Ukweli utabaki kuwa ukweli

Ukweli utabaki kuwa ukweli

😂😂😂😂😂 Da Marry, em shusha ubuyu mzima, mbna unanipa heka heka za kutafuta hitimisho la hii sakata.

Usiniambie ulikutana na mtu choka mbayaa hivyo? Woiiiiiiih
😂😂😂😂😂😂
Kavaa jeans na tishet,na sandiz sijui yeboyebo,simu imepasukapasuka kioo anaperuzi Kwa kuificha,halafu ananiongopea eti atanipa 50000 elfu,nilimuonea huruma ningekuwa na elfu kumi walau ningempata,wee chenji 800 kaisubiri karibu nusu saa😂😂😂😂🤥
 
Aumwage chap tuendelee na mambo mengine..!! 😹
Hapo sasa!! JF tushazoea kila kitu wazi wazi.
Km kipochi na kipili pili kinawekwa peupee, waja Wasuuze makengeza yao.

Ishindikane hili jambo lake, afanye kutuewekea mzima mzima, waja tudeveleke nao.
😂😂😂😂😂😂
 
Dada humu hamna wanaume,mtu gani mnakunywa soda za miasita ambapo jumla ni 1200 halafu inabaki 800 kwenye 2000 aliyotoa lakini chaajabu mianane anaing'ang'ania mpaka,,,,,,eeh😂
😹😹😹 Marry Dikompoza
Kwahiyo mlitoka out? Kipochi manyoya kilipona kweli?
kijana maskini eti hata pesa ya condom ulikosa? Njoo ujibu mashtaka 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom