Mambo
Poa sana, habari yako??Mambo
Habari yangu njema/salama kabisa mkuuPoa sana, habari yako??
SafiHabari yangu njema/salama kabisa mkuu
Kwa hiyo ujio wako humu ni Kama wa yesu ....? Basi ngoja tukuandalie viboko tukutwange Kama Yesu alivyo fanywa ilituamini Kama kweli umetumwa kuokoa
Njooo na wewe tukusurubuYesu alichapwa hadi mijeredi mkuu na mate juu, makofi pia wala usijar Neema ya Mungu yani tosha. Lakini Mungu aliyeniokoa mimi basi kwa upendo wake akusaidie na wewe. Akipenda haya asipopenda sawa pia hatumpangii
Kamuulize baba yakoWengine wana sema niende Jukwaa la Dini. Nami nawauliza. MUNGU DINI GANI? ukipata jibu kaa nalo uwe na hakika sijaingia bahati mbaya.
Njooo na wewe tukusurubu
Bro humu tumekuja kula kimasihala stop wasting word of JesusHivi wapi umebezwa, wapi nimejigambawapi nimetukana watu mnafanya matusi lakini naonekana mimi na wewe kwamba nimetukana li wap TUSI moja nimetukana. Ukweli unaita matusi . Kwamba nikuambie kwa upole kwamba ufanye nn sasa. Umeshindwa kuwasikia viongozi wako unaowapa sadaka unataka unisikie mimi
. Mimi nasema ukweli na Mungu anajua upokee au uache shauri lako.
1 Wathesalonike 4:7 - Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso. KAMA HUJAITWA UTANIONA NAKUTUKANA LAKIN MUDA UKIFIKA NAWE UKAITWA ROHO YAKO ITAKUSHUHUDIA KWAMBA NALISEMA UKWELI. Lakin muda unaweza usifike pia Ndio maana Nipo hapa si wote walioitwa ila wengine walisikia wakaamini. Sio lazima uwe WEWE MBONA UNAJILAZIMISHA UWE WEWE
1 Wathesalonike : 4 : 8 - Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.
ANAE AMUA UOKOLEWE NI MUNGU SIO MWANADAMU SIJAJA KUOKOA MTU HAPA. Bali mwenye masikio atasikia sauti ya Bwana wake. Na Yeye na bwana wake Yesu watakutana wao mi sihusiki. Hivo relax mkuu wa kaz
Kamuambia baba yakoPunyeto ni mapenzi kati ya mpiga nyeto na Mapepo lengo lao ni kuchukua Nguvu zako ziwe za kike au za kiume ukweli ni kwamba utakuwa Hanithi ukishupaza shingo utapiga bao kama kuku.
Kwa nn mapepo. Huchukua hizo nguvu na kuzitumia kufanya mapenzi na binadamu kwa ndoto nyevu. JINI mahaba. Ukiota unafanya mapenzi na unajua huna Nguvu ya Mungu amka Tubu kwa hali hiyo umeacha mlango wazi. Shetan kuna vitu kapitisha kwako ambavo si vya ki Mungu na ndo maana watu wanaelekezwa makanisani hawaelewi kitu maskio yameziba. Ndoto hizi ni moja ya chanzo.
Hali hii ikikupata takasa uume wako kwa damu ya Yesu ni kiungo kimetumika iwe uke takasa haijarishi hujui kuomba.
Shetan anaemdanganya mwanaume kwenye ndoa ndo huyo anaemkumbusha na mke majukumu ya kuchepuka. Upandacho ndicho uvunacho. Mfumo dume ni ujinga na upumbafu simama omba kwa Ajir ya Familia yako.
Yakobo 4:7 - Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.
Kumbe usipompinga atabaki na wewe. Hivyo ulinzi kwako ni mtihani. Utagongwa gari, utalogwa utakufa kabla ya muda wako na sisi tutasema kazi ya Mungu haina makosa. Kumbe ni mungu pepo uliyemchagua. Baada ya kifo ni hukumu uwe hai ndugu. Yesu atakushindia
Ni matter your age wewe ni punguaniYesu asingekuja kumbe. Relax kama unaona hapa ni kwa wadhambi basi Yesu yuko hapa. Mafarisayo na walimu wa dini hawakumpenda kabisa sbb alisema ukweli ila hakuwalazimisha waache dhambi. Maana huwezi kuacha dhambi isipokuwa Mungu amependa hivo relax. Jukwaa hili ni la mapenzi, urafiki na si la kuonyesha umefanyaje mapenzi umetumia stail gan
Bro humu tumekuja kula kimasihala stop wasting word of Jesus
Wee mzeee acha kuchanganyikiwa wewe unazujua habari za Yesu uliziona wapi wewe boyaa....? Wote hizi habari tunazisikia we falaNaomba utambue ya kwamba nakijua nachokisema. Na sibishani sijaja hapa kubishania maandiko eeh Mpendwa katika bwana. Maana wewe ni mpendwa mimi nakupenda kama bwana anavokupenda ndo maana nakupa Habari njema ili twende wote mbinguni. Mimi ni mbinguni na iman ni kuwa na hakika ndo maana namwomba Mungu nisikengeuke nibkuishi maisha ya utakatifu yaani toba.
Zaburi 16:3 - Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.
Jitahisi kumpendeza Mungu kaka/dada.
Kujibu swali lako ni kwamba kajisomee yameandikwa we si Mkristo kasome Marko, Yohana na hata Luka. Shida mnasoma kwa kuruka ruka. Kaa tulia soma mwanzo mpaka mwisho Mungu atakusemesha.
Bibilia ni maandiko tu kama hutaki toba ya kweli hata mchawi anasoma. Ni Ramani tu au daraja wala halikufikishi popote. Lakini ukitubu kwanza na kukubali kuacha mabaya bas Roho wa Mungu anashuka inakuwa si ANDIKO TENA BALI NENO LA MUNGU LENYE PUMZI YA ROHO MTAKATIFU.
Nyoka ni shetani. Wewe kwa sasa unaweza kubeba uhusika wa shetani ndani yako ukaenda kumpa mimba mke wa Mtu na akazaa mtoto. Huyo mtoto ni mtoto wa zinaa (Ndio maana ya Habari ya Nyoka na hawa) jitazame sasa mtoto huyo nae atazaa kizazi cha nyoka kitaendelea Ndio kimejaa humu ni viburi, wachafu wanalamba Mikundu, wanafira, wameoa lakini wake zao hawana shambani, na wao wanaenda makanisani na misikitini, walevi. Misikiti na makanisa imeshindwa kuwasaidia. Na kuwatoa kwenye vifungo.
Sasa Nipo hapa Mwenye masikio na asikie lile Neno Yesu alowaambia Mataifa wasiomjua Mungu KWAMBA WOKOVU UMEWAJILIA
HOFU YA MUNGU IKUTAWALE WW UNAEWAZA KULA KIMASIHALA NAUA HIYO ROHO CHAFU SHETANI ALOKUFUNGA NAYO NAVUNJA KWA DAMU YA YESU NA KWA MOTO ULAO. Uwe huru mwanangu