hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,347
- 80,220
[emoji16][emoji16]Et ita jisovu
[emoji16][emoji16]Et ita jisovu
[emoji625][emoji625][emoji419]Hicho ni kisasi maisha hayaendi hivyo
Kumbuka hata kama uliumizwa unakuja umiza mtu aliyekupenda kumfanya awe kama wewe baadaye mseme wanawake hawana maana
Kumbe umekutana na aliyetoka kuumizwa kama wewe
Hautosolve kitu kwa mtindo huo bora kuwa single kuliko kuumiza wasio na hatia
Siwezi kuwa na mtu kisa kulipa kisasi cha yaliyopita maishani mwangu nitalipiza Hadi lini na mara ngapi,
mnatengeneza dunia ya ajabu sana alafu baadae mnakuja kuwalaumu waliomo huku mmewatengeneza wenyewe
Saana[emoji16][emoji16]Ha ha ha ha ha ha ila vibinti vya kitanzania vina tabia za kikahaba sana na ndio maana milage za kuliwa na kutemwa zipo juu zaidi
Aliyeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mshenzi 😝!Naweza kupiga call ata 7 na asirespond ata akiona missed call
Muda akijisikia kupokea ukimuuliza anasema alikuwa busy na hajaona chochote
iliniwia vigumu kukubaliana na ukweli ila mwisho wa siku nilikaza Roho na kuibukia huku kwenye Uchakataji,
"MIMI NIJE KUPENDA TENA MWANAMKE LABDA NIFE NA KUFUFUKA TENA "
Mimi huwa Nina utaratibu 1 unanisaidia Sana Niko makini mnooo kulinda heshima yangu ..if nikiona Mpenzi wangu ameanza kuchange huwa naweka utaratibu wa kutokumtafuta mpaka anitafute yeye ... Akinitafuta simuonyeshi tofauti yoyote ile na respond like hakuna kitu ila baada ya convo kuisha ndio simtafuti Tena mpaka anitafute asiponitafuta ndio inakuwa ndio Basi hiyo MAPENZI yanakufa .. siwezi kumlia Lilia mtoto wa mtu kibwege neverSababu ni zile, zile tuu.
Kimya, kimya, simu hazipokelewi, text hazijibiwi.
Until you realize its over.
Hahahahah unatafuta mwengine tu baba 😂
Hii nakubali [emoji419][emoji848][emoji848]View attachment 1487179
Hii imekaa kigaidi sana 😂 inataka ukomavu katika siasa za mapenziMimi huwa Nina utaratibu 1 unanisaidia Sana Niko makini mnooo kulinda heshima yangu ..if nikiona Mpenzi wangu ameanza kuchange huwa naweka utaratibu wa kutokumtafuta mpaka anitafute yeye ... Akinitafuta simuonyeshi tofauti yoyote ile na respond like hakuna kitu ila baada ya convo kuisha ndio simtafuti Tena mpaka anitafute asiponitafuta ndio inakuwa ndio Basi hiyo MAPENZI yanakufa .. siwezi kumlia Lilia mtoto wa mtu kibwege never
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] no mercyMi niliambiwa kuwa kapata mme mwingine but nashukuru Mungu huyo mme wake mpya alihama yule dem akachakaa. Nikaanza kukumbushia mara akaja et anikope pesa nikamkopesha kisha nikamdai mbele ya mashoga zake aliaibika sana.
Baada ya kuona kuwa mabinti wadogo wanazingua niliamua sasa kutafuta wale waliozaliwa kuanzia 1997 and above na trick zangu huwa ni kutaka kuwaoa. Akiingia king lazima nmuumize tu. Sema kweli naumiza sana na hii namshukuru sana Mungu. Kwa mwaka huu nimepata wa kunililia 4. Ila mi nasema ni kisasi kwanza ndoa badayeeee
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hii mpyatulikua tunatembea sokoni, ghafla tu akapotelea kwenye umati wa watu, sijamuona tena na kumcheki kwenye simu hapatikani..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jamaa angu siyo mikwara ila mengi huwa n ukweli kabsaaa, sema huwez Amin kuhusu umri kusonga nilikuwa naingelea jamii ambayo vijana wengi wapo ktk hali hyo but Mimi n kjana shupavu tu na nilikufa na kufufuka man
Sad [emoji26] dunia inawatu makatili Sana sheeeesh!!!!!!!Duuuuuu....nikiwa chuon mjamzito was miezi nane,nyumbani familia nzima imenitenga,aliniita sehemu KUNIAMBIA hanipendi na Mimi sio chaguo lake ila kuna mtu anampenda zaidi,niliumia sababu nilitegemea yeye ndio alikuwa msaada wng lkn alonigeuka bila hata huruma,hii kitu huwa inaniumizaga sana nikikumbuka but ashukuriwe Mungu atupaye kushindana zaidi ya kushinda!!!!
Hadi ww mjuba ulikula umemeViazi sana hao mkuu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] maisha haya kmmk[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mi tuliachana baada ya kuona ananizingua tu,yeye mwenyewe alitaka passwords zangu za facebook nikampa ,na yeye akanipa zake ,sasa kwenye inbox yale ya fb kuna jamaa kila siku anatuma msg "mpenzi nimekumiss ,mara lini tuonane tena",halafu yeye hajibu,ila jamaa anatuma tu inbox.
Nikajua hapa anawasiliana na kwa simu na huyu jamaa,aisee akaanza nyodo,kujibu msg akitaka,kumbe huyo jamaa ndo anampa kiburi.
Nikafungua account mpya fb kwa jina la jamaa na picha za jamaa,halafu nikainbox ,mpenzi ile aacount yangu ya fb imehakiwa nimefungua mpya tuwasiliane kwa hii,...gafla na yeye akaja kwa account fake ambayo mi nilikuwa sijui,akajibu " mi niko poa unajua mpenzi wangu ana password ya ile account ndo maana siwezi kukujibu kule,mi nimekumiss ila jamaa asijue,lini utakuja dar nimekumiss "
Tukachat ww,mwishowe nikamwambia "Nyau wewe unachat na Viol mwenyewe kumbe ndo zako,shika 50 zako sitaki kukuona na usinitext "
Aliona sana aibu aisee hakunitafuta tena maisha yakaendelea
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Currently Naenjoy mapenzi sehemu hivi, huku nikijua kuwa muda wowote lolote linaweza kutokea [emoji114][emoji847]
[emoji16][emoji16]Mimi aliniacha kisa geto kwangu Kuna m'mbu sana alafu nilikuwa m'bishi kununua dawa..
Haya si mambo ya kurahisisha mzee, unajipigia pasi ya Upendo.Hivi mtu unaanzaje kuwa na uhusiano na mtu unaefanya nae kazi sehem moja? Au mtu unaesoma nae class moja? Matatizo mengine ni ya kıjitafutia!
Hahahahah mnakopendwa si hampataki mnataka kudate na vitunguu maji na pilipili kichaa😂Alinichana live hanitaki tena, simu hapokei wala sms hajibu,baada ya usumbufu kuzidi akanipa block[emoji19]
[emoji16][emoji16][emoji16]usipokuwa na hizo trick itakula kwako Jambo la kwanza kabisa ambalo huwa nalifanya ilkuukomoa moyo nikufuta namba zake kila sehemu ili hata nikimkumbuka nisipate chance ya kumpigia [emoji16][emoji16][emoji16]Hii imekaa kigaidi sana [emoji23] inataka ukomavu katika siasa za mapenzi
Mapenzi hayaulizi kwaniniHaya si mambo ya kurahisisha mzee, unajipigia pasi ya Upendo.