Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Punyeto ni mapenzi kati ya mpiga nyeto na Mapepo lengo lao ni kuchukua Nguvu zako ziwe za kike au za kiume ukweli ni kwamba utakuwa Hanithi ukishupaza shingo utapiga bao kama kuku.

Kwa nn mapepo. Huchukua hizo nguvu na kuzitumia kufanya mapenzi na binadamu kwa ndoto nyevu. JINI mahaba. Ukiota unafanya mapenzi na unajua huna Nguvu ya Mungu amka Tubu kwa hali hiyo umeacha mlango wazi. Shetan kuna vitu kapitisha kwako ambavo si vya ki Mungu na ndo maana watu wanaelekezwa makanisani hawaelewi kitu maskio yameziba. Ndoto hizi ni moja ya chanzo.

Hali hii ikikupata takasa uume wako kwa damu ya Yesu ni kiungo kimetumika iwe uke takasa haijarishi hujui kuomba.

Shetan anaemdanganya mwanaume kwenye ndoa ndo huyo anaemkumbusha na mke majukumu ya kuchepuka. Upandacho ndicho uvunacho. Mfumo dume ni ujinga na upumbafu simama omba kwa Ajir ya Familia yako.

Yakobo 4:7 - Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.

Kumbe usipompinga atabaki na wewe. Hivyo ulinzi kwako ni mtihani. Utagongwa gari, utalogwa utakufa kabla ya muda wako na sisi tutasema kazi ya Mungu haina makosa. Kumbe ni mungu pepo uliyemchagua. Baada ya kifo ni hukumu uwe hai ndugu. Yesu atakushindia
 
Akipandacho Mtu ndicho akivunacho ni lazima kuvuna. Kama umepanda Mema basi utavuna Mema na mabaya pia. Hivyo tabia ya kufanya mapenzi kinyume na Maumbile ewe Mume kufira mtu mke au Mume uwe na hakika na wewe Ama mwanao ama mjukuu atafanya hayo kugeuzwa. Hii ni kama hakuna Toba ya kweli. Taman kuishi maisha ya Toba lakin ombea na wengine.

Penda sana Kuwa lala wa dada na ww dada Penda sana wanaume kabla na baada ya ndoa. Mambo ambayo hutopenda mwanao afanye na wewe uliyafanya. Nakukumbusha utavuna unachopanda sasa hivi hapo badae. Pasipo Toba ya kweli hakika utavuna. Mlango mda wote huwa upo wazi kwa ajir ya wanyenyekeao.

Mungu anatupenda ndo maana analeta habari njema kila iitwapo leo hata kama hatuzipendi masikio yanawasha lakini Yeye hachoki maana anawajua walio wake.

Toba itatuweka huru siku zote. Roho i radhi lakini mwili ni dhaifu. Ni muhimu Roho ikajifunza kuishi maisha ya mbinguni ikiwa duniani maana ilikuwapo mbinguni hapo kabla na shetani hataki irudi. Yeremia 1:5
 
Amani Kabisaa. Hakuna magonjwa, hakuna ajari, nalikuwa kipofu sijui dhambi wala sion dhambi sasa naona, kuna uzima, naijua kesho yangu, na uhakika wa kuishi miaka timilifu na ikibid kuongezwa kama ntazid kumfurahisha Mungu kama Ali Poa Muongezea Hezekia. Ndugu zangu wanalindwa na Bwana, hakuna kulogwa, mashetani yakiniona yanatetemeka. Yote haya ni kwa sbb Yesu amenipa Neema. Hiyo Neema kiu yangu uipate na ww. Ila kwa mapenzi yake Mungu maana Mungu hachanganywi. Hivo nitokapo Ni kwema na sitoki kwa Yesu maana ni kwema
Mnafiki wewe unasoma nyuzi za watu halafu unaleta, ujuaji huku tayari ushasoma masihara ya wengine, kama kweli usiingie kabisa humu
 
Bora kukosa akili. Nimepatia nasema na nyie ambao mmefungwa sbb ya dhambi za wazazi wenu, Babu na koo zetu Nipo hapa kuwapa Habari njema mwenye masikio ya kusikia atasikia. Aliye kipofu ataona mimi sina akili wala haina shida. Na itajulikana kila goti litapigwa kwa Bwana Yesu. Usipopokea wewe atapokea mwingine. Si mnasema thread inafatiliwa si mbaya nikahubir ntafatiliwa pia. Tuishi mkuu. Na vile mnaenda na kusali jumapil, jumamos na ijumaa mnatoa na sadaka. Amin nakwambia kwa miandiko hii bado mnayatolea mapepo sadaka. Haiwezekani ukaabudu na bado uasherati na uzinzi vikuandame. Hivo ni vifungo ni pingu, ni magereza ni minyororo shetani kawafunga kwenye dini hizi. Hamna msaada.

Kama Mungu aishivyo mkawe huru kwa Jina lake Yesu
Hapa sio mahali pake,nyie ndio wale mnalazimisha kuhubiri kwenye mabus
 
Mnafiki wewe unasoma nyuzi za watu halafu unaleta, ujuaji huku tayari ushasoma masihara ya wengine, kama kweli usiingie kabisa humu

Yesu aliambiwa Yeye ni Berbezuri mkuu wa mapepo haya ni madogo. Leta masihara nasoma kwan we wa kwanza. Kama Nyoka alikula masihara kwa hawa akazaliwa kaini kuna shida gani kizazi cha nyoka mpaka sasa kuwepo. Ni Yohana mbatizaji pia alibatiza kizazi cha nyoka kilishituka so relux. Leta masihara Tuburudike.
 
Hapa sio mahali pake,nyie ndio wale mnalazimisha kuhubiri kwenye mabus

Yesu asingekuja kumbe. Relax kama unaona hapa ni kwa wadhambi basi Yesu yuko hapa. Mafarisayo na walimu wa dini hawakumpenda kabisa sbb alisema ukweli ila hakuwalazimisha waache dhambi. Maana huwezi kuacha dhambi isipokuwa Mungu amependa hivo relax. Jukwaa hili ni la mapenzi, urafiki na si la kuonyesha umefanyaje mapenzi umetumia stail gan
 
Yesu asingekuja kumbe. Relax kama unaona hapa ni kwa wadhambi basi Yesu yuko hapa. Mafarisayo na walimu wa dini hawakumpenda kabisa sbb alisema ukweli ila hakuwalazimisha waache dhambi. Maana huwezi kuacha dhambi isipokuwa Mungu amependa hivo relax. Jukwaa hili ni la mapenzi, urafiki na si la kuonyesha umefanyaje mapenzi umetumia stail gan
Usitupotezee muda we KIZEE! Kama una kisa chochote jinsi ulivyomla/ ulivyoliwa (na) kondoo wako kisimulie , sio una tuletea habari za Yesu mara Mafarisayo, Walimu wa dini, n.k. Do these associate with the topic of our symposium?

NEVER DO IT AGAIN WE WILL HUMBLE YOU!
 
Hukuona digrii nyingine mpaka ukasomea Ugavi? Kwa huo Ugavi tu miaka 3 ijayo hata kumtaja YESU utakuwa unaona aibu.
 
Back
Top Bottom