Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Acheni kujibishana naye.

Just ignore him....atabwabwaja na mwishowe atakwenda zake...

Atamwokoa nani kwa mabezo, majigambo na mateso yake haya ya rejareja? Lugha pekee inayoeleweka kwa mwenye dhambi ni upendo tena kwa vitendo. Huyu hata kwa maneno yake tu unaweza kuona kuwa kuna tatizo mahali...

Hakuna mijitu minafiki na self righteous kama milokole
Akwende zake, akahubirie familia yake.
 
Akwende zake, akahubirie familia yake.

Haha ina Choma injil mbona hata sijaanza kuhubir mkuu. Twenden tu mmezoea kusikia maneno matamu matamu. Hata Yesu hakufanya huo ujinga ndo mana akaongea nao kwa mafumbo mataifa wasio mjua Mungu. Mmezoea kuambiwa Nendeni na aaamaaaani bichwa linawaza kula kimasihara. Shetani Kafunga kabisa ufahamu kiongoz kashindwa kuona vifungo sbb wewe na Yeye mnafanana. Ipo Neema yake Kristu aliye hai ikashuke katika ukurasa huu watu wakawe huru. Shetan achia taifa la Mungu ndani ya kaka Huyu na dada huyu, Baba na Mama huyu asomae achiiia fahamu zake. Navuja na kung’oa na teketeza kila roho chafu Yeremia 1:10 PINGWAAA IBILISI NA MAWAKALA ZAKO. Bali Amani ya bwana ikawa ndani yao Baba hawa nao ni wako Baba yangu uwatetee dhidi ya Herode na pharao kwa Jina la Yesu.

Roho ya uzinzi na uasherati, ndoto mbaya na mawazo mabaya pingwaaaaaaaaaaaaa na vifungo vyotee na Pasua, na kila Nira nakata zabur 2:3 nakata kwa upanga katika jina Lako Yesu wangu na Mwokozi wangu. Wakawe huru wasiteswe tena na Roho chafu za ukoo wao, hayo mafatilizi ya Babu na baba zao juu ya uasherati na uzinzi na pingaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Wengine wana sema niende Jukwaa la Dini. Nami nawauliza. MUNGU DINI GANI? ukipata jibu kaa nalo uwe na hakika sijaingia bahati mbaya.
Walishakuja wengi wewe sijui wa Saba, utaondoka Kama wenzako. Fuatilia replies huko juu utakutana na wachungaji wenzako ambao walitwanga maji yakawashinda wakala kona
 
Bora kukosa akili. Nimepatia nasema na nyie ambao mmefungwa sbb ya dhambi za wazazi wenu, Babu na koo zetu Nipo hapa kuwapa Habari njema mwenye masikio ya kusikia atasikia. Aliye kipofu ataona mimi sina akili wala haina shida. Na itajulikana kila goti litapigwa kwa Bwana Yesu. Usipopokea wewe atapokea mwingine. Si mnasema thread inafatiliwa si mbaya nikahubir ntafatiliwa pia. Tuishi mkuu. Na vile mnaenda na kusali jumapil, jumamos na ijumaa mnatoa na sadaka. Amin nakwambia kwa miandiko hii bado mnayatolea mapepo sadaka. Haiwezekani ukaabudu na bado uasherati na uzinzi vikuandame. Hivo ni vifungo ni pingu, ni magereza ni minyororo shetani kawafunga kwenye dini hizi. Hamna msaada.

Kama Mungu aishivyo mkawe huru kwa Jina lake Yesu
Wewe kimekuleta nn katika huu Uzi hebu tuache tufurahie maisha, wewe kapige gossip huko, Tena nyie mnaojifanya mnaombea watu ndiyo mmekubuhu uzinzi mnagonga wakeza za watu na kuwavunjia ndoa zao
 
Acheni kujibishana naye.

Just ignore him....atabwabwaja na mwishowe atakwenda zake...

Atamwokoa nani kwa mabezo, majigambo na matusi? Lugha pekee inayoeleweka kwa mwenye dhambi ni upendo tena kwa vitendo. Huyu hata kwa maneno yake tu unaweza kuona kuwa kuna tatizo mahali...

Na hakuna mijitu minafiki na self righteous kama milokole





Hivi wapi umebezwa, wapi nimejigamba wapi nimetukana watu mnafanya matusi lakini naonekana mimi na wewe kwamba nimetukana li wap TUSI moja nimetukana. Ukweli unaita matusi . Kwamba nikuambie kwa upole kwamba ufanye nn sasa. Umeshindwa kuwasikia viongozi wako unaowapa sadaka unataka unisikie mimi. Mimi nasema ukweli na Mungu anajua upokee au uache shauri lako.

1 Wathesalonike 4:7 - Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso. KAMA HUJAITWA UTANIONA NAKUTUKANA LAKIN MUDA UKIFIKA NAWE UKAITWA ROHO YAKO ITAKUSHUHUDIA KWAMBA NALISEMA UKWELI. Lakin muda unaweza usifike pia Ndio maana Nipo hapa si wote walioitwa ila wengine walisikia wakaamini. Sio lazima uwe WEWE MBONA UNAJILAZIMISHA UWE WEWE

1 Wathesalonike : 4 : 8 - Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.

ANAE AMUA UOKOLEWE NI MUNGU SIO MWANADAMU SIJAJA KUOKOA MTU HAPA. Bali mwenye masikio atasikia sauti ya Bwana wake. Na Yeye na bwana wake Yesu watakutana wao mi sihusiki. Hivo relax mkuu wa kaz
 
Back
Top Bottom