nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 674
- 1,064
@Kelsea mwache ahuburi neno la Mungu,,, kama anavyowiwa kutoka ndani ya moyo wake. Maana neno la Mungu linahubiriwa mahali popote na Kwa watu wowote... Kama huna interest na hicho kitu, mnyamazie tuu. Ataongeaaaa akimaliza ataacha. But yule mwenye kusikia atasikia akitaka... Sema hatakiwi kuforce mtu kufanya anachotaka yeye,,, Bali pale mtu anapobadilika mwenyewe kutoka ndani ya moyo wake. Maana hapa hatujuani matendo yetu ni yepi. Mtu aweza akawa anaandika hapa lakini nyuma ya keyboard ni mtu mwema na matendo yake ni bora... Anatakiwa kuhubiri na mwenye kusikia atasikia, maana hiyo ni moja ya wajibu wake kutangaza sifa za Yesu,,, huwez jua kupitia yeye Kuna mtu 1 alikuwa anasuburiwa kubadilika Kwa sababu ya huyu mtu. Mpotezee tu.
Umenena vema. Si kwa Mawazo yako bali Roho wa Bwana ndani yako. Mungu akutunze


