Ulikutana na kituko gani ugenini

Ulikutana na kituko gani ugenini

Tulipokelewa tukawekewa maji bafuni, nikaogea kopo la njano.....nilivorudi ndani nikawekewa mbege kwenye kopo la njano, nikajua yanafanana.

Asubuhi baada ya chai tunataka kumiminiwa tena mbege nikasikia "yesuuu huyu josefu kaacha kikombe bafuni" kikafatwa aaaah qmmmmm.

Sirudii tena kunywa mbege kwenye makopo nitaomba glass

min -me huko kwenu sio
Umezamia mitumbwi ya vibwengo bwashee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umezamia mitumbwi ya vibwengo bwashee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yani baada ya hiyo kauli tulibaki tunaangaliana na sista daaah!!!! Kumbe tumenywea kopo la toi

images (20).jpeg


Hicho cha njano hicho sitakisahau 🙌
 
Umenikumbusha mbali sana ,nilikua na safari mkoa X ya ghafla ikabidi nikalale kwao jamaa yangu anaeishi huko ila hakua kwao alisafiri akaniambia nisiwe na wasiwasi niende tu eee bwana eee ile asubuhi naamka si nikasikia baba mtu kapigwa Kofi Kwa kutokumalizia bao la pili kwenye tendo
Ahahha ulikuwa makini kuwafwatilia sana
 
Nimeche
Tulipokelewa tukawekewa maji bafuni, nikaogea kopo la njano.....nilivorudi ndani nikawekewa mbege kwenye kopo la njano, nikajua yanafanana.

Asubuhi baada ya chai tunataka kumiminiwa tena mbege nikasikia "yesuuu huyu josefu kaacha kikombe bafuni" kikafatwa aaaah qmmmmm.

Sirudii tena kunywa mbege kwenye makopo nitaomba glass

min -me huko kwenu sio
ka sana asee ahahahha
 
Baba mdogo ana nyumba dar,ila anakaa kaka yake na familia yake kwenye hiyo nyumba,yeye yuko mkoani kikazi,akija dar anafikia kwenye nyumba yake ila analala chumba cha kawaida,siku nafika hapo naye alifika ,kutokana na uhaba wa vyumba ikabidi niminye room moja na dingi mdogo,usiku sikulala dingi mdogo amezoea kulala bila kuzima taa, anadai akizima taa mbu zinang'ata mbo,pili usiku kucha ilikuwa ni kujamba na kukoroma kwa sauti ya juu,nilijuta mno siku ile
Ningemuwasha kofi 😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom