genius_
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 508
- 1,328
masihara zimeisha we lete tu injili bado kuna mtu anatafutwa hapa...Kimasihara ziendelee wakuu Leta vitu
shusha neno mkuu
masihara zimeisha we lete tu injili bado kuna mtu anatafutwa hapa...Kimasihara ziendelee wakuu Leta vitu
Nipo my dear, huu uzi ushakua wa hovyo natafuta kijiwe kingine.Niko poa kabisa, sijalkuona mda sana. Disco limempatq mwenyewe.
[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DISCO limeingiliwa na PADRI[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Now zinapigwa nyimbo za dini tu, ukiamua ubaki ucheze au uchomoke.
Nae atachoka tu na kusepa, walikuja wengi wakaondoka.Nipo my dear, huu uzi ushakua wa hovyo natafuta kijiwe kingine.
Sie wenyewe Mungu ni baba yetu. Ushauri wangu ulikuwa simple. Hubiri injili wisdome ni fungu maarifa na ufahamu vitakuongoza. Sipo kupingana na wewe.. Injili kikubwa ifike iwe inahubiriwa kwa hila au kwa upendo.. kikubwa Kristo ahubiriwe
Hana lolote ukute nae anachukua maujuzi hapa kwa kisingizio cha kuhubiri. Wahubiri wa kweli hawapo kama yeye sijui anatuchukuliaje yaan.Nae atachoka tu na kusepa, walikuja wengi wakaondoka.
Nae atachoka tu na kusepa, walikuja wengi wakaondoka.
Hana lolote ukute nae anachukua maujuzi hapa kwa kisingizio cha kuhubiri. Wahubiri wa kweli hawapo kama yeye sijui anatuchukuliaje yaan.
Yesu alikuwa na Roho wa shauri .
Marufuku kuniquote.Mi sihubiri bali nasema kweli ya Mungu kwamba ipo Toba basi Habari ya dhambi ni wewe na Mungu wako. Ni Mungu ndiye mwenye uwezo wa kukufanya usitende dhambi sio mimi au Muhubir yeyote.
Asa uamuzi una baki wako. Mungu amekupa Akili
Yesu hakufanya chochote bila kusikia kitu kutoka kwa Baba Yake. Mshauri wake ni Roho wa shauri na kwa lugha ingine Mungu
wala sikupingi mtumishi we endelea kushusha mahubiri..Mkuu mods wa Nini sasa hii ni Mada 1 kati ya maelfu ya mada kwenye jukwaa hili mbona una hofu wala haji.
Nipo shinyanga mda huu nachinja kitimoto Nile na kondoo wangu. Njoo uniue basi. Mada lazima ziendelee ili ndan ya mada tunaweka matangazo. Ni kawaida hata makonda alisema twende hadi kwenye ama disco. Wa pil Wewe una muita mods[emoji16][emoji16] hofu hofu
[emoji1][emoji1][emoji1] Poa kamanda.. ila uwe na staha.. sio kila mtu unamchukulia poa.. kauli zako za kuniambia napiga punyeto na ku connect na uhanithi zikurudie mwenyewe
jasiri haachi asiliTukiwa tour mwaka 2003 kuelekea mto maragarasi, usiku tukiwa camp ile ya chap chap, kukiwa na mtoto mkali alikuwa anaitwa Amina, alikuwa anakaa sikonge road tabora hii ilikuwa pisi mwisho wa maneno.. ile ile night tumewasha moto Amina akapita kujisaidia, nikamtishe kiutani kuna wanayama wakali ,😃😃😃 akaanza jamani jamani nyingi nikasema twende nikusogeze hapo.. nikasima hapa nae hapo time anakojoa nikamtania inaonekana una kadogo maana ka mrio ka mkojo kama katundu kadogo akachekaa.. acha utani nikamuambia au nije nikipime , akacheka njoo.. nikaenda nyikani hiyo nilipiga pale pale na tulitumia kama dk 2 nimemaliza 🤣🤣🤣
Uko sahihi "Mungu amekupa akili"Mi sihubiri bali nasema kweli ya Mungu kwamba ipo Toba basi Habari ya dhambi ni wewe na Mungu wako. Ni Mungu ndiye mwenye uwezo wa kukufanya usitende dhambi sio mimi au Muhubir yeyote.
Asa uamuzi una baki wako. Mungu amekupa Akili