Kwa sababu wanaamini Mungu wakati Mungu hayupo.Kama kinavyosema kichwa cha habari hili ni swali ambalo watu wengi wamekua wakijiuliza kwanini walokole wengi sio wote hali zao za kipato sio nzuri japokua kwenye biblia wameahidiwa baraka nyingi sana na Mungu na huku watu wanaoishi maisha yasiyompendeza Mungu wanamaisha mazuri na familia zao zinaishi vizuri
Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate
Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana
Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea
Baraka yeyote ya ki-Mungu lazima iambatane na uchungu mkali sana mwanzoni
Mungu alimwambia eva utazaa kwa uchungu na akamwambia adamu utakula kwa uchungu; ukiangalia keyword hapo ni uchungu
Baraka yeyote kwa asilimia 99 lazima itaambatana kwa uchungu mwanzoni ndo uipate ni baraka chache sana zinaambatana na furaha mwanzoni
Unapokutana na changamoto yeyote usikimbilie kuitoa bali muombe Mungu iwe irrelevant (tafuta namna ya kuishi nayo) na baada ya hapa muombe tena Mungu akuonyeshe utajiri, heshima na utukufu wa Mungu uliopo ndani ya hiyo changamoto
Kosa kubwa sana wanalofanya watu ni kutumia nguvu kubwa kuondoa changamoto zinazowakabili jambo la wewe kufahamu changamoto yeyote ndani yake kuna utajiri, heshima na tukufu wa Mungu
Sasa unapokimbilia kuiondoa changamoto inayokukubali unapoteza hivyo vitu vitatu utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Ndo maana unaweza omba Mungu hitaji flani akakuletea changamoto au tatizo kumbe pasipokujua ndani ya hilo tatizo au changamoto kuna utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Kila mtu ana uhuru wa kuamini anachoaminiKwa sababu wanaamini Mungu wakati Mungu hayupo.
Pia, wanaambiwa hawawezi kumtumikia Mungu na pesa, hivyo wakiamua kumtumikia Mungu wanaacha kufutilia sana mambo ya pesa.
Kabisa mkuu hawataki ya dunia wanasubiria mji mpya wa milele , wataachaje kuwa mafukara.Mimi nasema walokole wengi ni walokole kwasababu ni maskini. Ulokole ndo unakua njia ya kukabiliana na changamoto za maisha....
Sio kwamba anaamin hakuna mungu ,ni kweli hayupo kama yupo toa ushahidi , kwanza kama kwel angekuwepo kusingekua na hata huu mjadala.Kila mtu ana uhuru wa kuamini anachoamini
Kwako wewe Hunaamini hakuna Mungu una-uhuru huo
Sisi wengine tunaamini Mungu yupo kwa sababu tunatumia uhuru wetu
Sawa Mtumishi,ngoja tuendelee kujitafutaKama kinavyosema kichwa cha habari hili ni swali ambalo watu wengi wamekua wakijiuliza kwanini walokole wengi sio wote hali zao za kipato sio nzuri japokua kwenye biblia wameahidiwa baraka nyingi sana na Mungu na huku watu wanaoishi maisha yasiyompendeza Mungu wanamaisha mazuri na familia zao zinaishi vizuri
Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate
Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana
Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea
Baraka yeyote ya ki-Mungu lazima iambatane na uchungu mkali sana mwanzoni
Mungu alimwambia eva utazaa kwa uchungu na akamwambia adamu utakula kwa uchungu; ukiangalia keyword hapo ni uchungu
Baraka yeyote kwa asilimia 99 lazima itaambatana kwa uchungu mwanzoni ndo uipate ni baraka chache sana zinaambatana na furaha mwanzoni
Unapokutana na changamoto yeyote usikimbilie kuitoa bali muombe Mungu iwe irrelevant (tafuta namna ya kuishi nayo) na baada ya hapa muombe tena Mungu akuonyeshe utajiri, heshima na utukufu wa Mungu uliopo ndani ya hiyo changamoto
Kosa kubwa sana wanalofanya watu ni kutumia nguvu kubwa kuondoa changamoto zinazowakabili jambo la wewe kufahamu changamoto yeyote ndani yake kuna utajiri, heshima na tukufu wa Mungu
Sasa unapokimbilia kuiondoa changamoto inayokukubali unapoteza hivyo vitu vitatu utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Ndo maana unaweza omba Mungu hitaji flani akakuletea changamoto au tatizo kumbe pasipokujua ndani ya hilo tatizo au changamoto kuna utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Na changamoto unayoiweza kuihimili hio sio changamoto
Kwako ni changamoto mpaka pale wewe binafsi imekushinda hio ndo changamoto ninayoongolea
Kuamini una uhuru wa kuamini unachotaka.Kila mtu ana uhuru wa kuamini anachoamini
Kwako wewe Hunaamini hakuna Mungu una-uhuru huo
Sisi wengine tunaamini Mungu yupo kwa sababu tunatumia uhuru wetu
Mfano nachoamini ni uongo wewe kwanini unatesekaKuamini una uhuru wa kuamini unachotaka.
Unaruhusiwa kuamininkwamba ukipanda juu ghorofa ya kumi, ukajirusha, hutaumia na utapaa na kuruka kama ndege.
