Uliolewa/ulioa ukiwa na miaka mingapi?

Uliolewa/ulioa ukiwa na miaka mingapi?

Nilivyoona waloolewa na 30yrs nikasema kumbe muda upo kidogo miaka michache hii naweza kukutana na my mr right mara ukaja wewe na 25yrs yako ukanifanya nijione nishachelewa

hahhaa yaan ktk watu amabao hawajawah kuwaza kuolewa ni m jaman!nilikua bata gelo hatari !msukuma yule ndo katoka shy akawa anataman hatari !shoga kula ujana !olewa atleast na 28 !au ht 30 !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom