa nchi moja. Enzi hizo ufadhili wa kusoma nje ulikuwa sio haba na hata kupata kazi kwa mtu aliyemaliza kidato cha sita haikuwa ngumu.

Hapo kazini nilipata marafiki ambao tuliajiriwa pamoja! Nakumbuka mshahara wangu ulikuwa Tsh. 5,250.00 ukiongeza coupon ya chakula pamoja na muda wa ziada nilikuwa napata si chini ya Tsh. 10,000.00. Kwa kipindi hicho ilikuwa ni pesa nyingi sana. Pamoja na wenzangu, tulijenga mazoea ya kila baada ya kazi kupita katika Bar moja hivi "Kumwagilia moyo"! Pesa ilituruhusu ukiongezea ujana na uhuru mkubwa tulioupata. Katika Bar hiyo tulijikuta tukipata umaarufu sana tukapewa jina la VIJANA WA BENKI au VIJANA WA TAI! Akina dada hawakuisha kujipitisha kwetu na kujirahisisha, kujipeleka wenyewe kibra! Mbususu zililiwa japo kwangu nilikuwa muoga sana kwani kipindi hicho ndio UKIMWI ulikuwa umepamba moto!

Mama mmiliki wa Bar alitokea kunipenda sana akidai kuwa mimi ni mpole, mkarimu na ninajiheshimu sana. Alikuwa ananipa offer nyingi za kinywaji na chakula. Wenzangu walianza kuhisi kuwa ninakula mbususu lakini haikuwa hivyo.

Siku moja, kama kawaida yetu, baada ya kufanya balancing ya akaunti za wateja ya mwezi (enzi hizo balancing ilifanyika manually), tulienda kumwagilia moyo. Mara Paap, tukakuta binti mrembo mno mgeni hapo Bar. Kila mmoja akaanza harakati za kumpata maana sio kwa offer hizo..... Kumbe ni mdogo wa Mmiliki wa Bar. Mwenzetu mmoja alimuita aje ashiriki nasi ktk meza yetu, pasipo ajizi yule mrembo alikubali akaja kukaa pembeni ya aliyemuita. Jamani, jamani, binti alikuwa mzuri kwa vigezo vyote vya uzuri. Mate yalinitoka lakini sikuwa na jinsi niliendelea kushangilia uumbaji wa Mungu huku nikimuonea wivu mwenzangu. Baada ya muda, Mama Mmiliki wa Bar aliniita pembeni, akaniuliza, "umemuona mdogo wangu"? Nikamsifia hapo. Akaniambia wewe unajiheshimu sio kama wale wenzako sitaki waje wammpe Ukimwi. Akaendelea...Nimeisha mueleza kila kitu juu yako na hapa leo utaondoka naye, kazi kwako. Hakika sikuamini.

Mida ya saa tano usiku yalitengenezwa mazingira yule binti akaaga kuwa kachoka anaenda kupumzika na mimi baadae kidogo nikawaaga wenzangu. Nilipanga na Dada mtu ampeleke kwenye Bar nyingine jirani ambapo nilimpitia na tukaenda ghetto! Kufupisha, yule binti aliendelea kuwa demu wangu hadi pale nilipoondoka nchini kwenda masomoni. Huyu binti kumbe alikuwa kaolewa lakini alipata matatizo kwa mume wake akawa kaondoka kwa mumewe. Alishika ujauzito wangu lakini alimbambikia muwewe mimba baada ya kurudi kwake. Alijifungua mtoto wa kiume ni CERTIFIED PHOTOCOPY yangu! Nilikuja gundua baadae kuwa mumewe pia alikuwa muajiriwa ktk benki hiyo hiyo japo alikuwa mkoa mwingine. Nilishindwa kumfatilia mtoto wangu kwani niliogopa kuvunja ndoa ya watu na kushikwa ugoni pia! Mtoto tulikuwa tuonaonana kwa Mama yake Mkubwa japo hakutambulishwa! Hakika sijutii kukutana na huyo mrembo.

Wenzangu walikuja kugundua baadae walicheka sana wakasema hakika "SIMBA MWENDA POLE...."
Mzee mwenzangu umenikumbusha mbali "Operesheni Nidhamu", hiyo ilikuwa 1990, na ndiyo niliyoitumikia 833 KJ Oljoro
 
Ukiniambia una niombea nashukuru. Lakini maombi ya mwenye dhambi ni Kupayuka na makelele mbele za Mungu labda kama umetubu kwanza ktk Roho na kweli sasa mda mchache tu umekuja na masihara Mungu sio mshamba
Ona ulivyo na ushamba wa Mungu. Naimbie mie na wewe nani mwenye dhambi ?
 
Ona ulivyo na ushamba wa Mungu. Naimbie mie na wewe nani mwenye dhambi ?

Kaka Tamani kuishi maisha ya Toba nyakati zote. Toba inakufanya uwe mtakatifu kuhusu wewe au mimi nani mwenye dhambi Muulize roho wa Mungu. 1 Wakorintho : 2 : 11 - Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.
 
