EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,187
- 20,640
Dah niliteseka sana siku ileNingemuwasha kofi 😂😂
Dah niliteseka sana siku ileNingemuwasha kofi 😂😂
Teyar shida iyoooYa kupanga ila wapangaji wawili na msimamiz wa nyumba ila ni mbibi na wajukuu zake
Nini kilitokeaUkiwa ugenini unatakiwa kutumia choo kwa umakini
Msituwekee sasa "vyasaka" pombe zenu kwenye makopo ya kuogea sio poa.....Wachaga mbingu yetu lazima iwe na pombe ya kutosha bila hivyo tumepigwa bro🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah sipendi kukumbatiwa aseLitoto fulani lilinikimbilia kunikumbatia chini na kuvuta suruali kidogo ianguke
Nikajikaza kuishkilia 😑
Usiku hunakua mfupi sanakujikojolea
Nachukia ase mtu wa ivyooDah niliteseka sana siku ile
Niombee code za kukaa uchagani kijanja bro🤣Msituwekee sasa "vyasaka" pombe zenu kwenye makopo ya kuogea sio poa.....
Alf unamkata jichoBaba mdogo ana nyumba dar,ila anakaa kaka yake na familia yake kwenye hiyo nyumba,yeye yuko mkoani kikazi,akija dar anafikia kwenye nyumba yake ila analala chumba cha kawaida,siku nafika hapo naye alifika ,kutokana na uhaba wa vyumba ikabidi niminye room moja na dingi mdogo,usiku sikulala dingi mdogo amezoea kulala bila kuzima taa, anadai akizima taa mbu zinang'ata mbo,pili usiku kucha ilikuwa ni kujamba na kukoroma kwa sauti ya juu,nilijuta mno siku ile
Unaona eh inakeraDah sipendi kukumbatiwa ase
Hao sio wajuziNiliendaga sehemu kwa rafiki zangu tukaletewa maziwa mgando aisee kwanza yalikuwa kama maji wameoshea mikono watu wengi halafu vibonge vibonge vya maziwa kwa mbali na maji mengii.Ili wasinione najifanya wa kishua nikabonda kikombe cha kwanza ,sijatulia cha pili hiki hapa nikakataa ila nilichopenda kulikuwa na mguu wa ng'ombe umebanikwa pale watu wachache tafuna sana minofu na mingine tukapewa turudi nayo town
.Toka siku hiyo mimi na maziwa mbalimbali.
Halafu ni.mtu mzito.tu wizaraniAlf unamkata jicho
Maana usingizi hauji
Kuna uyo mama tulienda kuchukua mbolea kumbe mbwa hawajafungia eh ile kuingia mbwa huyu hapa miguuni af mwenyewe anatuangalia tuKukimbizwa na Mbwa 🏃♂️🐕
Hadi leo naenda kwa mashaka
Mmesha anza sasaHalafu ni.mtu mzito.tu wizarani
Nini tena mwambaMmesha anza sasa
Watu waziti ninyNini tena mwamba
Haha mjambaji ni kibosile huko wizara ile ya 💰 nilijisemea haya mambo hayana ukuuWatu waziti niny