Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,840
My mambo, mbona kimya kimya,au ndo kufumaniaaa,mwenzangu😂
Pengine huu ni uzi wa mwisho kuandikwa na mimi kukuhusu wewe kipenzi changu Marry
Tangu tumekubaliana kuhusu ndoa sikuoni ukilifurahia hili jukwaa kama zamani, nadhani huu ni utii kwangu mume wako mtarajiwa na utii kwa ajili ya ndoa pia. Nilitegemea mwezi huu nikipokea rejesho ndiyo niibuke huko jijini daresalama lakini mipango sio matumizi mambo hayakwenda sawa. Niseme tu...
Hapana mke wangu ila juzi niliandika huu uzi nikiwa na simanzi sana nikakosa hata nguvu ya kukutag ila ndio uhalisia wenyewe.