Uliolewa/ulioa ukiwa na miaka mingapi?

Uliolewa/ulioa ukiwa na miaka mingapi?

nimeoa nikiwa 28, mtoto tulipata nikuwa 23
Mkuu naomba dondoo kidogo isee kipi kilifata baada ya mchumba wako kupata mimba? Na kwa nn ilikuchukua miaka 5 baada ya kupata mtoto had kuoa? Je upande wa mchumba wako walkuwa na msimamo gan kabla ya kumuoa binti yao? Ktk huo muda kabla ya kuoa mlkaa pamoja na mchumba wako? Vip vitu kama mahali na utambulisho? Mwisho ww ni Mkristo, Mwislam au Imani gan?...samahan mkuu kwa maswali mengi ila majibu yako yatanifaa sana
 
Mie nilipanga nitakapofika 26/27 nijitahidi nivute jiko, Mungu anasaidie wakati ukifika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom