financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,366
Nadhani ni kipaji tu mkuu, mazoezi yote ila imeshindikanasasa umechukua atua gani Dada angu..?
Umeisha anza mazoezi ya kunyosha kiuno .??![]()


Nadhani ni kipaji tu mkuu, mazoezi yote ila imeshindikanasasa umechukua atua gani Dada angu..?
Umeisha anza mazoezi ya kunyosha kiuno .??![]()


Mimi mawasiliano yalianza kupungua. Ukimtumia Msg anajibu P, Tantee,K . Mara Usinipigie Tuchart nk. Nikajua hapa Sina changu .
Sikumoja nilitoka kuoga nikakuta Missed call na Sms moja muda huohuo kwamba ""Ninakupigia Simu upokei..? haya maisha mema" ile namtafta nijitete nakuta kaisha nilamba Block![]()

Mimi mawasiliano yalianza kupungua. Ukimtumia Msg anajibu P, Tantee,K . Mara Usinipigie Tuchart nk. Nikajua hapa Sina changu .
Sikumoja nilitoka kuoga nikakuta Missed call na Sms moja muda huohuo kwamba ""Ninakupigia Simu upokei..? haya maisha mema" ile namtafta nijitete nakuta kaisha nilamba Block![]()


Kweli kabsa mkuuDuuh!! Mkuu pole sana,,
Hawa Viumbe wanatamaa sana , apo ukute alipata mshikaji mwingine Akaona akupotezee, ndio akawa anatafta sababu ya kakuacha .
Hawa viumbe kama unataka kuishi nao vizur Usimuoneshe unampenda sana . Akijua unampenda sana Atakupeleka
Mi niliambiwa kuwa kapata mme mwingine but nashukuru Mungu huyo mme wake mpya alihama yule dem akachakaa. Nikaanza kukumbushia mara akaja et anikope pesa nikamkopesha kisha nikamdai mbele ya mashoga zake aliaibika sana.
Baada ya kuona kuwa mabinti wadogo wanazingua niliamua sasa kutafuta wale waliozaliwa kuanzia 1997 and above na trick zangu huwa ni kutaka kuwaoa. Akiingia king lazima nmuumize tu. Sema kweli naumiza sana na hii namshukuru sana Mungu. Kwa mwaka huu nimepata wa kunililia 4. Ila mi nasema ni kisasi kwanza ndoa badayeeee


Daah!! Mkuu Fanya UoeBado sanaaa nataka mpaka kuoa niwe nimetoa ahadi Kama 30 afu wote siwaoiDaah!! Mkuu Fanya Uoe
Si wewe babe Kepph
Duuh!!!
Jarbu kuwa Unalamba Asali,
na kuluka kichura kila siku hasubuhi,
uku unaimba "Jeje Your body jeje" Utakuwa sawa Bibie,
Naamini utanishukuru ..![]()
Na utanipenda pia


hayo mazoezi yote nishafanya mkuu, hiki ni kipajì tu haina jinsi
madam Wangari Maathai njoo umuone kijana wako katika ubora wakeMi niliambiwa kuwa kapata mme mwingine but nashukuru Mungu huyo mme wake mpya alihama yule dem akachakaa. Nikaanza kukumbushia mara akaja et anikope pesa nikamkopesha kisha nikamdai mbele ya mashoga zake aliaibika sana.
Baada ya kuona kuwa mabinti wadogo wanazingua niliamua sasa kutafuta wale waliozaliwa kuanzia 1997 and above na trick zangu huwa ni kutaka kuwaoa. Akiingia king lazima nmuumize tu. Sema kweli naumiza sana na hii namshukuru sana Mungu. Kwa mwaka huu nimepata wa kunililia 4. Ila mi nasema ni kisasi kwanza ndoa badayeeee
😄😄😄😄🤸🤸🤸🤸Dogo anayumbamadam Wangari Maathai njoo umuone kijana wako katika ubora wake