COMPTON BLVD
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 681
- 617
Ni ajabuEt ita jisovu
Ni ajabuEt ita jisovu
Pole sanaAlinichana live hanitaki tena, simu hapokei wala sms hajibu,baada ya usumbufu kuzidi akanipa block![]()
FactHa ha ha ha ha ha ila vibinti vya kitanzania vina tabia za kikahaba sana na ndio maana milage za kuliwa na kutemwa zipo juu zaidi

Pole sana Captain, on behalf of the JF Members. Situation was getting worseAlituma rafiki zake waje waniambie ndoa tumeivunja na madeni yangu akayatangaza kwa majirani
Uliachwa kimasiharatulikua tunatembea sokoni, ghafla tu akapotelea kwenye umati wa watu, sijamuona tena na kumcheki kwenye simu hapatikani..
Duh! Hii ilikuwa long distance break upNiliona kwenye vyombo vya habari
Thank you CoPole sana
tangu siku hyo naona wanawake ni wakatili sana.Uliachwa kimasihara
Currently Naenjoy mapenzi sehemu hivi, huku nikijua kuwa muda wowote lolote linaweza kutokeatangu siku hyo naona wanawake ni wakatili sana.


Mimi ndo nilimuacha sio siku nyingi...baada ya kunisonya...nikampigia nikamwambia kuanzia leo mimi na wewe basi..akanipigia akaniuliza kwanini nikamwambia sisonywi na mwanamke zaidi ya mama angu mzazi..akawa anapiga simu sipokei, akituma sms sijibu...mpaka kakubali matokeo..
Mimi aliniambia "mimi na wewe Basi" sikuchukuwa hata dakika moja nikamwambia mbona nilishakuacha siku nyingi"? Akaondoka hakuaga


Aiseeenjoy as hard as you can mkuu.Currently Naenjoy mapenzi sehemu hivi, huku nikijua kuwa muda wowote lolote linaweza kutokea![]()
Kwa hiyo umegeuka kuwa mchakataji tu.Naweza kupiga call ata 7 na asirespond ata akiona missed call
Muda akijisikia kupokea ukimuuliza anasema alikuwa busy na hajaona chochote
iliniwia vigumu kukubaliana na ukweli ila mwisho wa siku nilikaza Roho na kuibukia huku kwenye Uchakataji,
"MIMI NIJE KUPENDA TENA MWANAMKE LABDA NIFE NA KUFUFUKA TENA "
haahaaaa hii nayo kali daaahtulikua tunatembea sokoni, ghafla tu akapotelea kwenye umati wa watu, sijamuona tena na kumcheki kwenye simu hapatikani..



nadhani walivoimba usijeniacha solemba walinikusudia.haahaaaa hii nayo kali daaah![]()