Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,736
Tuma tuu🙂🙂🙂
application inanihusu
nasubiri maelekezo na vigezo vya usajiliTuma tuu
hapana shida mkuushda nn
unaona!Nina rafiki aliolewa wakati tuko chuo akiwa na 23yrs. Ndoa ilidumu kwa miaka miwili tu.
😀😀😀😀23yrs kitu ndani ya nyumba, mwaka mmoja baadaye chaliii!! nikavuta miaka miwili nikaweka ndani kitu kingine mpaka kesho naendelea kupambana na hali yangu.
Ni kwasababu watu wengi wanahofu ya kuingia kwenye ndoa....Halafu hili swali mbona linaulizwa sana humu?
23yrs kitu ndani ya nyumba, mwaka mmoja baadaye chaliii!! nikavuta miaka miwili nikaweka ndani kitu kingine mpaka kesho naendelea kupambana na hali yangu.
Mapenzi ya hivyo raha sana.unaona!
kuna jamaa tulisoma wote sekondari mi nikiwa form nyoya yeye akiwa 4...alikuwa na manzi yake darasa moja.
walikuwa wana date tangu enzi za kibabababa mpaka wakamaliza na vyuo wakaja kuoana! mpaka leo wangali pamoja. fun fact;wote walikuwa each others first...so wametoana na sealed wenyewe na mpaka leo wanadunda
..kwa hiyo hongera imabounce..Yeah niliwahi kiasi.
Hatupo pamoja tena.
Wote tulikuwa na umri sawa.
we tayari ama?Ndio unafanya sensa ya walio kwenye ndoa ama?
kiaje? kwaniniWala sijaufaidi kabisaaa
Unataka tu kumsingizia mhutu ili usimuoe dada wa watu. Kwahiyo mhutu asipoondoka huoi?






mimi bado mkuuWewe mbona hujasema?
Nilivyoona waloolewa na 30yrs nikasema kumbe muda upo kidogo miaka michache hii naweza kukutana na my mr right mara ukaja wewe na 25yrs yako ukanifanya nijione nishachelewa![]()




35 mwanamke au mwanaume?Kweli. Wengine 35yrs.