Lakini, ukiamini hilo, hiyo imaninyako haifanyi hicho unachoamini kiwe kweli.
Kwa hivyo, imani tu haina maana, kwa sababu unaweza kuamini hata uongo.
Jambo muhimu ni hili.
Unajuaje unachoamini ninukweli na si uongo?
Hapa mimi nipo interested na ukweli, si imani tu.
Kama uko interested na imani tu, imani ni jambo la binafsi, wala huhitaji kujadiliana na mtu hapa JF kuhusu imani yako.
Ni imani yako, ni haki yako ya kikatiba, ni haki yako ya kibinadamu, unajadiliana na mtu kuhusu imani yako ili iweje?
Ila, ukiwa unatafuta ukweli, hapo tunaweza kujadiliana ili kuhakiki ukweli uko wapi.
Huchoki tu? Huna hoja nyingine tofauti na hiyo? Tangu umeanza kuandika hayo ya kumkataa Mungu umefaidika na nini?Kwa sababu wanaamini Mungu wakati Mungu hayupo.
Pia, wanaambiwa hawawezi kumtumikia Mungu na pesa, hivyo wakiamua kumtumikia Mungu wanaacha kufutilia sana mambo ya pesa.
Umemjibu vizuri kabisa bwege huyoMfano nachoamini ni uongo wewe kwanini unateseka
Yaani kwanini unaumia au kukereka kwa maisha ya mtu aliyechagua na hayana kero yeyote kwako
Mimi kuamini kuna Mungu hakukupunguzii au kukuongezea chochote kwenye maisha yako
Siwezi poteza mda kubishana na mtu masuala ya Mungu kuwepo au kutokuwepo sina huo mda wa kupoteza
Uzi huu hauzungumzii kuwepo au kutokuwepo kwa MunguSio kwamba anaamin hakuna mungu ,ni kweli hayupo kama yupo toa ushahidi , kwanza kama kwel angekuwepo kusingekua na hata huu mjadala.
Kwanza kabisa, sijateseka chochote wewe kuamini uongo.Mfano nachoamini ni uongo wewe kwanini unateseka
Yaani kwanini unaumia au kukereka kwa maisha ya mtu aliyechagua na hayana kero yeyote kwako
Mimi kuamini kuna Mungu hakukupunguzii au kukuongezea chochote kwenye maisha yako
Siwezi poteza mda kubishana na mtu masuala ya Mungu kuwepo au kutokuwepo sina huo mda wa kupoteza
Ni njia moja wapo ya kujifariji.Mimi nasema walokole wengi ni walokole kwasababu ni maskini. Ulokole ndo unakua njia ya kukabiliana na changamoto za maisha....
Kuomba pekee hakuta kupa mali unazotaka fanya kazi. Biblia imesema ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata. Bisheni nanyi mtafunguliwa. Mwingine asie fanya kazi na asile. Fanya kazi hakuna muujiza wa kuuokota helaKama kinavyosema kichwa cha habari hili ni swali ambalo watu wengi wamekua wakijiuliza kwanini walokole wengi sio wote hali zao za kipato sio nzuri japokua kwenye biblia wameahidiwa baraka nyingi sana na Mungu na huku watu wanaoishi maisha yasiyompendeza Mungu wanamaisha mazuri na familia zao zinaishi vizuri
Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate
Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana
Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea
Baraka yeyote ya ki-Mungu lazima iambatane na uchungu mkali sana mwanzoni
Mungu alimwambia eva utazaa kwa uchungu na akamwambia adamu utakula kwa uchungu; ukiangalia keyword hapo ni uchungu
Baraka yeyote kwa asilimia 99 lazima itaambatana kwa uchungu mwanzoni ndo uipate ni baraka chache sana zinaambatana na furaha mwanzoni
Unapokutana na changamoto yeyote usikimbilie kuitoa bali muombe Mungu iwe irrelevant (tafuta namna ya kuishi nayo) na baada ya hapa muombe tena Mungu akuonyeshe utajiri, heshima na utukufu wa Mungu uliopo ndani ya hiyo changamoto
Kosa kubwa sana wanalofanya watu ni kutumia nguvu kubwa kuondoa changamoto zinazowakabili jambo la wewe kufahamu changamoto yeyote ndani yake kuna utajiri, heshima na tukufu wa Mungu
Sasa unapokimbilia kuiondoa changamoto inayokukubali unapoteza hivyo vitu vitatu utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Ndo maana unaweza omba Mungu hitaji flani akakuletea changamoto au tatizo kumbe pasipokujua ndani ya hilo tatizo au changamoto kuna utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Na changamoto unayoiweza kuihimili hio sio changamoto
Kwako ni changamoto mpaka pale wewe binafsi imekushinda hio ndo changamoto ninayoongolea
Je Makasisi na wale wengine wa madhabahuni wanapambana wapi?Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate
Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana
Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea
ForeignerHasiefanya Kazi na hasile .
Waulize walipitia mangapi mpaka wakawa makasisi, hilo 1, la pili usifikiri wale hawakutani na changamoto zozote!! Wana matatizo pengine makubwa kuliko hata yako ila hawayapi kipaumbele hayo matatizo kuzidi MunguJe Makasisi na wale wengine wa madhabahuni wanapambana wapi?