Uliolewa/ulioa ukiwa na miaka mingapi?

Uliolewa/ulioa ukiwa na miaka mingapi?

aweza olewa mwenzio akiwa na 25 wewe ukaolewa 35 ila ya kwako ikadumu mpaka kuzikana wakati ya mwenzio ikaishiwa pumzi njiani
Hiyo kweli ukiwakuta waliowahi mpaka mapengo jamani, kuna dada kaolewa na 39yrs tena kanisani na ana mtoto alimpa alimkimbia sasa,kapata wake unazani huyo atachezea ndoa?
 
Hiyo kweli ukiwakuta waliowahi mpaka mapengo jamani, kuna dada kaolewa na 39yrs tena kanisani na ana mtoto alimpa alimkimbia sasa,kapata wake unazani huyo atachezea ndoa?
hahaha huyo hawezi aisee..
kashakomaa akili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom