Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Usiku tuliongea vizuri tu (tulikuwa mbalimbali kwa miezi kadhaa kwa sababu nilikuwa chuo)
Kesho yake ananiambia ameenda kupima na amekutwa na mimba so tuachane. Siku hiyo nilivurugwa balaa, yaani huko chuo nilikuwa nawajibu watu hovyo kutokana na hasira za kugongewa na kuachwa.
Ila jioni nikakaa nikatafakari, nikaona niache kuwa fala. Nikanywa maji meeengi kisha nikaanza kucheza game la Euro Truck hadi night kali.
 
Ndiyo
Na yeye ndiyo aliniambia nikitaka kuoa nimshirikishe Mungu nikafanya hivo
Mungu alijibuje? Ulijuaje huyo ndiye chaguo la Mungu tupe msaada tunaotanga tanga
 
Aliamua kuwa kimya ghafla, ukimtafuta na kumuuliza shida nini, anasema hamna shida, nikiuliza mbona kimya anajibu itajisolve, nisipomtafuta hanitafuti, I was ghosted, after like 3 years nikaona anaolewa.
Nilichakaa
sasa mkuu hadi baada ya miaka mi3 ndo ukaja shitukia anaolewa inamaana hapo katikati mmeishije
 
Kwa sasa hata mimi ndo naitumia hii
Akinicheck nampa ushirikiano ila tukimaliza mazungumzo ndo imetoka akikaa asubiri ntamtafuta ni kama Man united kuamini itabeba EPL,
Siwezi nyenyekea pimbi inayonichukulia mjomba wake saivi
Hiyo ndio dawa kwanza Mimi sijui nikoje .. nikimuambia mtu tuachane au nikimfanyia unyama katika mahusiano baada ya muda Yale Maumivu huwa yanarudi kwangu ..so njia Bora ya kuachana na mwenzangu' ili mimi nisiumie huwa nina amua kupiga kimya tu siongei chochote ila napunguza mawasiliano taratibu mpaka muhusika anazoea anagundua hapa nimeachwa
 
Usiku tuliongea vizuri tu (tulikuwa mbalimbali kwa miezi kadhaa kwa sababu nilikuwa chuo)
Kesho yake ananiambia ameenda kupima na amekutwa na mimba so tuachane. Siku hiyo nilivurugwa balaa, yaani huko chuo nilikuwa nawajibu watu hovyo kutokana na hasira za kugongewa na kuachwa.
Ila jioni nikakaa nikatafakari, nikaona niache kuwa fala. Nikanywa maji meeengi kisha nikaanza kucheza game la Euro Truck hadi night kali.
umegongewa mpaka kabeba mimba halafu anakujuza Aisee
 
Mwanamke kuachwa na mwanaume inaumaa sana na sio fair

Mwanaume hapigi kibuti mwanamke.

Mwanaume ndio anaachwa sio mwanamke.
Hapana inategemea na situation yenyewe hata wanaume huwa tunaamua kuachana tu na mtu pale inapo bidi wakati mwingine.
 

Wahenga walisema fimbo ya mbali haiui nyoka....
Huwa mnawezaji kuwa falling in love na mwanamke aliye mbali na wewe Aisee .... Mimi katika maisha yangu matukio ambayo nimewahi kuyapitia na kuyaona dhidi ya wanawake lemme declare this rate yangu ya uaminifu kwa mwanamke Ni 0.1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom