Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Mimi niliona mawasiliano yanapungua kuuliza akaniambia tutakuja kuongea. Asubuhi sa 11 niliamshwa kwa kibuti.

Kinachoniuma tupo ofisi moja na ss yupo likizo akirudi sijui maisha yatakuwaje ya kazi. Kufanya kazi na ex wako afu ulimpenda inaumiza.

Hivi mtu unaanzaje kuwa na uhusiano na mtu unaefanya nae kazi sehemu moja? Au mtu unaesoma nae class moja? Matatizo mengine ni ya kıjitafutia!
 
Hivi mtu unaanzaje kuwa na uhusiano na mtu unaefanya nae kazi sehem moja? Au mtu unaesoma nae class moja? Matatizo mengine ni ya kıjitafutia!
Unaanza kama unavyoanza na usiyefanya naye kazi au kusoma class moja. Approach ni ileile ila mazingira ndio tofauti mkuu. Na mara chache utampenda mtu mnayeishi mazingira tofautitofauti (hamkutani marakwamara).
 
Pole na hongera kwa maamuzi yako mkuu
Haya mambo Mimi yamenikuta siku chache zilizopitaa kitu nilichogundua hapa nimeshaachwa ila najilazimisha kwanza

1.mawasiliano ukimtumia text inavyojibiwa
Kikawaida sio kimahaba tena kama zamani

2.mkiongea kwenye anaongea kwa hasira hasira kila saa analalamika sijui hivi Mara vile mara mwanaume wewe hivi Mara vile

3.kitu kidogo mnagombana na ugomvi wake sio wa kitoto alafu kauli zake kila saa kama umenichoka niambie, Mara sikulazimishi kuwa na mie, Mara upendo wangu kwako umepungua,

4.maji yalivyonifika shingon nikalileta hili jambo jf comments nilizoshauliwa niachane na Huyo mwanamke ameshakuchoka na ukiendelea kumfata fata utaumia zaidi

5.mwisho wa siku niliamua tuu kupotezea niendelee na maisha mengine na demu nae akanipotezea baada ya week mbili alivyogundua nimempotezea alinitext usiku wa manane Mimi na wewe basiii sikumjibu chochote hata simu zake sikuzipokeaa

6.baada ya miezi sita kupita aliniatafuta kuniomba turudiane ila alikuwa kachakaaa kinoma noma
Huyo naona alikuwa anakupenda lakini kuna mtu alimuona anafaa kuliko wewe labda kutokana na changamoto za mahusiano yenu kwa mtizamo wake akaona awe na mtu mwingine. Lakini pia huyo mtu alimjali manzi mwanzoni tu baadaye akawa anamzingua huyo manzi. Hapo ndio mwanamke akawa na stress za mapenzi hadi kukonda. Alikuwa anajua unampenda katika mahangaiko ya huku na kule akaona sehemu salama ya kumpoza roho yake ni kurudi kwako.
 
Safi sana, alichakazwa huyo
Haya mambo Mimi yamenikuta siku chache zilizopitaa kitu nilichogundua hapa nimeshaachwa ila najilazimisha kwanza

1.mawasiliano ukimtumia text inavyojibiwa
Kikawaida sio kimahaba tena kama zamani

2.mkiongea kwenye anaongea kwa hasira hasira kila saa analalamika sijui hivi Mara vile mara mwanaume wewe hivi Mara vile

3.kitu kidogo mnagombana na ugomvi wake sio wa kitoto alafu kauli zake kila saa kama umenichoka niambie, Mara sikulazimishi kuwa na mie, Mara upendo wangu kwako umepungua,

4.maji yalivyonifika shingon nikalileta hili jambo jf comments nilizoshauliwa niachane na Huyo mwanamke ameshakuchoka na ukiendelea kumfata fata utaumia zaidi

5.mwisho wa siku niliamua tuu kupotezea niendelee na maisha mengine na demu nae akanipotezea baada ya week mbili alivyogundua nimempotezea alinitext usiku wa manane Mimi na wewe basiii sikumjibu chochote hata simu zake sikuzipokeaa

6.baada ya miezi sita kupita aliniatafuta kuniomba turudiane ila alikuwa kachakaaa kinoma noma
 
Haya mambo Mimi yamenikuta siku chache zilizopitaa kitu nilichogundua hapa nimeshaachwa ila najilazimisha kwanza

1.mawasiliano ukimtumia text inavyojibiwa
Kikawaida sio kimahaba tena kama zamani

2.mkiongea kwenye anaongea kwa hasira hasira kila saa analalamika sijui hivi Mara vile mara mwanaume wewe hivi Mara vile

3.kitu kidogo mnagombana na ugomvi wake sio wa kitoto alafu kauli zake kila saa kama umenichoka niambie, Mara sikulazimishi kuwa na mie, Mara upendo wangu kwako umepungua,

4.maji yalivyonifika shingon nikalileta hili jambo jf comments nilizoshauliwa niachane na Huyo mwanamke ameshakuchoka na ukiendelea kumfata fata utaumia zaidi

5.mwisho wa siku niliamua tuu kupotezea niendelee na maisha mengine na demu nae akanipotezea baada ya week mbili alivyogundua nimempotezea alinitext usiku wa manane Mimi na wewe basiii sikumjibu chochote hata simu zake sikuzipokeaa

6.baada ya miezi sita kupita aliniatafuta kuniomba turudiane ila alikuwa kachakaaa kinoma noma
1, 2 na 3 kama mimi tu.
 
Naweza kupiga call ata 7 na asirespond ata akiona missed call
Muda akijisikia kupokea ukimuuliza anasema alikuwa busy na hajaona chochote

iliniwia vigumu kukubaliana na ukweli ila mwisho wa siku nilikaza Roho na kuibukia huku kwenye Uchakataji,

"MIMI NIJE KUPENDA TENA MWANAMKE LABDA NIFE NA KUFUFUKA TENA "
0iq
 
Aliamua kuwa kimya ghafla, ukimtafuta na kumuuliza shida nini, anasema hamna shida, nikiuliza mbona kimya anajibu itajisolve, nisipomtafuta hanitafuti, I was ghosted, after like 3 years nikaona anaolewa.
Nilichakaa
Daah!! Mkuu pole sana .

Au ulikuwa unapiga bao moja unadondoka uvunguni umechoka .. ?? Akaamua kukutema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom