Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

JUKWAA LA DINI NI LIPI MUNGU HANA DINI HATA MIMI SINA. uasherati na uzinzi ni mambo yapo kwenye Dini Eeh PILATO
Hivi kanisani kwenu huwa hamu confess...hizi shuhuda za watu ni nini walifanya sio watafanya. Haya ni mapito ya watu walisha yapita Sasa sijui wewe unatatizo gani na mapito ya watu....? Yaani unabishana na mapito ..mambo ambayo watu walisha toka huko. Kama sio upunguani ni Nini .....?
 
Luka 22:31 - Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
Kwa akili zako unahisi humu unaleta mambo mapya .. ? Hayo unayo tuambia tunaweza tukakuambia Hadi ukabaki kuwa mdikilizaji
 
Maisha matamu lakini mafupi. Kwamba naombea watu afu nagonga wake za watu basi ufalme wa shetan umefitinika. Shetan amtoa shetan mwenzie kwa Maombi yaan Yesu atusaidie unakuta hapo una degree. Ndio maana haya mambo hayasomewi. Unakuta mtu kaenda kusomea bibilia ati aje afundishe watu na watu wanamtunza. Neno la Mungu halisomewi hakuna Elimu ya Bible Mwl ni Roho mtakatifu yeye humfunulia amtakae

Luka 24:45 - Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko.
Aliwafunulia wakinanan? Ni wanafunzi wake kumbe lazima uwe mwanafunzi wake ndo akufunulie. Ungekuwa bas ungetambua usingesema TUACHE wewe na nan kwamba mmekuwa familia ya kimasihara.

Sihukumu Mtu mimi kwamba mzizi maana hata mimi nilikuwa Mzinzi pengine kuliko wewe. Maana usije ukadanganywa Mbegu haioti isipooza kwanza. Nami nilioza badae nikaota nikazaa matunda lakini Yesu alininyeshea Mvua ili niote(Maji) kwa nini basi NIKUDHARAU WEWE UNAE OZA SASA MKUU WANGU EEH. Nipo hapa kupalilia MAGUGU ILI UOTE VIZURI MWANANGU NIKUWEKEE NA MBOLEA WADOGOWANE NAKUPENDA NDUGU KWA AMANI TU KITAMBO KIDOGO HUTOYAONA HAYA HUMU UTAJIPIMIA MWENYEWE JE ULIDONDOKA KWENYE UDONGO MZURI, AU MIIBA IMEKUSONGA NI WEWE SASA. Pokea Busu takatifu mwaaaaah
Ingekuwa Kuna maisha baada ya kifo waliotuletea dini wasingeendelea kuuwa na kuibia maskini, maisha baada ya kifo hayana ushahidi
 
Kwa akili zako unahisi humu unaleta mambo mapya .. ? Hayo unayo tuambia tunaweza tukakuambia Hadi ukabaki kuwa mdikilizaji

Kipofu hawezi kuongoza kipofu wenzie. Yeye Mungu akitaka atakupa asipotaka ni Yeye una hangaika tu. Ni mmoja tu aliye potea wala sio wewe
 
Unaweza kabisa kusimama Ndio lakini yupo mke wangu kwa ajir hiyo. Mithal 5:16-18
By the way Alisha wajua walio wake angali wamo tumboni mwa mama zao.

So acha kujikuta wewe mkamilifu ...unaweza ukajikuta unafata na kupritend lkn habari ni anawajua walio wake. So acha kujipendekeza mkuu na kiherehere
 
Kipofu hawezi kuongoza kipofu wenzie. Yeye Mungu akitaka atakupa asipotaka ni Yeye una hangaika tu. Ni mmoja tu aliye potea wala sio wewe
By the way Alisha wajua walio wake angali wamo tumboni mwa mama zao.
 
Ingekuwa Kuna maisha baada ya kifo waliotuletea dini wasingeendelea kuuwa na kuibia maskini, maisha baada ya kifo hayana ushahidi

Mimi sina Dini na Mda wote nimesema hivo. Hivo upo sawa. Walio wake Mungu wanajua kwamba kuna uzima wa Milele. Roho inaishi ama kuzimu ama mbinguni ni juu yako tu kuchagua. Usikiapo usiufanye Moyo wako kuwa mgumu. Mpendwa una maanisha hakuna dhambi, je waweza tembea na Mama yako au dada yako na ukajiona sawa tu?. Kama huwez bas tambua Kunae Mungu. Aheri uamini YUPO UENDE UMKOSE KULIKO KUAMINI HAYUPO UKAJIENDEA UKAMKUTA HAKIKA UTALIA NA KUSAGA MENO SIO PUMBU TENA MDA HUO. Hivo nna haki ya kuwa hapa na bado sijaanza mafundisho.
 
By the way Alisha wajua walio wake angali wamo tumboni mwa mama zao.

So acha kujikuta wewe mkamilifu ...unaweza ukajikuta unafata na kupritend lkn habari ni anawajua walio wake. So acha kujipendekeza mkuu na kiherehere

IMG_7723.jpg
 
By the way Alisha wajua walio wake angali wamo tumboni mwa mama zao.

Yaa aliwajua mkuu Mama ni kanisa(Mwanamke) kwa hiyo wengine wapo kwenye makanisa maana Nyoka aliambiwa atatembea kwa (Tumbo) lakini kuna Tumbo la mwanamke ni wewe sasa kuchakata. Hushangai yanaibuka makanisa mengi. Manake Mungu anawatoa walio wake kwenye matumbo ya mama zao. Ni Elimu ya juu wewe bado kula mbususu kwanza nikuache maana sijaja kubishana. Naujua mlengo wako hivo relux
 
Yaa aliwajua mkuu Mama ni kanisa(Mwanamke) kwa hiyo wengine wapo kwenye makanisa maana Nyoka aliambiwa atatembea kwa (Tumbo) lakini kuna Tumbo la mwanamke ni wewe sasa kuchakata. Hushangai yanaibuka makanisa mengi. Manake Mungu anawatoa walio wake kwenye matumbo ya mama zao. Ni Elimu ya juu wewe bado kula mbususu kwanza nikuache maana sijaja kubishana. Naujua mlengo wako hivo relux
Kanisa gani ni mama.....?
 
Hivi kanisani kwenu huwa hamu confess...hizi shuhuda za watu ni nini walifanya sio watafanya. Haya ni mapito ya watu walisha yapita Sasa sijui wewe unatatizo gani na mapito ya watu....? Yaani unabishana na mapito ..mambo ambayo watu walisha toka huko. Kama sio upunguani ni Nini .....?

Sio kosa lako. Ungekuwa mpagani isingekuwa shida. Lakini unaenda kujumuika ili ukifa uzikwe pole pia kanisa ni Mtu sio Jengo. Hivo hakuna kanisani kwetu bali Nyumbani kwa Baba
 
Kanisa gani ni mama.....?

Walio wa Mungu wanaelewa sipo hapa kwa ajir ya chakula cha Baba na watoto wake kuwapa Nguruwe ni mpaka pale Nguruwe wanapo badilika kuwa kondoo ndo hup ata. Hivo hupati kitu kutoka kwangu
 
Back
Top Bottom