Venturimeter
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 238
- 568
hahaha noma sana mkuu, wakuu muda wote wapo makini kwa kula mbususu kimasiharaMbemgo zimefunguka kwenye huu uzi 😁😅😀
hahaha noma sana mkuu, wakuu muda wote wapo makini kwa kula mbususu kimasiharaMbemgo zimefunguka kwenye huu uzi 😁😅😀
Akwende zake, akahubirie familia yake.Acheni kujibishana naye.
Just ignore him....atabwabwaja na mwishowe atakwenda zake...
Atamwokoa nani kwa mabezo, majigambo na mateso yake haya ya rejareja? Lugha pekee inayoeleweka kwa mwenye dhambi ni upendo tena kwa vitendo. Huyu hata kwa maneno yake tu unaweza kuona kuwa kuna tatizo mahali...
Hakuna mijitu minafiki na self righteous kama milokole![]()
Tupa kwenye iginoa listi hukoAkwende zake, akahubirie familia yake.



Tayari muda tuTupa kwenye iginoa listi huko![]()
Sio fair totallyTayari muda tu
Akwende zake, akahubirie familia yake.
Walishakuja wengi wewe sijui wa Saba, utaondoka Kama wenzako. Fuatilia replies huko juu utakutana na wachungaji wenzako ambao walitwanga maji yakawashinda wakala konaWengine wana sema niende Jukwaa la Dini. Nami nawauliza. MUNGU DINI GANI? ukipata jibu kaa nalo uwe na hakika sijaingia bahati mbaya.
Kisa?Sio fair totally
Walishakuja wengi wewe sijui wa Saba, utaondoka Kama wenzako. Fuatilia replies huko juu utakutana na wachungaji wenzako ambao walitwanga maji yakawashinda wakala kona
Wapi my dia?Called ya like 1000 times,,![]()
Wewe kimekuleta nn katika huu Uzi hebu tuache tufurahie maisha, wewe kapige gossip huko, Tena nyie mnaojifanya mnaombea watu ndiyo mmekubuhu uzinzi mnagonga wakeza za watu na kuwavunjia ndoa zaoBora kukosa akili. Nimepatia nasema na nyie ambao mmefungwa sbb ya dhambi za wazazi wenu, Babu na koo zetu Nipo hapa kuwapa Habari njema mwenye masikio ya kusikia atasikia. Aliye kipofu ataona mimi sina akili wala haina shida. Na itajulikana kila goti litapigwa kwa Bwana Yesu. Usipopokea wewe atapokea mwingine. Si mnasema thread inafatiliwa si mbaya nikahubir ntafatiliwa pia. Tuishi mkuu. Na vile mnaenda na kusali jumapil, jumamos na ijumaa mnatoa na sadaka. Amin nakwambia kwa miandiko hii bado mnayatolea mapepo sadaka. Haiwezekani ukaabudu na bado uasherati na uzinzi vikuandame. Hivo ni vifungo ni pingu, ni magereza ni minyororo shetani kawafunga kwenye dini hizi. Hamna msaada.
Kama Mungu aishivyo mkawe huru kwa Jina lake Yesu
Acheni kujibishana naye.
Just ignore him....atabwabwaja na mwishowe atakwenda zake...
Atamwokoa nani kwa mabezo, majigambo na matusi? Lugha pekee inayoeleweka kwa mwenye dhambi ni upendo tena kwa vitendo. Huyu hata kwa maneno yake tu unaweza kuona kuwa kuna tatizo mahali...
Na hakuna mijitu minafiki na self righteous kama milokole![]()

wapi nimetukana watu mnafanya matusi lakini naonekana mimi na wewe kwamba nimetukana li wap TUSI moja nimetukana. Ukweli unaita matusi . Kwamba nikuambie kwa upole kwamba ufanye nn sasa. Umeshindwa kuwasikia viongozi wako unaowapa sadaka unataka unisikie mimi
. Mimi nasema ukweli na Mungu anajua upokee au uache shauri lako. Uzi pendwa wa jrWapi my dia?
Mwee sijaona natumia app mara nyingi ndio shida notification zmekata . Em nikapekue.Uzi pendwa wa jr
But you good??Mwee sijaona natumia app mara nyingi ndio shida notification zmekata . Em nikapekue.
Yaah niko good...mambo yako??But you good??
kelsea njoo pm basiYaah niko good...mambo yako??