Maisha matamu lakini mafupi. Kwamba naombea watu afu nagonga wake za watu basi ufalme wa shetan umefitinika. Shetan amtoa shetan mwenzie kwa Maombi




yaan Yesu atusaidie unakuta hapo una degree. Ndio maana haya mambo hayasomewi. Unakuta mtu kaenda kusomea bibilia ati aje afundishe watu na watu wanamtunza


. Neno la Mungu halisomewi hakuna Elimu ya Bible Mwl ni Roho mtakatifu yeye humfunulia amtakae
Luka 24:45 - Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko.
Aliwafunulia wakinanan? Ni wanafunzi wake kumbe lazima uwe mwanafunzi wake ndo akufunulie. Ungekuwa bas ungetambua usingesema TUACHE wewe na nan kwamba mmekuwa familia ya kimasihara

.
Sihukumu Mtu mimi kwamba mzizi maana hata mimi nilikuwa Mzinzi pengine kuliko wewe. Maana usije ukadanganywa Mbegu haioti isipooza kwanza. Nami nilioza badae nikaota nikazaa matunda lakini Yesu alininyeshea Mvua ili niote(Maji) kwa nini basi NIKUDHARAU WEWE UNAE OZA SASA MKUU WANGU EEH. Nipo hapa kupalilia MAGUGU ILI UOTE VIZURI MWANANGU NIKUWEKEE NA MBOLEA WADOGOWANE NAKUPENDA NDUGU KWA AMANI TU KITAMBO KIDOGO HUTOYAONA HAYA HUMU UTAJIPIMIA MWENYEWE JE ULIDONDOKA KWENYE UDONGO MZURI, AU MIIBA IMEKUSONGA NI WEWE SASA. Pokea Busu takatifu mwaaaaah