Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,524
Ha
Wala usitake maongezi mengi mwambie naelewa kila kitu ulichotaka kufanya na jamaa ntakifanya mimi.
Hapo naichakaza Mbunye kama ni usiku mzima napaka hata mkongo ili nimkomeshe huyo malaya, kisha kesho tunapotoka hapo ndio mwisho wa mawasilianao na mahusianoa.
Hahahah huyo ulitakiwa umseti Lodge kabisa. Mwambie lipia chumba flani nitakuja ku clear kisha unaibuka kwenda kumchakata, atashangaa unagongwa mlango akiufungua ni wewe ile dizaini usiyempenda kaja...Mi tuliachana baada ya kuona ananizingua tu,yeye mwenyewe alitaka passwords zangu za facebook nikampa ,na yeye akanipa zake ,sasa kwenye inbox yale ya fb kuna jamaa kila siku anatuma msg "mpenzi nimekumiss ,mara lini tuonane tena",halafu yeye hajibu,ila jamaa anatuma tu inbox.
Nikajua hapa anawasiliana na kwa simu na huyu jamaa,aisee akaanza nyodo,kujibu msg akitaka,kumbe huyo jamaa ndo anampa kiburi.
Nikafungua account mpya fb kwa jina la jamaa na picha za jamaa,halafu nikainbox ,mpenzi ile aacount yangu ya fb imehakiwa nimefungua mpya tuwasiliane kwa hii,...gafla na yeye akaja kwa account fake ambayo mi nilikuwa sijui,akajibu " mi niko poa unajua mpenzi wangu ana password ya ile account ndo maana siwezi kukujibu kule,mi nimekumiss ila jamaa asijue,lini utakuja dar nimekumiss "
Tukachat ww,mwishowe nikamwambia "Nyau wewe unachat na Viol mwenyewe kumbe ndo zako,shika 50 zako sitaki kukuona na usinitext "
Aliona sana aibu aisee hakunitafuta tena maisha yakaendelea
Wala usitake maongezi mengi mwambie naelewa kila kitu ulichotaka kufanya na jamaa ntakifanya mimi.
Hapo naichakaza Mbunye kama ni usiku mzima napaka hata mkongo ili nimkomeshe huyo malaya, kisha kesho tunapotoka hapo ndio mwisho wa mawasilianao na mahusianoa.