Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,786
- Thread starter
- #21
Ulipaka mafuta ya samaki nini baada ya kuoga nini?kung'atwa na panya usiku
Ulipaka mafuta ya samaki nini baada ya kuoga nini?kung'atwa na panya usiku
Ila uliona aibu 😂sikuongea,walimrekebisha wazazi wake
Kabisa nipo makini na iloMtoto na unafiki ni vitu viwili tofauti kabisa. Kama umepanga kumsinitch mtu kasnitchie hukooooo, sio mbele ya mtoto.
aibu hapana, ila sikupenda mimiIla uliona aibu 😂
Hapo ata kumfokea ngumuaibu hapana, ila sikupenda mimi
hapana mkuu siku hiyo niliteseka sana aseeUlipaka mafuta ya samaki nini baada ya kuoga nini?
Pole sanahapana mkuu siku hiyo niliteseka sana asee
Wewe ungebaki mkuuAhaha ukabaki?

yaani,,,ila alikuja kuniheshimu baadaeHapo ata kumfokea ngumu
🤣🤣Kigeto geto nilienda kwa msela wangu nikakuta anajifunika shuka la MSD
Hahaha 😂 😂Kigeto geto nilienda kwa msela wangu nikakuta anajifunika shuka la MSD
Nilifika tu,kesho yake nashangaa choo kimeandikwa maandishi kwa mkaa kwamba CHOONI TUMIA MAJI MENGI,USIKOJOE BAFUNIUkiwa ugenini unatakiwa kutumia choo kwa umakini
asante sana mkuuPole sana
HahahahaNilifika tu,kesho yake nashangaa choo kimeandikwa maandishi kwa mkaa kwamba CHOONI TUMIA MAJI MENGI,USIKOJOE BAFUNI
Afu wakati huo hata chooni au bafuni nilikuwa sijaanza kupatumia
Umenikumbusha mbali sana ,nilikua na safari mkoa X ya ghafla ikabidi nikalale kwao jamaa yangu anaeishi huko ila hakua kwao alisafiri akaniambia nisiwe na wasiwasi niende tu eee bwana eee ile asubuhi naamka si nikasikia baba mtu kapigwa Kofi Kwa kutokumalizia bao la pili kwenye tendoBinadamu huwa tunatembeleana sana yaani je ni kitu gani ulikutana nacho ugenini ukabaki mdomo wazi au kucheka tu
Mimi nilikutana na maneno katika kutambulishwa kwa mtoto wake mdogo alikuwa kama ana miaka 6 hivi akalopoka tu mama huyu ndio uncle jana ulisema upendi kuongea nae kwenye simu mama akasema sio huyu kwanza toka mtoto akagoma akasema ndio yeye si ulisema anaitwa…… nikaaga mda uho uho sikurudi tena kwakee
Je wewe ni kipi ulikutana nacho au mtoto alikuumbua kwa lipi?
Hapana kabisaWewe ungebaki mkuu![]()
Inapendeza sana kama alibadirika ila kwa watu apagumu sanayaani,,,ila alikuja kuniheshimu baadae