nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 674
- 1,064
Daudi alivokula kimasihara mke wa jemedar wake na Mungu alivyo amua achagua adhabu apigwe na Yeye au apigwe na adui zake. Yaan wewe hapo upigwe na Mume wa huyo mwanamke [emoji13][emoji13] au upigwe na Mungu. Daudi alichagua apigwe na Mungu maana adui yako haangalii wapi apige unaweza pakwa hata mafuta ukaliwa kiboga.
Daudi alitubu Mungu akamsamehe hata mtoto wa Uzinzi Mungu alimuua. Kama Daudi alitubu kwa nn ww ushindwe mwili unakuzidi Nguvu.
Masihara yalimponza lakini alitubu akasonga ndicho Mungu anataka. Maana masihara Yalisababisha Jeshi lake kupigwa na Mungu wakafa wengi sbb yake tu. Mungu hakumpiga Yeye alipiga watu wake ili aumie. Manake Mungu aliruhusu mabaya yampate. Kwako inawezekana pia ukarogwa, uchumi ukayumba, ukapoteza wanao kwa ajari maana ajari ni kichapo cha shetani,magonjwa yasiyoisha pesa zinaishia hospital na kwenye Pombe ni kichapo hicho.
Ipo Neema na Mungu akupe mpendwa
Daudi alitubu Mungu akamsamehe hata mtoto wa Uzinzi Mungu alimuua. Kama Daudi alitubu kwa nn ww ushindwe mwili unakuzidi Nguvu.
Masihara yalimponza lakini alitubu akasonga ndicho Mungu anataka. Maana masihara Yalisababisha Jeshi lake kupigwa na Mungu wakafa wengi sbb yake tu. Mungu hakumpiga Yeye alipiga watu wake ili aumie. Manake Mungu aliruhusu mabaya yampate. Kwako inawezekana pia ukarogwa, uchumi ukayumba, ukapoteza wanao kwa ajari maana ajari ni kichapo cha shetani,magonjwa yasiyoisha pesa zinaishia hospital na kwenye Pombe ni kichapo hicho.
Ipo Neema na Mungu akupe mpendwa