nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 674
- 1,064
Mnavojib ndo mnampa kichwa aendelee. Tunaigore tu visa vinaendelea
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji16]
Mnavojib ndo mnampa kichwa aendelee. Tunaigore tu visa vinaendelea
Mnafiki wewe unasoma nyuzi za watu halafu unaleta, ujuaji huku tayari ushasoma masihara ya wengine, kama kweli usiingie kabisa humuAmani Kabisaa. Hakuna magonjwa, hakuna ajari, nalikuwa kipofu sijui dhambi wala sion dhambi sasa naona, kuna uzima, naijua kesho yangu, na uhakika wa kuishi miaka timilifu na ikibid kuongezwa kama ntazid kumfurahisha Mungu kama Ali Poa Muongezea Hezekia. Ndugu zangu wanalindwa na Bwana, hakuna kulogwa, mashetani yakiniona yanatetemeka. Yote haya ni kwa sbb Yesu amenipa Neema. Hiyo Neema kiu yangu uipate na ww. Ila kwa mapenzi yake Mungu maana Mungu hachanganywi. Hivo nitokapo Ni kwema na sitoki kwa Yesu maana ni kwema
Hapa sio mahali pake[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706],nyie ndio wale mnalazimisha kuhubiri kwenye mabusBora kukosa akili. Nimepatia nasema na nyie ambao mmefungwa sbb ya dhambi za wazazi wenu, Babu na koo zetu Nipo hapa kuwapa Habari njema mwenye masikio ya kusikia atasikia. Aliye kipofu ataona mimi sina akili wala haina shida. Na itajulikana kila goti litapigwa kwa Bwana Yesu. Usipopokea wewe atapokea mwingine. Si mnasema thread inafatiliwa si mbaya nikahubir ntafatiliwa pia. Tuishi mkuu. Na vile mnaenda na kusali jumapil, jumamos na ijumaa mnatoa na sadaka. Amin nakwambia kwa miandiko hii bado mnayatolea mapepo sadaka. Haiwezekani ukaabudu na bado uasherati na uzinzi vikuandame. Hivo ni vifungo ni pingu, ni magereza ni minyororo shetani kawafunga kwenye dini hizi. Hamna msaada.
Kama Mungu aishivyo mkawe huru kwa Jina lake Yesu
Mnafiki wewe unasoma nyuzi za watu halafu unaleta, ujuaji huku tayari ushasoma masihara ya wengine, kama kweli usiingie kabisa humu
Hapa sio mahali pake[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706],nyie ndio wale mnalazimisha kuhubiri kwenye mabus
AleluyaaNimeacha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Unajikuta YESU siyo..!?
Usitupotezee muda we KIZEE! Kama una kisa chochote jinsi ulivyomla/ ulivyoliwa (na) kondoo wako kisimulie , sio una tuletea habari za Yesu mara Mafarisayo, Walimu wa dini, n.k. Do these associate with the topic of our symposium?Yesu asingekuja kumbe. Relax kama unaona hapa ni kwa wadhambi basi Yesu yuko hapa. Mafarisayo na walimu wa dini hawakumpenda kabisa sbb alisema ukweli ila hakuwalazimisha waache dhambi. Maana huwezi kuacha dhambi isipokuwa Mungu amependa hivo relax. Jukwaa hili ni la mapenzi, urafiki na si la kuonyesha umefanyaje mapenzi umetumia stail gan
Nilikwambia hutafikisha miaka 3 kabla hujaanguka na anguko lako linaanzia hapa.Yesu aliambiwa Yeye ni Berbezuri mkuu wa mapepo haya ni madogo. Leta masihara nasoma kwan we wa kwanza. Kama Nyoka alikula masihara kwa hawa akazaliwa kaini kuna shida gani kizazi cha nyoka mpaka sasa kuwepo. Ni Yohana mbatizaji pia alibatiza kizazi cha nyoka kilishituka so relux. Leta masihara Tuburudike.
Usitupotezee muda we KIZEE! Kama una kisa chochote jinsi ulivyomla/ ulivyoliwa (na) kondoo wako kisimulie , sio una tuletea habari za Yesu mara Mafarisayo, Walimu wa dini, n.k. Do these associate with the topic of our symposium?
NEVER DO IT AGAIN WE WILL HUMBLE YOU!
Nilikwambia hutafikisha miaka 3 kabla hujaanguka na anguko lako linaanzia hapa.
1.Ni andiko gani Yesu ameitwa Berbezuri?
2.Ni andiko gani Nyoka kalala na Hawa?
3.Ni andiko gani Kaini si Mtoto wa Adam bali Baba yake ni Nyoka.
Hukuona digrii nyingine mpaka ukasomea Ugavi? Kwa huo Ugavi tu miaka 3 ijayo hata kumtaja YESU utakuwa unaona aibu.
Huu uzi si ufungwe 2 jmn?