Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,357
- 2,501
Wewe ni ujinga umekujaa kichwani. Kweli sasa JF ina watoto lakini wacha magu awafungulieni shule june 29 hata corona iwaue watoto jamii yako.Mi niliambiwa kuwa kapata mme mwingine but nashukuru Mungu huyo mme wake mpya alihama yule dem akachakaa. Nikaanza kukumbushia mara akaja et anikope pesa nikamkopesha kisha nikamdai mbele ya mashoga zake aliaibika sana.
Baada ya kuona kuwa mabinti wadogo wanazingua niliamua sasa kutafuta wale waliozaliwa kuanzia 1997 and above na trick zangu huwa ni kutaka kuwaoa. Akiingia king lazima nmuumize tu. Sema kweli naumiza sana na hii namshukuru sana Mungu. Kwa mwaka huu nimepata wa kunililia 4. Ila mi nasema ni kisasi kwanza ndoa badayeeee





