Ulikutana na kituko gani ugenini

Ulikutana na kituko gani ugenini

Nilipigwa na baridi la kufa mtu jioni baada ya kuoga. siku iliyofuata nikawaambia wenyeji wangu leo sitaki kuoga jioni, wakacheka kwa pamoja na kusema tulijuwa tu.

kumbe wenyewe wanaoga mapema mida ya saa 9-10, usiku wanatawadha wanalala.
Hapa nimetoka kapa
 
Basi buana wale wapendwa wetu wanafanya kazi za night shift alafu nikabaki na beki na vitoto vidogo hata havijui kuongea vikalala basi buana tukaamza KUCHEKI movie basi buana nbeki ana kagaguro tu aiseh nikaanza misheni tow basi akagoma goma pale mzee kukakucha dah alanbaba mwenye nyumba kaingia mida flani mama mwenye nyumba bado Yuko shift si nikaona beki anaingi kwa faza house mimi Nilikiwa nimelala kiuongo na kweli Sasa alivyoingia nikatoka kama nataka kwenda nje KUCHEKI mpangonimegungwa buana kwenda chooninsimuoni beki kuchungukia kwa hayumo ebana nikarudia kujilaza mara nasikia mlangonunalia fiu kuchungukia sibeki anatoka room ya faza house wakati fazanyumo na moaza house hayupo.



Nikakonclude kumbe house girl ni chakula ya faza house lo ruhama. Ndioana kanizingua
 
Basi buana wale wapendwa wetu wanafanya kazi za night shift alafu nikabaki na beki na vitoto vidogo hata havijui kuongea vikalala basi buana tukaamza KUCHEKI movie basi buana nbeki ana kagaguro tu aiseh nikaanza misheni tow basi akagoma goma pale mzee kukakucha dah alanbaba mwenye nyumba kaingia mida flani mama mwenye nyumba bado Yuko shift si nikaona beki anaingi kwa faza house mimi Nilikiwa nimelala kiuongo na kweli Sasa alivyoingia nikatoka kama nataka kwenda nje KUCHEKI mpangonimegungwa buana kwenda chooninsimuoni beki kuchungukia kwa hayumo ebana nikarudia kujilaza mara nasikia mlangonunalia fiu kuchungukia sibeki anatoka room ya faza house wakati fazanyumo na moaza house hayupo.



Nikakonclude kumbe house girl ni chakula ya faza house lo ruhama. Ndioana kanizingua
Ulitaka kudokoa chakula ya baba?🤣🤣
 
Nilienda ugenini ile nyumba ni kubwa sasa usiku umeme ukakatika, nikainuka kwenda toilet kukojoa Nika changanya milango ni kaingia jikoni kusukuma
mlango masufuria yakaanguka na fagio likamwaga sufuria ya mboga aiseeee ilikuwa aibu sana
 
Nilienda na rafiki yangu kwao huko unyaturuni(Ilongero). Imefika time ya chakula nikaona Maza anatutengea chakula nilichukulia kawaida,tumemaliza kula heeeee nashangaa mwamba anamuita mama yake aje kutoa vyombo. Nilistaajabu.
Baadaye nikamuuliza kaka vipi mbona ulimuita mama aje kutoa vyombo wakati wewe ulikuwa na uwezo wa kuvitoa!!? Akanijibu kuwa Kwa tamaduni zao mwanaume hatakiwj kabisa kujihusisha na shughuli za kike.
Nilishangaa sana wakati Mimi kwetu ilikuwa napika chakula Cha familia.
Kile kitendo Cha mwamba kumuita mama yake atoe vyombo nilishangaa sana na niliona ni kituko.
 
Nilienda kutembea kwenye familia moja kikaletwa chakula, sahani ya ugali na ya mboga (nakumbuka ilikuwa nyama ya mchuzi) tupo wanne mezani tunakula mdogo mdogo tulipofika nusu ya Sahani ya mboga mwamba (ambaye n mwenyeji wetu) akachukua sahani akanywa mchuzi nusu eti anapunguza ili nyama zionekane 😁😁😁 akarudiaha mezani tukaendelea.
 
Dingi mdogo aliyekuwa anajamba na kukoroma kwenye usiku ule wa simanzi kwangu ni kibosile kwenye wizara ile ya 💰,alipokuwa akifanya mambo yake hayo nikawa nawaza kwamba kuna mambo hayana ukibosile kama.hayo ya kujamba na kukoroma usiku,hapo unenielewa?
Ahahah duh kumbe watu mna ndugu wazito ivyoo hongera zako
 
Wakati fulani nikiwa na miaka kama 14 hivi tulihama kutoka mkoa tuliokuepo tukahamia Mwanza, sasa tulivyofika tukapanga, wapangaji tulikua sisi tu na mwenye nyumba, Kuna mambo yalinishangaza sana nilipokua pale.

