financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,367
Alijuta😀😀 na madole yake ila kuna wadada wana wanachunguza😀🙌mzee wa chura alikutana na msukuma aliyechangamka. Lol
Alijuta😀😀 na madole yake ila kuna wadada wana wanachunguza😀🙌mzee wa chura alikutana na msukuma aliyechangamka. Lol
Mungu alijibuje? Ulijuaje huyo ndiye chaguo la Mungu tupe msaada tunaotanga tangaNdiyo
Na yeye ndiyo aliniambia nikitaka kuoa nimshirikishe Mungu nikafanya hivo
Alijutana madole yake ila kuna wadada wana wanachunguza
![]()






kuna wadada wanachunguza FBI yenyewe inajifunza ktoka kwao, 

ila mimi mbona inajulikana kuhusu hiyo chura ya uingereza
,wewe ndiyo tulikua hatujui kumbe una madole mabayaa
![]()





sasa mkuu hadi baada ya miaka mi3 ndo ukaja shitukia anaolewa inamaana hapo katikati mmeishijeAliamua kuwa kimya ghafla, ukimtafuta na kumuuliza shida nini, anasema hamna shida, nikiuliza mbona kimya anajibu itajisolve, nisipomtafuta hanitafuti, I was ghosted, after like 3 years nikaona anaolewa.
Nilichakaa
Hiyo ndio dawaKwa sasa hata mimi ndo naitumia hii
Akinicheck nampa ushirikiano ila tukimaliza mazungumzo ndo imetoka akikaa asubiri ntamtafuta ni kama Man united kuamini itabeba EPL,
Siwezi nyenyekea pimbi inayonichukulia mjomba wake saivi


kwanza Mimi sijui nikoje .. nikimuambia mtu tuachane au nikimfanyia unyama katika mahusiano baada ya muda Yale Maumivu huwa yanarudi kwangu ..so njia Bora ya kuachana na mwenzangu' ili mimi nisiumie huwa nina amua kupiga kimya tu siongei chochote ila napunguza mawasiliano taratibu mpaka muhusika anazoea anagundua hapa nimeachwaUsiku tuliongea vizuri tu (tulikuwa mbalimbali kwa miezi kadhaa kwa sababu nilikuwa chuo)
Kesho yake ananiambia ameenda kupima na amekutwa na mimba so tuachane. Siku hiyo nilivurugwa balaa, yaani huko chuo nilikuwa nawajibu watu hovyo kutokana na hasira za kugongewa na kuachwa.
Ila jioni nikakaa nikatafakari, nikaona niache kuwa fala. Nikanywa maji meeengi kisha nikaanza kucheza game la Euro Truck hadi night kali.


umegongewa mpaka kabeba mimba halafu anakujuza Aisee 

😀 😀 😀 😀umegongewa mpaka kabeba mimba halafu anakujuza Aisee
![]()
Hapana inategemea na situation yenyewe hata wanaume huwa tunaamua kuachana tu na mtu pale inapo bidi wakati mwingine.Mwanamke kuachwa na mwanaume inaumaa sana na sio fair
Mwanaume hapigi kibuti mwanamke.
Mwanaume ndio anaachwa sio mwanamke.
Huwa mnawezaji kuwa falling in love na mwanamke aliye mbali na wewe Aisee .... Mimi katika maisha yangu matukio ambayo nimewahi kuyapitia na kuyaona dhidi ya wanawake lemme declare this rate yangu ya uaminifu kwa mwanamke Ni 0.1![]()
![]()
![]()
Wahenga walisema fimbo ya mbali haiui nyoka....