Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Unaweza kabisa kusimama Ndio lakini yupo mke wangu kwa ajir hiyo. Mithal 5:16-18
By the way Alisha wajua walio wake angali wamo tumboni mwa mama zao.

So acha kujikuta wewe mkamilifu ...unaweza ukajikuta unafata na kupritend lkn habari ni anawajua walio wake. So acha kujipendekeza mkuu na kiherehere
 
Kipofu hawezi kuongoza kipofu wenzie. Yeye Mungu akitaka atakupa asipotaka ni Yeye una hangaika tu. Ni mmoja tu aliye potea wala sio wewe
By the way Alisha wajua walio wake angali wamo tumboni mwa mama zao. [emoji1][emoji1]
 
Ingekuwa Kuna maisha baada ya kifo waliotuletea dini wasingeendelea kuuwa na kuibia maskini, maisha baada ya kifo hayana ushahidi

Mimi sina Dini na Mda wote nimesema hivo. Hivo upo sawa. Walio wake Mungu wanajua kwamba kuna uzima wa Milele. Roho inaishi ama kuzimu ama mbinguni ni juu yako tu kuchagua. Usikiapo usiufanye Moyo wako kuwa mgumu. Mpendwa una maanisha hakuna dhambi, je waweza tembea na Mama yako au dada yako na ukajiona sawa tu?. Kama huwez bas tambua Kunae Mungu. Aheri uamini YUPO UENDE UMKOSE KULIKO KUAMINI HAYUPO UKAJIENDEA UKAMKUTA HAKIKA UTALIA NA KUSAGA MENO SIO PUMBU TENA MDA HUO. Hivo nna haki ya kuwa hapa na bado sijaanza mafundisho.
 
By the way Alisha wajua walio wake angali wamo tumboni mwa mama zao.

So acha kujikuta wewe mkamilifu ...unaweza ukajikuta unafata na kupritend lkn habari ni anawajua walio wake. So acha kujipendekeza mkuu na kiherehere

IMG_7723.jpg
 
By the way Alisha wajua walio wake angali wamo tumboni mwa mama zao. [emoji1][emoji1]

Yaa aliwajua mkuu Mama ni kanisa(Mwanamke) kwa hiyo wengine wapo kwenye makanisa maana Nyoka aliambiwa atatembea kwa (Tumbo) lakini kuna Tumbo la mwanamke ni wewe sasa kuchakata. Hushangai yanaibuka makanisa mengi. Manake Mungu anawatoa walio wake kwenye matumbo ya mama zao. Ni Elimu ya juu wewe bado kula mbususu kwanza nikuache maana sijaja kubishana. Naujua mlengo wako hivo relux
 
Yaa aliwajua mkuu Mama ni kanisa(Mwanamke) kwa hiyo wengine wapo kwenye makanisa maana Nyoka aliambiwa atatembea kwa (Tumbo) lakini kuna Tumbo la mwanamke ni wewe sasa kuchakata. Hushangai yanaibuka makanisa mengi. Manake Mungu anawatoa walio wake kwenye matumbo ya mama zao. Ni Elimu ya juu wewe bado kula mbususu kwanza nikuache maana sijaja kubishana. Naujua mlengo wako hivo relux
Kanisa gani ni mama.....?
 
Hivi kanisani kwenu huwa hamu confess...hizi shuhuda za watu ni nini walifanya sio watafanya. Haya ni mapito ya watu walisha yapita Sasa sijui wewe unatatizo gani na mapito ya watu....? Yaani unabishana na mapito ..mambo ambayo watu walisha toka huko. Kama sio upunguani ni Nini .....?

Sio kosa lako. Ungekuwa mpagani isingekuwa shida. Lakini unaenda kujumuika ili ukifa uzikwe [emoji16][emoji16][emoji12] pole pia kanisa ni Mtu sio Jengo. Hivo hakuna kanisani kwetu bali Nyumbani kwa Baba
 
Kanisa gani ni mama.....?

Walio wa Mungu wanaelewa sipo hapa kwa ajir ya chakula cha Baba na watoto wake kuwapa Nguruwe ni mpaka pale Nguruwe wanapo badilika kuwa kondoo ndo hup ata. Hivo hupati kitu kutoka kwangu
 
Walio wa Mungu wanaelewa sipo hapa kwa ajir ya chakula cha Baba na watoto wake kuwapa Nguruwe ni mpaka pale Nguruwe wanapo badilika kuwa kondoo ndo hup ata. Hivo hupati kitu kutoka kwangu
Walio wa Mungu wanaelewa ..[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] we jamaa boya Sana hivi shetani aliumba lini.....?
 