1.walikua hawaoshi nyama, yaani ikitoka buchani inakatwa inawekwa maji inapikwa( wamasema ikioshwa inaisha utamu.

2.Hawachemshi maji ya kunywa wanasema wakichemsha wataumwa tumbo ( whaaat!!!)

3.Sabuni ya kuogea hiyo hiyo wanaoshea vyombo yaani mtu yupo bafuni utasikia "weee fulani oga haraka ulete sabuni tuoshe vyombo"🤮

4.Yule mama alijifungua sasa, kwa madai yake nepi za mtoto zinatakiwa zichemshwe ndo zinatakata vizuri kwa hiyo nepi zenye pupu ya mtoto zinatolewa tu pupu, zinapitishwa kwenye maji halafu zinawekwa kwenye sufuria na sabuni ya unga zinachemshwa halafu ndo zifuliwe sasa, hilo sufuria ndo baadae usiku wanapikia wali😆.
Nakumbuka tulikaaga pale mwaka mzima sikuwahi kunywa hata maji kwenye ile nyumba yaani ile hygiene yao ilikua inanipa kinyaa.Halafu wenyewe walikua wanaona sawa tu.

Halafu walikua watu tu wa maana na nyumba kali sema kuna vitu tu walikua hawajui nadhani.
NB: hawakua wasukuma
 
Nilienda ugenini ile nyumba ni kubwa sasa usiku umeme ukakatika, nikainuka kwenda toilet kukojoa Nika changanya milango ni kaingia jikoni kusukuma
mlango masufuria yakaanguka na fagio likamwaga sufuria ya mboga aiseeee ilikuwa aibu sana
Sasa na wew hukua na tochi 😂😂 hata harufu
 
Dar watu wanakula chakula kidogo sana, msosi unatengwa kwenye poti mezani unakaribishwa "mgeni we endelea tu si tutakula baadae". Kufungua poti msosi huu hata mtu mmoja hashibi. Halafu ni familia yenye uwezo mkubwa tu wanapika chakula kichoyo sana.
 
Nilienda kutembea kwenye familia moja kikaletwa chakula, sahani ya ugali na ya mboga (nakumbuka ilikuwa nyama ya mchuzi) tupo wanne mezani tunakula mdogo mdogo tulipofika nusu ya Sahani ya mboga mwamba (ambaye n mwenyeji wetu) akachukua sahani akanywa mchuzi nusu eti anapunguza ili nyama zionekane 😁😁😁 akarudiaha mezani tukaendelea.
Uyo bwana mshafu sana jau sana uyoo
 
Wakati fulani nikiwa na miaka kama 14 hivi tulihama kutoka mkoa tuliokuepo tukahamia Mwanza, sasa tulivyofika tukapanga, wapangaji tulikua sisi tu na mwenye nyumba, Kuna mambo yalinishangaza sana nilipokua pale.

1.walikua hawaoshi nyama, yaani ikitoka buchani inakatwa inawekwa maji inapikwa( wamasema ikioshwa inaisha utamu.

2.Hawachemshi maji ya kunywa wanasema wakichemsha wataumwa tumbo ( whaaat!!!)

3.Sabuni ya kuogea hiyo hiyo wanaoshea vyombo yaani mtu yupo bafuni utasikia "weee fulani oga haraka ulete sabuni tuoshe vyombo"🤮

4.Yule mama alijifungua sasa, kwa madai yake nepi za mtoto zinatakiwa zichemshwe ndo zinatakata vizuri kwa hiyo nepi zenye pupu ya mtoto zinatolewa tu pupu, zinapitishwa kwenye maji halafu zinawekwa kwenye sufuria na sabuni ya unga zinachemshwa halafu ndo zifuliwe sasa, hilo sufuria ndo baadae usiku wanapikia wali😆.
Nakumbuka tulikaaga pale mwaka mzima sikuwahi kunywa hata maji kwenye ile nyumba yaani ile hygiene yao ilikua inanipa kinyaa.Halafu wenyewe walikua wanaona sawa tu.

Halafu walikua watu tu wa maana na nyumba kali sema kuna vitu tu walikua hawajui nadhani.
NB: hawakua wasukuma
Ahahah uchafu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom