Uliolewa/ulioa ukiwa na miaka mingapi?

Uliolewa/ulioa ukiwa na miaka mingapi?

nimeishi na wanawake tofaut kwa miaka kumi na saba tunazini tuu, nazalisha kama mazoezi ya kuingia ktk ndoa, na baada ya kuingia nimegundua sijajifunza chochote bora huo muda ningekuwa nabet tu
 
Unaweza ukawahi kuoa/kuolewa lakini ukachelewa kupata watoto au usipate kabisa
 
Mkuu love ni feeling,na feeling inaletwa na sababu,hiyo sababu ikiyumba na love inapotea...

Mahali popote penye sababu hua ni temporary tu...


Love ni feeling very misleading maana ni very temporary...Mfano mdogo tu,dem uliokua unawapenda sana ukiwa primary au sekondari leo u will wonder how did that happen.

Nadhani ndoa iwe ni union kati ya two plutonic friendz waliokubaliana kukaa pamoja tu na love iwe ni extra product hata ikipotea haina noma,watu mnakua mechanically!

Love ni misleading.I dont trust that feeling,it is a lie..your body is lying to u
SAWA BOSS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom