Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,076
- 136,497
Hiyo haikuwa sababu ya kuachana, ujinga na tamaa zenu ndo zimewamaliza
Nimesema ilikuwa sababu?
Hujui kilichosababisha hivyo funga tobo lako!
Hiyo haikuwa sababu ya kuachana, ujinga na tamaa zenu ndo zimewamaliza
Kilichoshababisha ni:Nimesema ilikuwa sababu?
Hujui kilichosababisha hivyo funga tobo lako!
Na kwa nini mhutu asiondoke. Nitasaidiana na wifi yako kumuondoa.Unataka tu kumsingizia mhutu ili usimuoe dada wa watu. Kwahiyo mhutu asipoondoka huoi?
Kilichoshababisha ni:
1.tamaa(Mali na ngono)
2.kiburi(kila mmoja ni kichwa)
Unabisha?
How love is overrated?
Hili ni swali la kiboya sana kuuliza wanaume wenzako?!
Ustadhijuma NAMUSOOOOMAustadhi hili mbona kama tango pori
Ulioa ukiwa mdogo sana ndiyo maana unahanja na hata bibi zakoNilioa nikiwa na miaka 24!
Kawaida hiyoYeah niliwahi kiasi.
Hatupo pamoja tena.
Wote tulikuwa na umri sawa.
Kumbe na wewe ndo maana unahanja sana JFNilioa nikiwa 26
Ndio mm...ulidhani unahanja peke yako tu?Kumbe na wewe ndo maana unahanja sana JF
tuombe pamojaHONGERENI MLIO OA NA KUOLEWA.
TUOMBEENI NASI TUWAPATE UBAVU SAHIHI WA NDOA.
-marriage more than collateral pledge for the rest of lives under someone control.
Imebaki mingap?Nikifika 35 ntaoa
We imebaki mingapiImebaki mingap?
