Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

@Kelsea mwache ahuburi neno la Mungu,,, kama anavyowiwa kutoka ndani ya moyo wake. Maana neno la Mungu linahubiriwa mahali popote na Kwa watu wowote... Kama huna interest na hicho kitu, mnyamazie tuu. Ataongeaaaa akimaliza ataacha. But yule mwenye kusikia atasikia akitaka... Sema hatakiwi kuforce mtu kufanya anachotaka yeye,,, Bali pale mtu anapobadilika mwenyewe kutoka ndani ya moyo wake. Maana hapa hatujuani matendo yetu ni yepi. Mtu aweza akawa anaandika hapa lakini nyuma ya keyboard ni mtu mwema na matendo yake ni bora... Anatakiwa kuhubiri na mwenye kusikia atasikia, maana hiyo ni moja ya wajibu wake kutangaza sifa za Yesu,,, huwez jua kupitia yeye Kuna mtu 1 alikuwa anasuburiwa kubadilika Kwa sababu ya huyu mtu. Mpotezee tu.

Umenena vema. Si kwa Mawazo yako bali Roho wa Bwana ndani yako. Mungu akutunze
 
Umenena vema. Si kwa Mawazo yako bali Roho wa Bwana ndani yako. Mungu akutunze
Amen, kila mtu ana wakati wake wa kumkumbuka Muumba wake. Tuombe Sana hii Neema itushukie ndani mwetu... Endelea kumtumikia Mungu maana ujira wako anaujua yeye. Ubarikiwe... Nenda hasa kule kwenye majukwaa ya dini na hakika utasikika.
 
@Kelsea mwache ahuburi neno la Mungu,,, kama anavyowiwa kutoka ndani ya moyo wake. Maana neno la Mungu linahubiriwa mahali popote na Kwa watu wowote... Kama huna interest na hicho kitu, mnyamazie tuu. Ataongeaaaa akimaliza ataacha. But yule mwenye kusikia atasikia akitaka... Sema hatakiwi kuforce mtu kufanya anachotaka yeye,,, Bali pale mtu anapobadilika mwenyewe kutoka ndani ya moyo wake. Maana hapa hatujuani matendo yetu ni yepi. Mtu aweza akawa anaandika hapa lakini nyuma ya keyboard ni mtu mwema na matendo yake ni bora... Anatakiwa kuhubiri na mwenye kusikia atasikia, maana hiyo ni moja ya wajibu wake kutangaza sifa za Yesu,,, huwez jua kupitia yeye Kuna mtu 1 alikuwa anasuburiwa kubadilika Kwa sababu ya huyu mtu. Mpotezee tu.
Sijamkatalia kwanza huo uwezo sina, ushauri wangu kwake ilikua aende jukwaa husika.
 
Kwa hiyo na wewe ni yesu ....? Hivi kilicho kuleta huku ni Nini Kama sio unafki. Yaani unaeenda kilabuni kushangaa walevi kweli ...? Acha ushoga
 
Kwan wokovu ni mtu anaamua kausha we piga mbususu kipo kilio. Mshahara wa dhambi ni mauti. Ndo nyie baiskel au torol linakugonga njian unakufa. Kazi yangu ni kuomba mwenye kufungua ni Mungu akikukubali safi akikutosa safi pia mapenzi yake yametimizwa. Yesu alikaa na makahaba,na wenye dhambi wala sio kosa mi kuwemo humu. Namtafuta kondoo mmoja tu
Mauti hiyo ni kwa kila kiumbe kilicho hai acha ufala we mzee
 
Huuu huu mkuu maana Yesu alikuja kwa wadhambi wala sio kwa wenye haki. Hivo kaa kwa kutulia. Shetan pisha mbele Yangu
Kwa hiyo ujio wako humu ni Kama wa yesu ....? Basi ngoja tukuandalie viboko tukutwange Kama Yesu alivyo fanywa ilituamini Kama kweli umetumwa kuokoa
 
Shoga mwingine huyu hapa
Hakuna jipya Mkuu! Ushoga ulikuwepo tanguuu!. na upo mpaka sasa, na utakuwepo mpaka mwisho wa Dunia km unautamani nikuunganishe njoo in box!...uliujuaje km hujaonjwa na kutelekezwa?? pole yako!!

Hizi ni hasira hizi hasa za kukosa mvuto wa tako! majamaa yaka ku-dump!! hakuna namna tulia dawa ikuungie...kifupi soko/tako bin flat hapo akutake nani kiukweli?..... huna unaanza kulaumu laumu tyuuu! na kijicho juu!

na bado utalia sana dogo! au waone wachina wakusaidie Mkuu bure Mkuu baba! lkn sharti lazima waonje kwanza au.....
 
Back
Top Bottom