Kaka Tamani kuishi maisha ya Toba nyakati zote. Toba inakufanya uwe mtakatifu kuhusu wewe au mimi nani mwenye dhambi Muulize roho wa Mungu. 1 Wakorintho : 2 : 11 - Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.
Sasa kwanini ulisema uliniambia maombi ya mwenye dhambi ni makelele huku hujui state ya roho yangu ilivyo ? Toba haikufanyi kuwa mtakatifu. Niambie ni wapi Mungu anafanya toba na ilhali yeye ndie Mtakatifu wa wa takatifu ? Utakatifu ni nature yako ambayo umeithiri kutoka katika DNA za Mungu, pale tu aliposema na tumfanye mtu kwa mfano wetu na sura yetu kuanzia pale ulikuwa mtakatifu kama yeye alivyo kuwa mtakatifu, but unatakiwa ku work out ili u display huo utakatifu
 
Isac ingekuwa busara uangalie mazingira ya kuhubiri. Nafahamu ni muhubiri mzuri japo sijafuatilia kama upo kibaha kwa baba yako au dar, ingefaaa basi kama unapenda kuhubiri humu utengeneze andiko zuri moja badala ya kubishana nao. Humu ndugu kama ni mgeni watu wanajiita wazinzi, wa motoni, wa shetani, wahuni n.k na wamelizika kuwa hivyo. ndio maana wanakwambia kuwa wanauwezo wa kukuhubilia.

Nakushauri Acha kuingilia watu kwenye nchi yao nzuri kwao ya masihara waliyoiunda na kumjengea sanamu rickboy wao. Kama kusema umesema mwenyesikio na Asikie Kitu Roho anawaambia wanamasihara
Mwambie huyo mtoto hajielewi
 
Wewe jamaa , muombe Mungu wako akupe hekima , ufahamu na maarifa. Unachokifanya si njia ya muhubiri yoyote.

kaa chini nikupe lecture kidogo kwanza ..

Why kuna nyaraka mbali mbali katika biblia ?

Nyaraka zile, zilikuwa zikilenga jamii fulani ( eneo husika ), huwezi tatua tatizo la Efeso kwa kutumia case za Korinto. Unavyo hubiri kanisani si sawa na utavyo kuja hubiri hapa. Lazima utumie hekima na maarifa kuvuna watu kutokana na eneo husika.. kuwa flexible.. hata Yesu Alikaa na makahaba alitumia wisdom na maarifa na ufahamu katika kufikisha neno..

Acha kutisha, Ulinzi wa Mungu 100%, uwe umefanya dhambi na uwe ujafanya dhambi.. Yeye huwanyeshea mvua wote wema na wabaya.. Your Guardian angel kila siku yupo na wewe hata uwe mdhambi kiasia gani, mission yake inakuwa aborted pale tu unapokufa.. Rudi ukajifunze namna ya kueneza injili na kuifisha injili kwa makundi mbali mbali ya watu na sio kutishana
Sio kila abwetaye Bwana bwana atauona uzima wa milele
 
Mkumbushe Mungu kitu ambacho hukipendi lakini unakifanya na unatamani kuacha lakini unashindwa. Nazungumzia UZINZI NA UASHERATI basi kama kuna kingine ninwewe sasa na Mungu lakini nasema ukweli wa Mungu kwamba ni wewe unaechelewa kumwambia Yeye ana subir umwambie atende. Ndo maana ni lazima kuomba.

Isaya 43:26 - Unikumbushe, na tuhojiane; eleza mambo yako, upate kupewa haki yako. Hapa naongea na wale wanatamani kuacha Mambo haya ya UZINZI NA UASHERATI wanaopenda kuendelea waendelee tu.

Mwambie Mungu akusaidie. Kiu iwe ndani ya Nafsi yako omba msaada hata wewe unaejichua umejiunganisha na kuzimu pasipo ww kujua omba Nguvu ya Mungu ishuhurike na hayo maeneo. Mungu atakuvusha na maeneo mengine ambayo hujaomba. Suleman aliomba Hekima akapewa na utajir kwa nn sio wewe. Inawezekana kama unataman ujue si wewe bali Roho wa bwana ameanza kaz yake. Nipo hapa kukuambia Muda ni sasa usirudi Nyuma.

Neno la kusimama nalo katika toba ni Isaya 1:16,Isaya 1:18,Yoel 2:13, Ebrania 8:12 na mengine Mengi utajuzwa kadir utakavo simama. Kwa nn nimekupa Neno. Kwa sababu shetani haogopi maombi yako bali anaogopa Neno. Ukitubu unapata kibali. Simama mwanangu kwa miguu yako usigope unaweza.

Baba Naomba kibali juu yao wakupendao. Amina
 
Huyu choko anayeleta mahubiri humu kwenye uzi wetu ebu mpeni ajira. Naona hana kazi zaidi ya kutujazia uzi wetu huu
 
Back
Top Bottom