Walio wa Mungu wanaelewa sipo hapa kwa ajir ya chakula cha Baba na watoto wake kuwapa Nguruwe ni mpaka pale Nguruwe wanapo badilika kuwa kondoo ndo hup ata. Hivo hupati kitu kutoka kwangu
Wee ndugu roho ameniambia unakaribia kufa...ndio maana unabehave hivi ...sio kosa lako ...ni hatua tu ya kuupambania uzima wa milele unao hisi ndio unaenda so sorry for you
 
Baada ya kimya kirefu Leo nawaletea kimasihara ya moto kabisa wala haijapoa kwa hisani ya mkoa mmoja maarufu kwa barabara za namba .
Last weekend nilitoka na wafanyakazi wenzangu kuosha macho. Kati yao wawili mie wa watu ndio nilikuwa mwanaume pekee. Sasa baada ya chakula tulisogea kwenye bar mkabala na uwanja wa mpira wenye kibali cha TFF kuchezewa mechi za ligi kuu.
Sasa mie na moja ya staff mwenzangu mwenye jishepu lake mjini hapa tukishamwagilia moyo tunakuwaga na vibe fulani la kucheza mziki hasa wa mbele . Na this time Mr. Dj wala hakutuangusha alikuwa na playlist ya manyimbo ya zamani mfano : I know what you want by Busta rhymes ft Mariah Carey n.k
Kumbe wakati tunacheza pale kuna dada alikaa meza ya chini ( tunapaita shimoni) akawa anatucheck kwa juu na alivutiwa sana na uchezaji wangu. Na ofcourse kucheza najua na mziki it's my passion. Wakati tunatoka nje ( palipooza tukaamua kuhama kwenda club kabisa ) alitufuata kwa nyuma(alikuja kuniambia siku nyingine) ila tukapanda gari so hatukuonana . Jumapili akakutana na moja ya staff mwenzangu akamkumbuka so akamsifia pale to cut the story short walipeana namba na jioni akampigia tukutane sehemu kumwagilia moyo then nilliishia kumla.
 
Baada ya kimya kirefu Leo nawaletea kimasihara ya moto kabisa wala haijapoa kwa hisani ya mkoa mmoja maarufu kwa barabara za namba .
Last weekend nilitoka na wafanyakazi wenzangu kuosha macho. Kati yao wawili mie wa watu ndio nilikuwa mwanaume pekee. Sasa baada ya chakula tulisogea kwenye bar mkabala na uwanja wa mpira wenye kibali cha TFF kuchezewa mechi za ligi kuu.
Sasa mie na moja ya staff mwenzangu mwenye jishepu lake mjini hapa tukishamwagilia moyo tunakuwaga na vibe fulani la kucheza mziki hasa wa mbele . Na this time Mr. Dj wala hakutuangusha alikuwa na playlist ya manyimbo ya zamani mfano : I know what you want by Busta rhymes ft Mariah Carey n.k
Kumbe wakati tunacheza pale kuna dada alikaa meza ya chini ( tunapaita shimoni) akawa anatucheck kwa juu na alivutiwa sana na uchezaji wangu. Na ofcourse kucheza najua na mziki it's my passion. Wakati tunatoka nje ( palipooza tukaamua kuhama kwenda club kabisa ) alitufuata kwa nyuma(alikuja kuniambia siku nyingine) ila tukapanda gari so hatukuonana . Jumapili akakutana na moja ya staff mwenzangu akamkumbuka so akamsifia pale to cut the story short walipeana namba na jioni akampigia tukutane sehemu kumwagilia moyo then nilliishia kumla.

Kwa hiyo hapo Masihara ipo wapi mtu amekufatilia amekwambia umeona unapendwa. Utakuja kulala na majini. Ni wewe mimi hainihusu lakini mwanao ataridhi hiyo roho chafu ndani yako. Dunia si sehemu Salama sbb ya Mambo haya. Sawa tafuta mwingine ule ki masihara hayo siyo masihara. Yaan wewe umeliwa na umebaki na laana za huyo ulomla Ndio principle subir matunda
 
Wee ndugu roho ameniambia unakaribia kufa...ndio maana unabehave hivi ...sio kosa lako ...ni hatua tu ya kuupambania uzima wa milele unao hisi ndio unaenda so sorry for you
Achana nae unampa kichwa
 
Back
Top Bottom