Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Maisha haya bwana
Eti ulienae,kakuacha
Unaweza ukachekaaa ila kweri ipo hi,.
Wewe unajua mambo pow ila mwwnzio anabembeleza kwa MWINGINE huko
Dah ngoja tuendelee kusaka mapenee
 
Mkuu inaonekana Ulimpenda sana ..!!
Ndo nlkua naanza mapenz inshort,,, nlimuamin kupitiliza adi nkamsahau alekua akinpenda kwa dhati nkaachwa ili mekaa selew elew nrud kwa elekua aknpenda kwa dhati nkakuta wahun washatia kambi nkala za uso ndo adi leo nabung'aabung'aa tu..... kuna sku ntakuja ni iyo stori apa jukwaan japo siko vzr sana kwny masimuliz
 
Mimi niliona mawasiliano yanapungua kuuliza akaniambia tutakuja kuongea. Asubuhi sa 11 niliamshwa kwa kibuti.

Kinachoniuma tupo ofisi moja na ss yupo likizo akirudi sijui maisha yatakuwaje ya kazi. Kufanya kazi na ex wako afu ulimpenda inaumiza.

Duh, pole sana
 
Mimi ndo nilimuacha sio siku nyingi...baada ya kunisonya...nikampigia nikamwambia kuanzia leo mimi na wewe basi..akanipigia akaniuliza kwanini nikamwambia sisonywi na mwanamke zaidi ya mama angu mzazi..akawa anapiga simu sipokei, akituma sms sijibu...mpaka kakubali matokeo..

Kwanini usingemkanya kwanza? Binadamu tumeumbwa kukosea
 
Kuwa busy sana.. Kiasi ambacho hata muda wa kutafunana umekua ni changamoto[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mawasiliano yalianza kupungua. Ukimtumia Msg anajibu P, Tantee,K . Mara Usinipigie Tuchart nk. Nikajua hapa Sina changu .

Sikumoja nilitoka kuoga nikakuta Missed call na Sms moja muda huohuo kwamba ""Ninakupigia Simu upokei..? haya maisha mema" ile namtafta nijitete nakuta kaisha nilamba Block [emoji2][emoji2]
 
Naweza kupiga call ata 7 na asirespond ata akiona missed call
Muda akijisikia kupokea ukimuuliza anasema alikuwa busy na hajaona chochote

iliniwia vigumu kukubaliana na ukweli ila mwisho wa siku nilikaza Roho na kuibukia huku kwenye Uchakataji,

"MIMI NIJE KUPENDA TENA MWANAMKE LABDA NIFE NA KUFUFUKA TENA "
Hamna mkuu.. Kupenda utapenda tu yule ambae Mungu amekupangia siku ikiwadia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom