Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Mimi mawasiliano yalianza kupungua. Ukimtumia Msg anajibu P, Tantee,K . Mara Usinipigie Tuchart nk. Nikajua hapa Sina changu .

Sikumoja nilitoka kuoga nikakuta Missed call na Sms moja muda huohuo kwamba ""Ninakupigia Simu upokei..? haya maisha mema" ile namtafta nijitete nakuta kaisha nilamba Block
20200623_204235.jpeg
 
Mimi mawasiliano yalianza kupungua. Ukimtumia Msg anajibu P, Tantee,K . Mara Usinipigie Tuchart nk. Nikajua hapa Sina changu .

Sikumoja nilitoka kuoga nikakuta Missed call na Sms moja muda huohuo kwamba ""Ninakupigia Simu upokei..? haya maisha mema" ile namtafta nijitete nakuta kaisha nilamba Block
je_wajua2018_20200623_3.jpeg
 
Duuh!! Mkuu pole sana,,
Hawa Viumbe wanatamaa sana , apo ukute alipata mshikaji mwingine Akaona akupotezee, ndio akawa anatafta sababu ya kakuacha .
Hawa viumbe kama unataka kuishi nao vizur Usimuoneshe unampenda sana . Akijua unampenda sana Atakupeleka
Kweli kabsa mkuu
 
Mi niliambiwa kuwa kapata mme mwingine but nashukuru Mungu huyo mme wake mpya alihama yule dem akachakaa. Nikaanza kukumbushia mara akaja et anikope pesa nikamkopesha kisha nikamdai mbele ya mashoga zake aliaibika sana.

Baada ya kuona kuwa mabinti wadogo wanazingua niliamua sasa kutafuta wale waliozaliwa kuanzia 1997 and above na trick zangu huwa ni kutaka kuwaoa. Akiingia king lazima nmuumize tu. Sema kweli naumiza sana na hii namshukuru sana Mungu. Kwa mwaka huu nimepata wa kunililia 4. Ila mi nasema ni kisasi kwanza ndoa badayeeee
 
Mi niliambiwa kuwa kapata mme mwingine but nashukuru Mungu huyo mme wake mpya alihama yule dem akachakaa. Nikaanza kukumbushia mara akaja et anikope pesa nikamkopesha kisha nikamdai mbele ya mashoga zake aliaibika sana.

Baada ya kuona kuwa mabinti wadogo wanazingua niliamua sasa kutafuta wale waliozaliwa kuanzia 1997 and above na trick zangu huwa ni kutaka kuwaoa. Akiingia king lazima nmuumize tu. Sema kweli naumiza sana na hii namshukuru sana Mungu. Kwa mwaka huu nimepata wa kunililia 4. Ila mi nasema ni kisasi kwanza ndoa badayeeee
Daah!! Mkuu Fanya Uoe
 
Mi niliambiwa kuwa kapata mme mwingine but nashukuru Mungu huyo mme wake mpya alihama yule dem akachakaa. Nikaanza kukumbushia mara akaja et anikope pesa nikamkopesha kisha nikamdai mbele ya mashoga zake aliaibika sana.

Baada ya kuona kuwa mabinti wadogo wanazingua niliamua sasa kutafuta wale waliozaliwa kuanzia 1997 and above na trick zangu huwa ni kutaka kuwaoa. Akiingia king lazima nmuumize tu. Sema kweli naumiza sana na hii namshukuru sana Mungu. Kwa mwaka huu nimepata wa kunililia 4. Ila mi nasema ni kisasi kwanza ndoa badayeeee
madam Wangari Maathai njoo umuone kijana wako katika ubora wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom